Radio Tadio

Sera na Sheria

5 September 2022, 5:06 am

IGP Wambura aonya tabia ya kujichukulia sheria mkononi

Mkuu wa jeshi la polisi nchini (IGP), Camillius Wambura amewaonya wanachi wa wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro, kuwacha tabia ya kujilichukulia sheria mkononi kwa kuwaadhibu wahalifu ikiwemo ama kuwaua, na badala yake wawapeleke kwenya vyombo vya sheria. IGP Wambura, ametoa…

21 April 2022, 10:43 am

Maadhimisho ya muungano kufanyika Dodoma April 26

Na; Selemani Kodima. Serikali imesema kuwa maadhimisho ya miaka 58 ya muungano wa Tanzania yanatarajia kufanyika tarehe 26 April 2022 jijini dodoma ambapo Mgeni Rasmi atakuwa  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan. Taarifa  iliyotolewa leo…

27 April 2021, 6:10 am

Tanzania yaadhimisha miaka 57 ya muungano

Na,Mariam Matundu. Ikiwa Tanzania imeadhimisha miaka 57 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar ,imeelezwa kuwa changamoto 15 kati ya 25 za muungano zimetatuliwa . Hayo yameelezwa na Makamu wa Rais Dr. Philip Mpango wakati akifungua kongamano la maadhimisho ya miaka…