Miundombinu
16 Agosti 2024, 22:22
Wananchi Igodima waomba kujengewa ofisi ya mtaa
Katika kurahisisha upatikanaji wa huduma bora na karibu na wananchi hurahisishwa na ofisi zilizo karibu,katika mtaa wa Igodima jijini Mbeya kwao hali hiyo imekuwa tofauti na wananchi wa mitaa mingine. Na Hobokela Lwinga Baadhi ya wananchi mtaa wa Igodima Kata…
18 Juni 2024, 8:27 mu
Umeme vijijini ulivyobadilisha maisha Geita
Na Adelina Ukugani: Karibu katika makala ya Tafakari Pevu, kipindi kinachokukutanisha wewe msikilizaji na kiongozi wako kujadili masuala mbalimbali yanayotatiza utekelezaji wa dhana ya utawala bora Mkoani Geita. Tafakari Pevu inatoa nafasi kwako kuibua changamoto katika eneo lako zinazokwamisha mikakati ya wananchi na viongozi kujiletea…
Juni 7, 2024, 9:11 mu
Wawili wachomwa moto kwa tuhuma za wizi Shinyanga
Vijana wawili waliofahamika kwa majina ya Bahati Dotto na Emma wakazi wa manispaa ya Shinyanga wamepigwa na wananchi wenye hasira kali na kisha kuchomwa moto hadi kupoteza maisha wakituhumiwa kujihusisha na matukio ya wizi. Tukio hilo limeteokea jana mtaa wa…
1 Febuari 2024, 17:15
Wakandarasi wa barabara Kigoma wanyoshewa kidole kutowajibika
Wajumbe Wa Bodi ya Barabara Mkoa wa Kigoma, Wamelalamikia Kusuasua kwa Ujenzi wa Miundombinu ya Barabara za Uvinza – Tabora na Kigoma – Kalya, Kwa madai ya wakandarasi kutowajibika ipasavyo, Pamoja na Kiwango Duni cha Ujenzi wa Mitaro Katika Barabara…
Januari 25, 2024, 8:28 mu
Milioni 622 kufidia ujenzi wa barabara Makete
Ikiwa tayari ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami katika eneo la ujuni umeshaanza kwa zaidi ya kilometa 3 serikali imeendelea kutoa fedha ili kukamilisha ujenzi wa barabara hiyo kutoka Makete ,kupitia Nkenja kwenda Mbeya Na Aldo Sanga Waziri wa…
24 Januari 2024, 10:17 um
Wafanyabishara sabasaba wafurahia mazingira ya soko
Soko la Sabasaba ni miongoni mwa masoko makubwa yaliyopo Jijini Dodoma ambayo ni maarufu kwa uuzwaji wa bidhaa mbalimbali ikiwemo mbogamboga matunda na mavazi. Na Thadei Tesha.Wafanyabiahara wa soko la sabasaba Jijini Dodoma Wameelezea kufurahishwa na hali ya mazingira ya…
24 Januari 2024, 2:57 um
MPANDA, Wananchi Walia na Ubovu wa Barabara
“Wananchi Wamesema Barabara nyingi zilizopo Manisapa zina Mashimo yaliyojaa maji na matope, mitalo iliyojaa michanga na takataka inayosababisha maji kuchepuka na kuingia barabarani” Picha Na Festo Kinyogoto Na Gladness Richard-katavi Wananchi wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba Serikali kuboresha…
Januari 22, 2024, 8:04 um
Waziri Bashungwa aagiza kasi zaidi ujenzi barabara ya Makete-Mbeya
Waziri Bashungwa amefanya ziara katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Mbeya- Makete kwa kiwango cha lami huku akitoa maelekezo kwa mkandarasi kuongeza kasi ya ujenzi ikiwa nipamoja na kuongeza mitambo ili kuendana na mkataba wamradi huo Na Aldo Sanga…
Januari 19, 2024, 6:30 um
DC Sweda aahidi laki tano matengenezo barabara Kinyika-Mlondwe
na mwandishi wetu. Imeelezwa kuwa barabara ni moja ya njia inayowasaidia wanananchi kuweza kujikwamua kiuchumi. mkuu wa wilaya makete mh juma sweda ametembela barabara ya kinyika- mlondwe na kuona changamoto inayowakumba wanachi wa maeneo hayo na kuahidi kutoa kiasi cha…
16 Januari 2024, 11:58 mu
Mvua kubwa yaua watatu Same
Kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha wilayani Same Mkoani Kilimanjaro na zimesababisha madhara katika miundombinu ya barabara pamoja na kusababisha watu kupoteza maisha. Na Elizabeth Mafie Watu watatu wamefariki Dunia Wilayani same Mkoani Kilimanjaro kwa kufukiwa na nyumba na mmoja…