Wanawake
2 October 2025, 5:27 pm
Mbukwa: Msijichukulie sheria mkononi kwa kutatua tatizo
Judith Mbukwa mkuu wa dawati la jinsia na watoto Katavi. Picha na Roda Elias “Ripotini vitendo vya ukatili ili jamii iwe salama” Na Roda Elias Jamii mkoani Katavi imetakiwa kuondokana na dhana ya kuogopa vituo vya polisi hususani dawati la…
21 August 2025, 11:12 pm
Bunda: Fundi aliyekwama duarani apatikana akiwa amefariki
Na Edward Lucas. Juma Lutamula (33), mchimbaji katika mgodi wa Walwa uliopo katika machimbo ya Kinyambwiga, amepatikana jioni ya leo akiwa tayari amefariki baada ya kufukiwa na kifusi wakati akifanya kazi ya ujenzi wa duara la uchimbaji. Lutamula alipata ajali…
20 August 2025, 10:31 pm
Mchimbaji afukiwa na kifusi mgodi wa dhahabu
Tukio hilo lilitokea jana tarehe 19 Augost 2025, majira ya saa 12:00 jioni, wakati Lutamula na wenzake walipokuwa katika shughuli ya ukarabati wa duara Na Edward Lucas. Mchimbaji Afukiwa na Kifusi Katika Mgodi wa Dhahabu Juma Lutamula (33), mkazi wa…
22 July 2025, 11:37 pm
RC Sendiga azitaka NGOs kujikita kusaidia jamiiĀ
Mashirika yasiyo ya kiserikali mkoani Manyara yametakiwa kujikita katika shughuli za kuisaidia jamii kwa kutatua changamoto zinazoikabili jamii hususani katika masuala ya lishe bora. Na Angel Munuo Wito huo umetolewa leo na mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga wakati akifungua kikao…
10 February 2025, 2:36 pm
Madiwani wampongeza Rais Samia, Geita mji kuwa Manispaa
Mkutano wa baraza la madiwani umefanyika kwaajili ya uwasilishaji wa changamoto mbalimbali pamoja na mapitio ya utekelezaji miradi kwa kipindi cha kuanzia Oktoba hadi Disemba 2024. Na: Ester Mabula – Geita Baraza la madiwani la Geita mjini limepongeza Rais wa…
25 December 2024, 13:06
Waumini watakiwa kutenda mema na kuacha uovu
Sherehe ya Kristmas kwa mkiristo ni kiashiria cha kukumbuka upendo wa Mungu kwa mwanadamu kwa ujio wa Yesu Kristo mkombozi wa ulimwengu. Na Hobokela Lwinga Wakristo duniani wametakiwa kutenda mema ili kuwa kielelezo kuonyesha kwamba ni wafuasi wa Mungu hali…
25 December 2024, 12:44
Waumini watakiwa kujifanyia tathimini katika kusherekea Christmas ikiwa ni pamoj…
Wakristo duniani kote wanasherekea sikukuu ya kuzaliwa Yesu Kristo ambapo katika mahubiri mbalimbali yamewakumbusha waumini kumrejea Mungu. Na Yuda Joseph Mwakalinga Waumini wa madhehebu mbalimbali nchini,wametakiwa kutumia maadhimisho ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo kama fursa ya kujitathmini kiroho na kuachilia…
1 April 2024, 15:19 pm
Wanaume kikwazo kwa wanawake kuwa viongozi – Makala
“Changamoto hizo ni kwa baadhi ya wanaume wenye tabia ya kuwakataza wake zao kushiriki masuala ya uongozi” Na Musa Mtepa Ni kipindi kinachoelezea changamoto zinazosababisha wanawake kutoshiriki kwa asilimia kubwa kwenye nafasi za kisiasa na uongozi . Kupitia kipindi hii…
19 January 2024, 13:04
Zaidi ya watoto 600 wafariki Januari hadi Desemba 2023 Kigoma
Zaidi ya watoto 600 wamefariki wakati wa kuzaliwa Mkoani Kigoma huku akina mama 76 wakipoteza maisha wakati wa kujifungua katika kipindi cha januari hadi disemba 2023. Josephine Kiravu anasimulia taarifa ifuatayo.
9 January 2024, 18:08
Madini yasababisha uhaba wa wanawake Chunya mkoani Mbeya
Na Hobokela Lwinga Wakati Takwimu sehemu Nyingi za Tanzania na Nchi nyingi za Afrika zikionyesha Wanawake kuwa wengi kuliko Wanaume Hali ni tofauti kwa Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya ambapo imeripotiwa kuwa Wanawake ni Wachache kuliko Wanaume. Sababu za Wanawake…