
Sera na Sheria

10 February 2025, 4:41 pm
GGML yajivunia huduma za afya meli ya MV Jubilee Hope
Meli ya MV Jubilee hope imekuwa ikitoa huduma za afya kwa jamii inayozunguka visiwa mbalimbali vya Ziwa Viktoria. Na: Ester Mabula – Geita Kampuni ya Geita Gold Minning Limited (GGML) imeendelea kujivunia jukumu lao la kudhamini huduma za afya zinazotolewa…

February 6, 2025, 10:46 pm
Mwanafunzi afariki kwa kuangukiwa na ukuta wa nyumba aliyokuwa amepanga
Mvua zinazoendelea kunyesha katika halmashauri ya Ushetu zimesababisha ukuta wa nyumba kupata unyevu na kusababisha kuanguka kutokana na nyumba hiyo kutokuwa imara. Na Leokadia Andrew Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya Sekondari ya Chona Halmashauri ya Ushetu Wilayani…

February 3, 2025, 5:13 pm
Wachimbaji watatu wahofiwa kufariki dunia kutokana na kufukiwa na kifusi Kahama
Zoezi la uokoaji linaendelea kwa kushirikiana na wananchi, lakini linakabiliwa na changamoto ya maji mengi ndani ya duara hilo Na leokadia Andrew Wachimbaji watatu wa dhahabu katika mgodi wa Nkandi, eneo la Mwime, Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga, wanahofiwa kufukiwa…

9 January 2025, 4:30 pm
Wananchi Babati walalamika taka kutokuzolewa kwa wakati
Wafanyabiashara katika eneo la Machinga complex lililopo mjini Babati mkoani Manyara wameiomba serikali ya halmashauri ya mji wa Babati kuondoa taka zilizojaa katika kizimba cha kuhifadhi taka Na George Agustino Wafanyabiashara katika eneo la Machinga complex lililopo mjini Babati mkoani…

19 December 2024, 4:35 pm
Sotta Mining Sengerema kuanza ujenzi January 2025
Mradi wa uchimbaji mkubwa wa dhahabu uliopo Nyanzaga-Sengerema unatarajiwa kuanza kazi za awali za ujenzi wa mgodi ifikapo Januari, 2025. Na;Elisha Magege Wananchi wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali zinazokuja kutokana na mgodi wa Sotta Mining Ltd unaotarajia…

5 December 2024, 12:40 pm
GGML kuendelea kuwajibika kwa jamii Geita
GGML yasema bado iko bega kwa bega na wananchi kwa kushiriki katika shughuli mbalimba za maendeleo katika jamii bila kuchoka. Na Mrisho Sadick: Mgodi wa Geita Gold Mining Limited (GGML) umewahakikishia wananchi wa mkoa wa Geta kuwa utaendelea kuwajibika ipasavyo…

22 October 2024, 5:38 pm
GGML yakabidhi pikipiki 50 kwa Jeshi la polisi Geita
GGML imeendelea kushirikiana na serikali katika kufadhili shughuli mbalimbali za maendeleo mkoani Geita ikiwa ni ajenda yao ya kunufaisha Jamii inayozunguka mgodi huo. Na: Ester Mabula – Geita Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imekabidhi pikipiki 50 kwa Jeshi…

14 October 2024, 11:54 am
GGML kuendelea kufadhili miradi kupitia CSR
Mkoa wa Geita umeendelea kujivua uwepo wa mgodi wa GGML kwa kuwa umekuwa chachu ya maendeleo kwa wananchi katika nyanja mbalimbali hususani katika sekta za elimu na afya. Na: Ester Mabula – Geita Mgodi wa GGML umeahidi kuendelea kushirikiana na…

14 October 2024, 10:49 am
Rais Samia atoa tuzo kwa GGML ushiriki bora wa maonesho Geita
Oktoba 13, 2024 yamehitimishwa rasmi maonesho ya 7 ya teknolojia na uwekezaji katika sekta ya madini ambayo yalikuwa yakiendelea katika viwanja vya EPZA mjini Geita tangu Oktoba 02, 2024. Na: Ester Mabula – Geita Rais wa Jamhuri ya muungano wa…

2 September 2024, 23:22
MNEC Mwaselela aanza rasmi ziara Chunya, kukagua miradi ya maendeleo
MNEC Mwaselela amekutana na wajumbe wote wa Halmashauri kuu ya CCM Wilaya na viongozi wa jumuiya zote za Chama Cha Mapinduzi wilayani Chunya. Na Ezra Mwilwa MNEC Mwaselela amepokea Taarifa za Miradi Iliyotekelezwa na Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan…