Dodoma FM
Dodoma FM
22 July 2025, 2:23 pm
Ikumbukwe kuwa mradi wa ukarabati wa jengo la zahanati ya Ihumwa ulianza tarehe 10 /08/2023, ukigharimu kiasi cha shilingi milioni 235.9 fedha kutoka Shirika la Wahisani ABBOT. Na Lilian Leopord. Uboreshwaji wa miundimbinu uliofanyika katika zahanati ya Ihumwa iliyopo jijini …
10 June 2025, 3:55 pm
Wakazi hao wameishukuru Serikali kwa kukamilisha hospitali hiyo ya Wilaya kwani imewapunguzia gharama za kusafiri kwenda hospitali zingine. Na Victor Chigwada. Ujenzi wa hospitali mpya ya Wilaya ya Chamwino katika Kata ya Mlowa barabarani umetajwa kuongeza tija kwa wananchi na…
13 August 2024, 4:03 pm
Pamoja na maendeleo makubwa yaliyofanyika kwenye kijiji hicho bado wana uhaba wa huduma ya soko. Na Kadala Komba.Wananchi wa Kijiji cha Bahi Sokoni Wilayani Bahi Mkoani Dodoma wameipongeza Serikali kwa hatua ya kuwasogezea huduma muhimu za kijamii ikiwemo maji na…
31 January 2024, 9:06 pm
Shule ya msingi Dodoma Viziwi ni taasisi binafsi iliyoanzishwa mwaka 2005 ikiwa na jumla ya wanafunzi watano ambapo uandikishaji wa wanafunzi katika shule hiyo umezidi kuongezeka na katika mwaka huu 2024 imeandikisha jumla ya wanafunzi 22. Na Fed Cheti.Mkuu wa…
11 January 2024, 18:33
Na mwandishi wetu, Mbeya Leo Alhamiss Januari 11 2024 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde:Juma Homera ameipokea Kamati ya Kudumu ya Bunge Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Ikiongozwa na M/kit wa Kamati hiyo Denis Lazaro Yondo Mbunge wa…
6 January 2024, 4:07 pm
Senyamule amekagua ujenzi wa shule ya Sekondari ya Michese unaotekelezwa katika kata ya Mkonze eneo la Michese na kuagiza kukamilika kwa ujenzi huo ili ifikapo tarehe 08 Januari wanafunzi waweze kukaa kwenye madarasa yenye ubora. Na Seleman Kodima.Mkuu wa Mkoa…
4 January 2024, 4:28 pm
Zoezi la ukaguzi wa shule mpya jijini Dodoma zinazo tarajia kufunguliwa january 8 umeendelea ambapo mkuu wa wilaya alipata wasaa wa kutembelea shule mbili ambazo pia zimekamilika. Na Mariam Kasawa.Mkuu wa wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri ametaka mapungufu yaliyopo katika…
30 October 2023, 5:19 pm
Na Nicholaus Machunda Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt Yahaya Nawanda amewaonya Wanaume wote wanaotongoza Wanafunzi na kuwapatia Ujauzito unaopelekea kukatisha ndoto zao za Masomo. RC Nawanda amesema hayo katika Ziara yake Wilayani Maswa ya kukagua Miradi mbalimbali ya Maendeleo …
11 October 2023, 12:14
Wanafunzi wanaosomo masomu ya elimu ya watu wazima wakiwemo waliorudi shule baada ya kushindwa kuendelea na masomo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ujauzito wamesema licha ya Srikali kuwarudisha shuleni kusoma bado wanakabiliwa na mazingira magumu kutokana na wengi wao kuishi…
6 March 2023, 10:22 am
Shule hiyo ambayo ni shule shikizi inatakiwa kukamilisha kwa wakati ujenzi wa madarasa mawili ambayo baada ya kukamilika kwake kutakuwa na jumla ya vyumba sita vya madarasa katika shule hiyo ya msingi Mbugani. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa…