Dodoma FM

ndoa

12 September 2023, 11:42 am

Serikali yaombwa kuwawezesha wakulima elimu na pembejeo za kilimo

Wakulima katika maeneo mbalimbali wamekuwa wakisistiza kwa jamii kuwapatia mikopo ya kilimo ili waweze kunufaika na kilimo chenye tija. Na Khadija. Imeelezwa kuwa ili kusaidia wakulima waweze kulima kilimo chenye tija serikali inao wajibu wa kuwawezesha wakulima hao katika suala…

7 August 2023, 2:52 pm

Wakulima wapongeza mfumo wa M-KULIMA

M-Kulima ni mfumo unaolenga sekta ya kilimo na unatumika mahali popote kwa mkulima kupokea malipo yake kwa wakati na unarahisisha shughuli za Kilimo. Na Mindi Joseph. Wakulima wa zao la Zabibu Mkoani Dodoma wamepongeza uwepo wa mfumo wa M-kulima kwani…

6 July 2023, 4:05 pm

Vijana 300 kunufaika na mradi wa kilimo Bahi

Vijana wametakiwa kuimarisha vikundi vyao kwani tayari vimesajiliwa na vinatambulika kisheria. Na.  Bernad Magawa Vijana  300 wilayani Bahi watanufaika na mradi wa kilimo kwanza unaowashirikisha vijana kutekeleza shughuli za kilimo kupitia Mashamba Darasa ili kusaidia jamii kuwa na uhakika wa…

22 January 2023, 10:04 am

KILIMO CHA MBAAZI

Na; Mariam Kasawa Licha ya zao la mbaazi kutumika kama matumizi mbalimbali kama mboga , chakula huku zao hili likifundishwa na wataalamu kuwa linaweza kuwa zao la biashara kwa kutengenezea vitu mbalimbali kama uji, supu, biscuti , cake, makande lakini…

19 December 2022, 8:35 am

Bahi watakiwa kulima mazao yanayo stahimili ukame

Na; Benard Filbert. Wakulima wa kata ya Bahi wilaya ya Bahi mkoani  Dodoma wameshauriwa kupanda mazao ambayo yanahitaji mvua kidogo ili kukabiliana na  mabadiliko ya hali ya hewa. Ushauri huo umetolewa na Diwani wa Kata hiyo  Agustino Mdunuu wakati akizungumza…

27 October 2022, 10:21 am

Wakulima Kongwa watakiwa kulima kilimo chenye tija

Na; Benard Filbert. Wakulima  wilaya ya Kongwa wamehimizwa kutumia teknolojia ya kisasa yakuvuna maji na kutunza udongo ili kufanya kilimo chenye tija. Hayo yameelezwa na mkuu wa idara ya kilimo na mifugo wilaya ya Kongwa Bw. wakati akizungumza na taswira…

18 October 2022, 6:55 am

Uhaba wa skimu za umwagiliaji watajwa kuchangia maisha duni

Na;Mindi Joseph . Ukosefu wa Skimu za umwagiliaji katika baadhi ya maeneo Mkoani Dodoma umetajwa kuchangia Maisha Duni kwa wananchi kutokana na uzalishaji hafifu wa Chakula. Taswira ya Habari imezungumza na Baadhi ya wanachi wa Kijiji cha Chunyu Wilayani mpwapwa…