Radio Tadio

Sera na Sheria

8 May 2023, 2:11 pm

Polisi Iringa wamshikilia Tegete kwa Kulawiti Mtoto.

Na Joyce Buganda na Hafidh Ally Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa linamshikilia Kijana anayejulikana kwa jina la DRIVE TEGETE Mkazi wa kijiji cha kidamali kata ya mzihi mwenye umiri wa miaka 23 kwa kosa la kulawiti Mtoto. Akizungumza na…

3 March 2023, 4:18 pm

Dhamana Kizungumkuti Iringa

Wameomba elimu hiyo mara baada ya kupata usumbufu ambao wamekuwa wakipitia wakati mgumu wakifuatilia dhamana. Na Joyce Buganda. Wakazi wa Manispaa ya Iringa  wameiomba Serikali kuendelea kutoa elimu kuhusu  suala la  dhamana ili kuwapunguzia adha pindi wanapohitaji huduma hiyo. Wakizungumza…

16 February 2023, 5:07 pm

Ukaguzi Vyombo vya Moto kwa Hiyari

Kufuatia wiki ya nenda kwa usalama ambayo imeanza kuadhimishwa kitaifa kuanzia Februari 6, 2023 ambapo Mkoani Iringa itazinduliwa mnamo Februari 18, 2023. Na Ansigary Kimendo. Jeshi la polisi kitengo cha Usalama barabarani Mkoani Iringa limejipanga kufanya ukaguzi wa vyombo vya…

3 February 2023, 3:16 pm

Maagizo matano kwa wakuu wa wilaya Tabora

Mkuu wa mkoa wa TABORA Balozi Daktari Batilda Buriani ametoa maagizo matano kwa Wakuu wa wilaya wa mkoa huo likiwemo la kwenda kusimamia masuala ya ulinzi na usalama katika maeneo yao. Maagizo hayo ameyatoa kwenye hafla ya uapisho wa wakuu…

26 September 2022, 1:41 pm

Ahukumiwa maisha Jela kwa Kumlawiti Mtoto wa miaka 6 Iringa

MAHAKAMA ya wilaya ya Iringa imemuhukumu kifungo cha maisha mtu mmoja Ayubu Kiyanza mwenye umri wa miaka 22 mkazi wa eneo la Don Bosco Manispaa ya Iringa kwa kosa la kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka 6 aliyekuwa akisoma darasa…

6 September 2022, 10:01 am

Madereva wapata elimu zoezi la ukaguzi magari ya Shule

Polisi Mkoa wa Arusha imefanya ukaguzi wa magari ya shule zaidi ya 150 na kutoa elimu kwa wamiliki wa shule na madereva wa magari hayo, toka maeneo mbalimbali jijini humo. Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Arusha, Mrakibu…

5 September 2022, 5:06 am

IGP Wambura aonya tabia ya kujichukulia sheria mkononi

Mkuu wa jeshi la polisi nchini (IGP), Camillius Wambura amewaonya wanachi wa wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro, kuwacha tabia ya kujilichukulia sheria mkononi kwa kuwaadhibu wahalifu ikiwemo ama kuwaua, na badala yake wawapeleke kwenya vyombo vya sheria. IGP Wambura, ametoa…