
Siasa

16 January 2024, 12:16 pm
Watendaji watakiwa kukaa ofisini Nyasura
Wito umetolewa kwa watendaji wa serikali za mitaa kata ya Nyasura kukaa ofisini ili kutimiza adhma ya kuwahudumia wananchi. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa watendaji wa serikali za mitaa kata ya Nyasura kukaa ofisini ili kutimiza adhma ya kuwahudumia…

16 January 2024, 11:59 am
Diwani Nyasura awapa nyenzo za kazi mabalozi Nyasura
Diwani wa kata ya Nyasura na mwenyekiti wa kamati ya maendeleo ya kata Mhe Magigi Samweli Kiboko ametoa madaftari 33 na kalamu kwa mabalozi wote wa CCM katika kata hiyo ikiwa ni sehemu ya kuwawezesha viongozi hao kufanya kazi yao…

8 January 2024, 16:02
Swebe: Nipo tayari, CHADEMA nitume popote nitakwenda
Baada ya kushinda kwa kishindo katika uchaguzi wa ndani wa chama cha demokrasia na amaendeleo wilaya ya Kyela mwenyekiti mpya wa chama hicho Victoria Swebe amesema yuko tayari kukipigania chama hicho ili kitwae jimbo katika uchaguzi ujao. Na James Mwakyembe…

8 January 2024, 7:58 am
Getere ampongeza mwenyekiti wa kijiji kusimamia upatikanaji wa sekondari
Mbunge wa jimbo la Bunda Mhe Boniphas Mwita Getere amempongeza mwenyekiti wa kijiji cha Nyaburundu Hamisi Said Madoro kwa kusimama kidete ili kupata shule ya sekondari Nyaburundu. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda Mhe Boniphas Mwita Getere amempongeza…

4 January 2024, 9:43 pm
Wananchi watakiwa kujitokeza kutoa maoni marekebisho ya katiba
Wadau ,wanasiasa wa vyama vya upinzani pamoja na wananchi wamekua wakitoa maoni tofouti juu marekebisho katika miswada hiyo. Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa wananchi kushiriki ipasavyo kutoa maoni na mapendekezo katika Marekebisho ya Muswada wa Sheria za uchaguzi wa…

24 December 2023, 9:47 am
Mavazi yasiyo na staha yapigwa marufuku Rungwe
Moja ya sababu iliyo tajwa kupolomoka kwa maadili ni pamoja na kuigwa kwa tamaduni za nje,hivyo jamii imeshauriwa kudumisha utamaduni wa maeneo yao. Na lennox Mwamakula Wananchi wa kijiji cha Mbaka kilichopo kata ya Kisiba wamemwomba Mbunge wa jimbo la…

21 December 2023, 13:22
Kyela: Aliyeshinda rufaa ya kifungo cha maisha achukua fomu kugombea BAVICHA
Mshindi wa rufaa ya kifungo cha maisha Gerald Mwakitalu amechukua fomu ya kugombea nafasi ya mwenyekiti wa Balaza la Vijana Chadema BAVICHA wilaya ya Kyela na kuwaomba wajumbe kumchagua. Na James Mwakyembe Wakati uchaguzi wa ndani kwa ngazi ya wilaya…

19 December 2023, 19:49
Rungwe Mbeya yampokea mwenyekiti wa ccm mpya
Shangwe ya Mapokezi ya Mwenyekiti Mpya wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Patrick Mwalunenge Katika Wilaya ya Rungwe lmefana baada ya Mamia ya wakazi wa wilaya ya Rungwe kujitokeza Kumlaki. Mapokezi yamefanyika katika uwanja wa stendi ya daladala Tukuyu mjini. Mwalunge…

15 December 2023, 3:40 pm
Wafanyakazi Tume ya Uchaguzi Zanzibar watakiwa kufanya kazi kwa mashirikiano
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar George Joseph Kazi amewataka wafanyakazi wa tume hiyo kuendelea kufanya kazi kwa mashirikiano na kutoa michango katika jumuiya za kikanda. Mwenyekiti ameyasema hayo katika hafla ya kukabidhi tuzo ya mjumbe aliyeshiriki…

13 December 2023, 4:00 pm
Kinana azindua ofisi za kisasa za CCM Bukombe
Wilaya ya Bukombe imetekeleza Ilani ya chama cha mapinduzi CCM kwa kujenga ofisi za kisasa. Na Zubeda Handrish- Geita Makamu mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abrahman Kinana, amezindua ofisi ya kisasa ya chama hicho wilayani Bukombe mkoani…