Nishati
28 Aprili 2023, 7:33 mu
DC Maswa awataka wananchi kupisha mradi wa umeme
Alex F. Sayi Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mhe. Aswege Kaminyoge amewataka wakazi Wilayani hapo wanaopitiwa na Mradi wa umeme toka Ibadakuli Mkoani Shinyanga hadi Bariadi Simiyu wenye msongo wa Kilovoti 220 kuachia maeneo yao kwaajili ya utekelezaji…
10 Aprili 2023, 11:50 mu
Nishati mbadala kuwanufaisha wakazi wa Makang’wa
Mradi huo unaotekelezwa kwa fedha kutoka Mfuko wa umoja wa wanawake( UWT) wilayani humo unatarajia kunufaisha moja ya kikundi cha wanawake katika kijiji hicho. Na Fred Cheti Baadhi ya wanawake wa kijiji cha Makang’wa wilayani Chamwino wanatarajia kunufaika na mradi…
4 Machi 2023, 5:54 um
Kupanda kwa bei ya mafuta kilio kwa abiria Katavi
KATAVI Abiria wa vyombo vya moto mkoani Katavi wameiomba serikali ipunguze bei ya mafuta kwani hali hiyo ina athiri shughuli zao za kila siku. Wakizungumza na mpanda Radio fm abiria hao wamesema kuwa kwa sehemu walizokua wakienda kwa Shilingi mia…
8 Febuari 2023, 12:50 um
Ukosefu wa nishati ya umeme yaleta chuki kwa viongozi
Imelezwa kuwa kukosekana kwa huduma ya nishati ya umeme kwa baadhi ya vitongoji katika Kata ya Idifu imesababisha baadhi wananchi kujenga chuki kwa viongozi na kutaja kitendo cha kukosekana kwa nishati hiyo ni uzembe wa viongozi. Na Victor Chigwada. Mwenyekiti…
2 Febuari 2023, 2:01 um
Changamoto ya umeme yakwamisha maendeleo kata ya Loje Chamwino
Kuanguka kwa nguzo za umeme katika baadhi ya maeneo yenye huduma ya umeme katika kata ya Loje imetajwa kusababisha kukosekana kwa kuhuduma hiyo . Na Victor Chigwada Wananchi wa kijiji cha Ingunguli Kata ya Loje Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali…
22 Januari 2023, 10:18 mu
Matumbulu walalamika gharama za umeme
Na; Mindi Joseph. Gharama kubwa ya kuunganisha umeme wa TANESCO katika mtaa wa Kusenha kata ya Mpungunzi imetajwa kuwa kikwazo kwa wananchi kuunganisha umeme huo. Gharama za kuunganisha umeme wa TANESCO ni zaidi ya laki tatu tofauti na umeme wa…
13 Januari 2023, 4:11 um
Vijiji 64 vyapata umeme jiji la Dodoma
Mkoa wa Dodoma una miradi mitano ya Umeme Vijiji ambapo mradi uliokamilika umewezesha kupelekea umeme kwa maeneo 80 ndani ya Vijiji 64. Thomas mbaja ni mwakilishi wa REA amefafanua hilo ikiwa ni utekelezaji wa kuhakikisha umeme vijijini .
16 Disemba 2022, 4:54 um
TANESCO Yaendeleza Jitihada Kukabiliana Na Hali Ya Upungufu Wa Umeme Nchini
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), limefanikiwa kupunguza makali ya upungufu wa umeme kutoka wastani wa megawati 350 kwa wiki zilizopita hadi kufikia wastani wa megawati 150 kwa sasa. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco Bw. Maharage Chande mbele ya…
8 Disemba 2022, 5:33 um
Bei za mafuta zapokelewa Kwa mikono miwili Katavi
MPANDA Madereva wa vyombo vya moto Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani katavi wametoa maoni yao juu ya mwenendo wa kushuka na kupanda kwa bei ya mafuta ya petrol na dizel. Wakizungumza na Mpanda Radio fm kwa nyakati tofauti madereva…
1 Disemba 2022, 8:11 mu
Wakazi wa Silwa walalamika kukosa huduma ya Umeme
Na; Victor Chigwada . Pamoja na jitihada za kusambaza umeme zinazo endelea nchini katika maeneo yaliyopo nje ya miji lakini bado baadhi ya maeneo yameendelea kuwa na kilio cha huduma hiyo. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi wa…