Dodoma FM
Dodoma FM
12 February 2024, 15:07 pm
Kipindi cha Mazingira ambacho amesikika kijana Nelson Everisty mkazi wa Manispaa ya Mtwara Mikindani ambae amekuwa akizalisha maua katika Eneo hilo huku akielezea namna yanavyoweza kutunza Mazingira ya Nyumbani na mengine hutumika kama Dawa na Matunda. Na Musa Mtepa Bustani…
3 August 2023, 4:43 pm
Utandawazi unatajwa kuwa na ukombozi wa kupunguza vitendo hivi vya ukeketaji na ndoa za utotoni kwenye jamii. Na Mariam Matundu. Mariam matundu amezungumza na Bwana Stanley Nyambuya yeye alikuwa anafanya shughuli ya kukeketa mabinti hapo zamani lakini kwa sasa ameacha.
27 March 2023, 3:41 pm
Hii hapa simulizi nzima ya ajali ya treni hiyo na ni kwanini eneo hilo limeitwa eneo la makaburi ya wahanga. Na Martha Mgaya. Tarehe 24 juni 2002 ni tarehe isiyo sahaulika katika kumbukumbu ya wana Dodoma na watanzania wote kwasababu…
23 March 2023, 6:41 pm
Mtaa wa Mathius ni moja ya mtaa wenye miaka mingi jijini Dodoma, Jina la mtaa wa Mathius limetokana na mzee mathius mwenye asili ya kabila la kigogo fahamu historia yake ikiwa ni mtaa maarufu sana jijini humo. Na Martha Mgaya.…
10 March 2023, 5:07 pm
Leo tutaangalia historia ya aina na maumbo mbalimbali ya tunda la zabibu linalozalishwa ndani ya jiji la Dodoma. Na Yusuph Hassani. Darwesh Said ambaye ni mwakilishi wa kikundi cha kutunza mazingira chapakazi anasimulia historia mzima ya kuhusiana na aina ya…
27 February 2023, 3:11 pm
Leo tutaangalia ni jinsi gani tunda la zabibu lilivyoweza kuingia nchini pamoja na historia nzima ya kuhusiana na zabibu. Na Yusuph Hassani. Darwesh Said ambaye ni mwakilishi wa kikundi cha kutunza mazingira chapakazi anasimulia historia mzima ya kuhusiana na tunda…
7 February 2023, 2:44 pm
Muendelezo wa Simulizi hii inatuonyesha maswala mazima yanayomuhusu chifu,mavazi yake utawala na vitu mbalimbali ambavyo alikuwa akitumia Chifu wa kabila la Kigogo. Na Yussuph Hassan. Chifu Lazaro Masuma Chihoma kutoka katika kata ya Iyumbu himaya ya Bwibwi jijini Dodoma asimulia…
3 February 2023, 9:47 am
Simulizi hii inatuonyesha maswala mazima ya utawala na vitu mbalimbali ambavyo alikuwa akitumia Mtemi wa kabila la Kigogo. Na Yussuph Hassan Chifu Razaro Masuma Chihoma kutoka katika kata ya Iyumbu Imaya ya Bwibwi jijini Dodoma asimulia simulizi yote hiyo ya…
16 February 2022, 3:25 pm
Na; Benard Filbert. Shirika la RALI nchini limeanzisha kampeni mpya ya EXCEL lengo ikiwa kuitaka jamii kuchukua hatua madhubuti za kupambana na mabadiliko ya tabia za nchi kupitia utunzaji wa mazingira. Hayo yameelezwa na afisa mradi wa taasisi hiyo bwana…