Dodoma FM
Dodoma FM
4 December 2025, 12:13
Kituo cha afya cha Mwamintare kilichopo Halmashauri ya Mji wa Kasulu kinahudumia kata tatu ya Muhunga, Mganza na Heru Juu kwa wakazi 50887. Na Hagai Ruyagila Mbunge wa Jimbo la Kasulu Mjini mkoani Kigoma Profesa Joyce Ndalichako amekabidhi gari la…
14 October 2025, 11:19 am
“Vilevile tunaendelea kushiriki katika shughuli mbalimbali za kijamii kwa kushirikiana na serikali ikiwemo sekta za Afya na elimu” – Katibu wa tawi la Simba Mpomvu Na: Edga Rwenduru Mashabiki na wanachama wa klabu ya Simba katika mtaa wa Mpomvu uliopo…
9 September 2025, 5:58 pm
Kitendo hicho ni mfano wa kuigwa katika jamii kwani tukio hilo limeleta faraja kwa wagonjwa na hamasa kwa watoa huduma. Na Mwandishi Wetu: Kuelekea tamasha la Simba Day siku ya kesho, Mashabiki wa Simba tawi la Mkolani Manispaa ya Geita wamefanya…
8 September 2025, 7:53 pm
Baadhi ya wachangia mada wa kata ya Mpanda Hotel. Picha na Anna Mhina “Tutamtia moyo na kumheshimu kwani amethubutu” Na Anna Mhina na Roda Elias Baadhi ya wananchi wa kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameeleza wajibu…
August 17, 2025, 4:32 pm
Ujenzi wa kituo hicho umegharimu kiasi cha shiringi milioni 84.8 Na Sebastian Mnakaya Wafugaji wa Nyuki katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuwatumia wataalamu mbambili wa ufugaji wa nyuki ili kupata asili yenye ubora na yenye kuongeza…
28 May 2025, 6:52 pm
Siku ya Hedhi Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka tarehe 28 Mei, ni jukwaa la kimataifa linalotumika kuongeza uelewa kuhusu hedhi kama hali ya kawaida ya kibaiolojia. Na Adelinus Banenwa Lengo kuu la maadhimisho haya ni kuondoa unyanyapaa unaozunguka hedhi, kuhamasisha…
27 May 2025, 12:42 pm
Serikali mkoani Manyara imesema mfumo wa E-RITA unamuwezesha mwananchi kujisajili kwa kiidigital na kurahisisha kupata cheti cha kuzaliwa kwa haraka tofauti na ilivyokuwa awali. Na Mzidalfa Zaid Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kujisajili kwenye mfumo E-Rita ambao utamuwezesha mwananchi kujisajili kwenye…
30 April 2025, 6:49 pm
Tume huru ya taifa ya uchaguzi (INEC) imetangaza siku saba za wananchi kuboresha taarifa za mpiga kura katika jimbo la Sengerema, mkoani Mwanza. Na,Elisha Magege Afsa mwandikishaji jimbo la Sengerema Binuru Mussa Shekidele amewataka maafsa uandikishaji wanaotarajia kwenda kuanza kuboresha…
20 January 2025, 2:15 pm
Baadhi ya mashabiki wa mpira wa miguu ambao hawajafahamika majina yao katika halmashauri ya manispaa ya Geita wameingia katika ugomvi na majibizano kwa kile kilichodaiwa ni ushabiki wa timu zao za Simba na Yanga Na: Amon Mwakalobo – Geita Chanzo…
27 October 2024, 20:54
Wakati usambazwaji wa mitihani ya kidato cha pili ukiendelea kufanyika nchini changamoto imeweza kutokea katika halmashauri ya chunya. Na Hobokela Lwinga Watu kadhaa wamejeruhiwa katika ajali ya gari Mali ya kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi wilaya ya…