ndoa
26 September 2023, 3:57 pm
Rasimu mkakati wa kilimo ikolojia yatakiwa kuwa katika lugha rahisi
Kongamano hilo limejumuisha wadau wa kilimo na wakulima kutoka mikoa mbalimbali nchini Tanzania mkakati wa kilimo hai unatarajia kuja na majibu juu ya kilimo hai . Na David Kavindi. Imeelezwa kuwa rasimu ya mkakati wa kilimo ikolojia hai inatakiwa kufanyiwa marekebisho…
12 September 2023, 11:42 am
Serikali yaombwa kuwawezesha wakulima elimu na pembejeo za kilimo
Wakulima katika maeneo mbalimbali wamekuwa wakisistiza kwa jamii kuwapatia mikopo ya kilimo ili waweze kunufaika na kilimo chenye tija. Na Khadija. Imeelezwa kuwa ili kusaidia wakulima waweze kulima kilimo chenye tija serikali inao wajibu wa kuwawezesha wakulima hao katika suala…
7 August 2023, 2:52 pm
Wakulima wapongeza mfumo wa M-KULIMA
M-Kulima ni mfumo unaolenga sekta ya kilimo na unatumika mahali popote kwa mkulima kupokea malipo yake kwa wakati na unarahisisha shughuli za Kilimo. Na Mindi Joseph. Wakulima wa zao la Zabibu Mkoani Dodoma wamepongeza uwepo wa mfumo wa M-kulima kwani…
6 July 2023, 4:05 pm
Vijana 300 kunufaika na mradi wa kilimo Bahi
Vijana wametakiwa kuimarisha vikundi vyao kwani tayari vimesajiliwa na vinatambulika kisheria. Na. Bernad Magawa Vijana 300 wilayani Bahi watanufaika na mradi wa kilimo kwanza unaowashirikisha vijana kutekeleza shughuli za kilimo kupitia Mashamba Darasa ili kusaidia jamii kuwa na uhakika wa…
28 March 2023, 5:32 pm
Ilindi inatekeleza kilimo cha mtama ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Kilimo cha mtama mweupe ambao umekuwa ukihamasishwa na viongozi mbalimbali wilayani Bahi kwa lengo la kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Na Bernad Magawa Wakulima wa kijiji cha Ilindi wialayani Bahi wameanza kutekeleza kwa vitendo suala la kilimo chamtama mweupe…
22 January 2023, 10:04 am
KILIMO CHA MBAAZI
Na; Mariam Kasawa Licha ya zao la mbaazi kutumika kama matumizi mbalimbali kama mboga , chakula huku zao hili likifundishwa na wataalamu kuwa linaweza kuwa zao la biashara kwa kutengenezea vitu mbalimbali kama uji, supu, biscuti , cake, makande lakini…
19 December 2022, 8:35 am
Bahi watakiwa kulima mazao yanayo stahimili ukame
Na; Benard Filbert. Wakulima wa kata ya Bahi wilaya ya Bahi mkoani Dodoma wameshauriwa kupanda mazao ambayo yanahitaji mvua kidogo ili kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa. Ushauri huo umetolewa na Diwani wa Kata hiyo Agustino Mdunuu wakati akizungumza…
27 October 2022, 10:21 am
Wakulima Kongwa watakiwa kulima kilimo chenye tija
Na; Benard Filbert. Wakulima wilaya ya Kongwa wamehimizwa kutumia teknolojia ya kisasa yakuvuna maji na kutunza udongo ili kufanya kilimo chenye tija. Hayo yameelezwa na mkuu wa idara ya kilimo na mifugo wilaya ya Kongwa Bw. wakati akizungumza na taswira…
18 October 2022, 6:55 am
Uhaba wa skimu za umwagiliaji watajwa kuchangia maisha duni
Na;Mindi Joseph . Ukosefu wa Skimu za umwagiliaji katika baadhi ya maeneo Mkoani Dodoma umetajwa kuchangia Maisha Duni kwa wananchi kutokana na uzalishaji hafifu wa Chakula. Taswira ya Habari imezungumza na Baadhi ya wanachi wa Kijiji cha Chunyu Wilayani mpwapwa…
17 May 2022, 2:34 pm
Tume ya umwagiliaji yatakiwa kujenga mfumo imara wa skimu za umwagiliaji
Na;Mindi Joseph. Waziri wa Kilimo Mheshimiwa Hussein Bashe ameitaka Menejimenti ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kujenga mfumo imara wa kusimamia Skimu za Umwagiliaji nchini. Akizungumza Jijini Dodoma katika katika kikao kazi cha Menejimenti na Wakandarasi amesema kipaumbele cha Wizara…