Radio Tadio

Sera na Sheria

21 June 2025, 12:01 pm

NEMC Kanda ya Kusini yaelimisha jamii matumizi mifuko ya plastiki

Hii ilikuwa sehemu ya kipindi kilichofanyika redioni kuelekea maadhimisho ya wiki ya Mazingira Duniani ambapo NEMC iliwasihi wananchi kutumia vifungashio vinavyokubalika kisheria ili kulinda mazingira, huku ikiendelea kutoa elimu kuhusu madhara ya mifuko ya plastiki na umuhimu wa utunzaji wa…

8 June 2025, 10:09 am

Taka za plastiki chanzo kikuu mabadiliko ya tabianchi

Haya yalikuwa mahojiaono ya moja kwa moja studio na maafisa wa Mazingira kutoka Baraza la uhifadhi na utunzaji wa Mazingira NEMC kanda ya kusini siku ya june 5,2025 ikiwa ni siku ya Mazingira Duniani. Na Musa Mtepa Dunia inaendelea kuathirika…

10 February 2025, 4:41 pm

GGML yajivunia huduma za afya meli ya MV Jubilee Hope

Meli ya MV Jubilee hope imekuwa ikitoa huduma za afya kwa jamii inayozunguka visiwa mbalimbali vya Ziwa Viktoria. Na: Ester Mabula – Geita Kampuni ya Geita Gold Minning Limited (GGML) imeendelea kujivunia jukumu lao la kudhamini huduma za afya zinazotolewa…

9 January 2025, 4:30 pm

Wananchi  Babati walalamika taka kutokuzolewa kwa wakati

Wafanyabiashara katika eneo la Machinga complex lililopo mjini Babati mkoani Manyara wameiomba serikali ya halmashauri ya mji wa Babati kuondoa taka zilizojaa katika kizimba cha kuhifadhi taka Na George Agustino Wafanyabiashara katika eneo la Machinga complex lililopo mjini Babati mkoani…

19 December 2024, 4:35 pm

Sotta Mining Sengerema kuanza ujenzi January 2025

Mradi wa uchimbaji mkubwa wa dhahabu uliopo Nyanzaga-Sengerema unatarajiwa kuanza kazi za awali za ujenzi wa mgodi ifikapo Januari, 2025. Na;Elisha Magege Wananchi wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali zinazokuja kutokana na mgodi wa Sotta Mining Ltd unaotarajia…

5 December 2024, 12:40 pm

GGML kuendelea kuwajibika kwa jamii Geita

GGML yasema bado iko bega kwa bega na wananchi kwa kushiriki katika shughuli mbalimba za maendeleo katika jamii bila kuchoka. Na Mrisho Sadick: Mgodi wa Geita Gold Mining Limited (GGML) umewahakikishia wananchi wa mkoa wa Geta kuwa utaendelea kuwajibika ipasavyo…