Siasa
4 Agosti 2025, 4:13 um
Karakana nyingine yateketea kwa moto Geita
Matukio ya moto kuteketeza karakana yameendelea kuongezeka mkoani Geita huku sababu za matukio hayo zikiwa hazijulikani. Na Kale Chongela: Moto mkubwa ambao chanzo chake bado hakijajulikana umeteketeza karakana moja ya useremala katika mtaa wa Mkoani, Kata ya Kalangalala, Manispaa ya…
24 Julai 2025, 2:12 um
Moto wateketeza karakana ya useremala Geita
Majanga ya moto yameendelea kuwa mwimba mchungu kwa wajasiriamali Geita huku sababu za majanga hayo nyingi zikiwa hazijulikani. Na Mrisho Sadick: Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza karakana moja ya useremala katika Mtaa wa Nyerere Road Manispaa ya Geita Mkoani…
22 Julai 2025, 8:18 um
Miaka miwili baada ya mume kujinyonga, mke naye ajinyonga
Tukio la mama huyo kujinyonga limeacha maswali mengi kutokana na mume wake miaka miwili iliyopita alifariki kwa kujinyonga pia Na Adelinus Banenwa Mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Pili Chacha (40) amefariki dunia kwa kujinyonga kwenye mti ulipo pembezoni mwa…
21 Julai 2025, 7:39 um
Ajali yaua watumishi wawili wa TRA Geita
Madereva watakiwa kufuata sheria za usalama barabarani ikiwa ni pamoja na kupumzika ili kuepusha ajali. Na Mrisho Sadick: Wafanyakazi wawili wa mamlaka ya mapato Tanzania TRA mkoa wa Mwanza wamefariki Dunia katika ajali mkoani Geita wakati wakitokea Mutukula Mkoani Kagera…
7 Julai 2025, 12:59
Zaidi ya milioni 800 kutolewa kwa vikundi 71 Kigoma
Vikundi vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu wametakiwa kutumia mikopo inayotolewa na Halmashauri kutumia mikopo hiyo kwa malengo yaliyokusudiwa. Na Mwandishi Zaidi ya shilingi milioni 800 zinatarajia kutolewa na Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma kwa vikundi 71 vya wajasiliamali…
28 Juni 2025, 5:32 um
Wanufaika wa TASAF wammwagia maua Rais Samia
Picha ya pamoja ya viongozi wa serikali na wanufaika wa TASAF. Picha na Samwel Mbugi “Tupende kuwashukuru viongozi na mama Samia” Na Samwel Mbugi Baadhi ya wanufaika wa mfuko wa kaya masikini TASAF wametoa shukurani kwa rais wa jamhuri ya…
13 Juni 2025, 17:03
Serikali kuboresha sera na sheria kwa wenye ualbino
Serikali kuendelea kuboresha sera na sheria kuhusu watu wenye ualbino nchini. Na Kadislaus Ezekiel Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, amesema Serikali itaendelea kuchukua hatua mahususi kuboresha mifumo ya Kisera na sheria katika kuboresha huduma…
6 Mei 2025, 3:13 um
Wahifadhi watakiwa kushirikiana na jamii kulinda urithi wa dunia
Kutumia mbinu ya ulinzi shirikishi na kutoa elimu ili kuwafanya wananchi wawe walinzi wa maeneo hayo. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa mkoa wa Mara Kanal Evance Mtambi amezitaka mamlaka za uhifadhi ikiwemo mamlaka ya hifadhi ya taifa ya Serengeti na…
6 Mei 2025, 10:18 mu
Waliolipwa Nyatwali watakiwa kuondoka
Serikali tayari imetoa bilioni 53 kwa ajili ya ulipaji wa fidia kwa wakazi hao ili kuachia maeneo hayo yawe sehemu ya hifadhi ya taifa ya Serengeti. Na Adelinus Banenwa Wananchi wa Nyatwali ambao tayari wamelipwa stahiki zao kwa utaratibu wa…
3 Aprili 2025, 6:49 um
Bulldozer lajeruhi watano na kubomoa nyumba 3 Geita
“Mazao, miundombinu ya umeme, vimeharibiwa na huu mtambo licha ya kujeruhi watu” – Mwananchi Na: Edga Rwenduru: Watu watano kutoka katika kaya tatu zilizopo kitongoji cha Isingilo, kata ya Lwamgasa mkoani Geita wamejeruhiwa vibaya baada ya mtambo unaotumika katika uchimbaji…