
Sera na Sheria

21 June 2025, 12:01 pm
NEMC Kanda ya Kusini yaelimisha jamii matumizi mifuko ya plastiki
Hii ilikuwa sehemu ya kipindi kilichofanyika redioni kuelekea maadhimisho ya wiki ya Mazingira Duniani ambapo NEMC iliwasihi wananchi kutumia vifungashio vinavyokubalika kisheria ili kulinda mazingira, huku ikiendelea kutoa elimu kuhusu madhara ya mifuko ya plastiki na umuhimu wa utunzaji wa…

8 June 2025, 10:09 am
Taka za plastiki chanzo kikuu mabadiliko ya tabianchi
Haya yalikuwa mahojiaono ya moja kwa moja studio na maafisa wa Mazingira kutoka Baraza la uhifadhi na utunzaji wa Mazingira NEMC kanda ya kusini siku ya june 5,2025 ikiwa ni siku ya Mazingira Duniani. Na Musa Mtepa Dunia inaendelea kuathirika…

4 April 2025, 7:12 pm
‘Community Policing Outreach program’ yazinduliwa mkoani Geita
Leo April 04, 2025 mkoa wa Geita kupitia Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na GGML umezindua program yenye lengo la kutoa elimu kwa Jamii juu ya kukabiliana na vitendo vya uhalifu. Na: Ester Mabula: Program hiyo inafadhiliwa na Kampuni ya…

3 March 2025, 8:11 am
Mtoto wa miaka 8 azama maji kwenye rambo wakati akichota maji
Angel Wilson ( 8) mwanafunzi wa darasa la pili shule ya msingi Kataryo B halmashauri ya Musoma Vijijini anatajwa kuzama kwenye rambo wakati akiteka maji. Na Adelinus Banenwa Mtoto mmoja aliyetambulika kwa jina la Angel Wilson ( 8) mwanafunzi wa…

10 February 2025, 4:41 pm
GGML yajivunia huduma za afya meli ya MV Jubilee Hope
Meli ya MV Jubilee hope imekuwa ikitoa huduma za afya kwa jamii inayozunguka visiwa mbalimbali vya Ziwa Viktoria. Na: Ester Mabula – Geita Kampuni ya Geita Gold Minning Limited (GGML) imeendelea kujivunia jukumu lao la kudhamini huduma za afya zinazotolewa…

February 6, 2025, 10:46 pm
Mwanafunzi afariki kwa kuangukiwa na ukuta wa nyumba aliyokuwa amepanga
Mvua zinazoendelea kunyesha katika halmashauri ya Ushetu zimesababisha ukuta wa nyumba kupata unyevu na kusababisha kuanguka kutokana na nyumba hiyo kutokuwa imara. Na Leokadia Andrew Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya Sekondari ya Chona Halmashauri ya Ushetu Wilayani…

February 3, 2025, 5:13 pm
Wachimbaji watatu wahofiwa kufariki dunia kutokana na kufukiwa na kifusi Kahama
Zoezi la uokoaji linaendelea kwa kushirikiana na wananchi, lakini linakabiliwa na changamoto ya maji mengi ndani ya duara hilo Na leokadia Andrew Wachimbaji watatu wa dhahabu katika mgodi wa Nkandi, eneo la Mwime, Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga, wanahofiwa kufukiwa…

9 January 2025, 4:30 pm
Wananchi Babati walalamika taka kutokuzolewa kwa wakati
Wafanyabiashara katika eneo la Machinga complex lililopo mjini Babati mkoani Manyara wameiomba serikali ya halmashauri ya mji wa Babati kuondoa taka zilizojaa katika kizimba cha kuhifadhi taka Na George Agustino Wafanyabiashara katika eneo la Machinga complex lililopo mjini Babati mkoani…

19 December 2024, 4:35 pm
Sotta Mining Sengerema kuanza ujenzi January 2025
Mradi wa uchimbaji mkubwa wa dhahabu uliopo Nyanzaga-Sengerema unatarajiwa kuanza kazi za awali za ujenzi wa mgodi ifikapo Januari, 2025. Na;Elisha Magege Wananchi wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali zinazokuja kutokana na mgodi wa Sotta Mining Ltd unaotarajia…

5 December 2024, 12:40 pm
GGML kuendelea kuwajibika kwa jamii Geita
GGML yasema bado iko bega kwa bega na wananchi kwa kushiriki katika shughuli mbalimba za maendeleo katika jamii bila kuchoka. Na Mrisho Sadick: Mgodi wa Geita Gold Mining Limited (GGML) umewahakikishia wananchi wa mkoa wa Geta kuwa utaendelea kuwajibika ipasavyo…