Dodoma FM
Dodoma FM
4 November 2025, 5:04 pm
Maafisa usafirishaji wilayani Babati mkoani Manyara wamelalamikia kuadimika kwa mafuta katika vituo vya kuuzia mafuta na kuiomba Serikali kuingilia kati suala hilo ili kurahisisha shughuli za uchumi kwa wananchi. Na Marino Kawishe Wakizungumza na fm Manyara wamesema, kituo kinachouza mafuta ni…
11 October 2025, 4:50 pm
Baadhi ya wafanyakazi wa NSSF Katavi. Picha na Restuta Nyondo “Tunashukuru wajasiriamali tumefikiwa na sisi” Na Restuta Nyondo Zaidi ya wananchi 1000 waliojiariji katika shughuli ndogo ndogo za kiuchumi mkoani Katavi wamejiunga uanachana katika mfuko wa hifadhi ya jamii NSSF…
23 August 2025, 8:40 pm
Mwenge wa uhuru kitaifa 2025 uliingia mkoa wa Mara kupitia wilaya ya Bunda kwa halmashauri ya mji wa Bunda tarehe 15 Aug 2025 na kuzunguka katika halmashauri zote tisa za mkoa wa Mara na leo Aug 23,2025. Na Adelinus Banenwa…
8 August 2025, 2:03 pm
Baada ya Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji(EWURA) kutangaza bei mpya ya mafuta ambayo imeanza kutumika mwezi Agast , kwa kanda ya kaskazini wafanyabiashara wa mafuta wametakiwa kuuza mafuta kwa bei elekezi. Na Mzidalfa Zaid Meneja wa…
28 July 2025, 5:17 pm
Kampuni ya Nukta Afrika imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari radio za kijamii juu ya namna ya habari za uongo na upotoshaji zinazotolewa na baadhi ya mitandao ya kijamii, hususa ni kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu. Na,Michael Mgozi Waandishi…
17 February 2025, 2:49 pm
“Wananchi wengi wanaogopa kujitambulisha kwa balozi sababu ya kuombwa elfu tano jambo ambalo halikubaliki katika mtaa wangu” – Mwenyekiti Na: Kale Chongela – Geita Serikali ya mtaa wa Mwatulole kata ya Buhalahala halmashauri ya manispaa ya Geita imewataka mabalozi wa mashina…
4 January 2025, 10:49
Mungu anahitaji watu wenye unyeyekevu wa moyo watu wanaompa nafasi katika maisha yote ya Kiroho na kimwili. Na Hobokela Lwinga Wakristo wametakiwa kuishi maisha ya unanyenyekevu na upendo kwa jamii kwani kufanya hivyo ni kuonyesha kazi ya Yesu aliyoliachia kanisa.…
27 October 2022, 10:08 am
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa maandalizi ya uzinduzi wa matokeo ya mwanzo ya sensa ya watu na makazi yamefikia hatua nzuri hivyo wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushuhudia matokeo hayo yakitangazwa. Hayo yameelezwa na mkuu wa mkoa wa Dodoma Rosemary…
23 August 2022, 3:15 pm
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh Aswege Kaminyoge ameshiriki Kuhesabiwa katika zoezi la Sensa ya Watu na Makazi Mapema hii leo.. Mh Kaminyoge amehesabiwa nyumbani kwake Kitongoji cha Mwantoja kata ya Nyalikungu Wilayani Maswa… Aidha Mh Kaminyoge ametoa wito kwa …
23 August 2022, 3:00 pm
Mbunge wa Jimbo la Maswa Mashariki Mh Stanslaus Nyongo ameshiriki kuhesabiwa katika Zoezi la Sensa ya Watu na Makazi lililoanza leo Aug 23, 2022