
Nishati

14 April 2025, 13:49
UNIDO yahamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia
Mkuu wa Mkoa Kigoma Thobias Andengenye amesema Serikali itaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo katika kuhamasisha jamii kutumia nishati safi ya kupikia. Na Josephine Kiravu Wadau mkoani kigoma wametakiwa kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu matumizi ya nishati safi ya…

2 April 2025, 8:04 pm
Fisi wavamia na kuua kondoo wa mahari Bariadi
“Hivi hatuwezi kumaliza kabisa suala la fisi mkoani hapa? Siku chache zilizopita matukio kama haya yaliripotiwa katika wilaya za Itilima na Maswa leo hii wameingia mjini Bariadi je, ni kweli hatuwezi au ndiyo kusema bado hatujaamua kufanya hivyo? Naomba kwenye…

March 27, 2025, 9:54 am
Mbunge Kishimba ashauri mazao mengine kuongezwa KACU
Mbunge wa Jimbo la Kahama mjini Jumanne Kishimba akiwa anazungumza katika mkutano mkuu wa 29 wa KACU. (Picha na Sebastian Mnakaya) ”Wakulima wengi walioko kwenye chama kikuu cha ushirika wilaya ya Kahama (KACU) ni wa pamba na tumbaku, je, wanaolima…

March 24, 2025, 3:58 pm
Wakulima wa tumbaku, pamba watakiwa kusimamia ubora
Wakulima wa zao la pamba na tumbaku wametakiwa kusimamia ubora wa mazao hayo kuanzia shambani hadi katika masoko. Sebastian Mnakaya Wakulima wa zao la pamba na tumbaku wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kusimamia vyema ubora wa mazao yao kuanzia katika…

March 22, 2025, 7:06 pm
Wakulima wa tumbaku kunufaika na mikopo yenye bima kutoka NMB
”Mkulima yeyote anayelima zao la tumbaku ataondokana na hasara ya majanga mbalimbali ya asili baada ya kupata mkopo wenye bima ya mazo kutoka benki ya NMB” Na Sebastian Mnakaya Wakulima wa zao la tumbaku wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuchangamkia…

11 March 2025, 15:11
REA yatoa majiko banifu kwa wanufaika TASAF Kasulu
Uhamasishaji na utoaji elimu endelevu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia ni muhimu katika utekelezaji mpango wa serikali kwa mtanzania kutumia nishati hiyo ifikapo 2034 Na Hagai Ruyagila Serikali kuu kupitia Wakala wa Nishati Vijijini REA imetoa majiko banifu…

27 February 2025, 1:41 pm
Kifahamu kijiji cha Chikopelo kilichopitiwa na bonde la ufa
Wakazi wa kijiji hiki wengi wanajihusisha na kilimo . Na Yussuph Hassan. Karibu kwenye mfululizo wa makala hii ya Fahari ya Dodoma kuufahamu uzuri wa mkoa wa Dodoma ambapo leo tunakitazama kijiji cha Chikopelo kinachopatikana katika kata ya Chali wilayani…

17 February 2025, 19:06 pm
Simba SC yatua Mtwara, kuwakabili Namungo Feb 19 Ruangwa
Katika misimu miwili iliyopita simba sc haijawahi kushinda mchezo wowote wa ligi kuu katika uwanja wa Majaliwa dhidi ya Timu ya Namungo ,katika michezo miwili waliyocheza katika miimu hiyo miwili wameambulia kupata sare. Na Musa Mtepa Timu ya soka ya…

5 December 2024, 10:15 am
Mradi wa maji Wariku wa bilioni 1.6 watambulishwa rasmi
BUWSSA kutumia miezi sita kukamilisha ujenzi wa mradi wa maji wa bilioni 1.6 kata ya Wariku mkurugenzi atoa tahadhari ya wizi wa vifaa. Na Adelinus Banenwa Mamlaka ya maji safi na usafi wa Mazingira Bunda BUWSSA imetangaza kuanza kutekeleza mradi…

10 November 2024, 08:44 am
DC Mtwara azindua uchaguzi Ndile Cup
Huu ni msimu wanne wa mashindano hayo ambayo yamekuwa yakijigeuza kila mwaka kutokana na matukio makubwa ya kitaifa ambapo mwaka 2022 yalitwa Sensa Ndile Cup na mwaka yanajulikana na kama Uchaguzi Ndile Cup. Na Musa Mtepa Mkuu wa Wilaya ya…