Dodoma FM
Dodoma FM
12 December 2025, 8:16 pm
picha kwa msaada wa AI Na mwandishi wetu Evanda Barnaba Kuhudhuria maadhurio ya kliniki ya mtoto ni jambo la muhimu sana kwa mzazi, kwani ni fursa ya kipekee ya kufuatilia maendeleo ya afya ya mtoto wako. Kliniki inatoa nafasi ya…
12 December 2025, 19:12 pm
Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, amemuagiza Mkurugenzi wa COPRA kuhakikisha mazao ya Ruvuma, Lindi na Mtwara yapitie Bandari ya Mtwara ili kuongeza tija, kurahisisha upakiaji na kuhakikisha fursa zinabaki kwa wakazi wa mikoa hiyo Na Musa Mtepa Waziri wa kilimo…
December 11, 2025, 12:33 pm
Mwanasheria kutoka kituo cha Matumani (Centre of Hope), kilichopo wilayani Kasulu Ndug. Decas Patrick Burumba amewaomba wazazi na walezi wa Wilaya ya Kasulu kuzingatia na kufuata sheria za haki za watoto na kuwalinda dhidi ya ukatili katika jamii. Na; Helbeth…
December 7, 2025, 12:20 pm
Maafisa usafirishaji maalufu Bodaboda kutoka Wilaya mbalimbali mkoani Kigoma wapinga maandamano yaliyopangwa kufanyika Desemba 9, Serikali wilayani Kasulu yatia neno la msisistizo wa kutojihusisha na maandamano hayo. Na; Sharifat Shinji Maafisa Usafirishaji wa abiri malufu Bodaboda mkoani Kigoma wamesema hawatoshiriki…
November 30, 2025, 10:36 pm
Kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalumu cha Center of Hope kimepokea misaada kutoka jumuiya ya watendaji wa serikali za mitaa (MEO`s) Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma ikiwa ni sehemu ya faraja kwa watoto hao kutokana na mahitaji waliyonayo…
19 November 2025, 12:17 pm
Wanafunzi wa vyuo vya kati na vyuo vikuu mkoani Manyara wametakiwa kuacha kujiingiza katika makundi yasiyofaa ya kujihusisha na utumiaji wa dawa za kulevya kwakua itachangia kushuka kwa elimu na kupoteza nguvu kazi ya Taifa. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza na…
26 October 2025, 09:28 am
Wananchi wa Mtwara wameishukuru Serikali ya awamu ya Sita kwa kujenga Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini, hatua iliyowapunguzia gharama na safari za kwenda Dar es Salaam kutafuta huduma za kibingwa, huku wakiiomba serikali kuendelea kuboresha huduma hizo kwa…
23 October 2025, 7:03 pm
Kwa kipindi kirefu wakulima katika bonde la kilombero wamekuwa wakiuza mpunga badala ya kuuza mchele kitu ambacho haishauriwi kwani kufanya hivyo kunapunguza thamani ya zao hilo Na Kuruthumu Mkata Serikali kupitia Idara ya Kilimo Halmashauri ya Mji wa Ifakara imeendelea…
22 October 2025, 5:27 pm
Wakulima wa kijiji cha Mhelule, kata ya Mwaya wilayani Kilombero wamelalamikia ukosefu wa msaada wa karibu kutoka kwa maafisa ugani, wakisema hawafiki mashambani kubaini changamoto zao. Maafisa wanasema idadi yao haitoshi kuwafikia wote, hivyo wakulima wanapaswa kuwafuata Na: Isidory Mtunda…
22 October 2025, 1:16 pm
Picha ya pamoja wapili kutoka kulia ni mgombea ubunge jimbo la Mpanda kati Masanja Katambi. Picha na Betord Chove ” Kata ya Makanyagio ni kata ambayo miundombinu ipo hovyo” Na Betord Chove Mgombea wa udiwani wa Kata ya Makanyagio kupitia…