Dodoma FM
Kilimo
3 December 2020, 2:56 pm
ANSAF:Asilimia 10 pekee ya vijana yajihusisha na kilimo nchini kati ya 65
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Sekta ya kilimo ,viwanda na miundombinu zimetajwa kuwa na ufanisi wa kutosha katika kuondoa umasikini na njaa ukilinganisha na sekta zingine za kiuchumi hapa nchini.Kauli hiyo imetolewa na waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda wakati akihutubia katika mkutano…
2 December 2020, 9:56 am
Wakulima washauriwa kupanda mbegu zinazokomaa mapema
Na Benard Filbert, Dodoma. Kufuatia kunyesha kwa mvua za wastani mwaka huu wakulima Mkoani Dodoma wamehimizwa kutumia mbegu zinazokomaa kwa muda mfupi hali itakayowasaidia kuepuka kupata mavuno hafifu. Wito huo umetolewa na mkuu wa idara ya kilimo kutoka Mji wa…