Radio Tadio

Miundombinu

29/10/2024, 19:33

Wafanyabiashara Manyara watakiwa kuhakiki bidhaa zao TBS

Wafanyabiashara ambao ni wazalishaji wa bidhaa mkoani Manyara wametakiwa kuhakikisha wanakuwa na leseni ya TBS kabla ya kusambaza bidhaa hizo kwa watumiaji ili zihakikiwe ubora. Na Mzidalfa Zaid Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya kaskazini limewataka wananchi mkoani Manyara …

13 Oktoba 2024, 12:01 um

Mavunde awatuliza wananchi mgodi wa Sota Sengerema

Mgodi wa dhahabu wa SOTA GOLD Mining uliopo kata ya Igalula wilayani Sengerema mkoani Mwanza unatarajiwa kuanza uzalishaji mwakani 2025, ambapo kwasasa wameaanza madalizi ya ujenzi wa Mgodi huo,ikiwemo kuwahamisha wananchi wenye maeneo yanayo pakana na eneo la mgodi huo.…

18/09/2024, 01:32

Mufti mkuu wa Tanzania autembelea mgodi wa GGML

Pichani ni mufti mkuu akiwa na viongozi wa dini mkoa na viongozi wa GGML .Picha na Adelina ukugani Mufti na Sheikhe mkuu wa Tanzania amefanikiwa kutembelea mgodi wa GGML kwa mara ya kwanza uliopo mkoani Geita akiambatana na Viongozi mbalimbali…

09/09/2024, 21:09

GGML yajizatiti kuisaidia Tanzania kufikia SDGs

Geita Gold Mining Limited (GGML) imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuendelea kushirikiana na Serikali pamoja na wadau wengine ili kuhakikisha Tanzania inapiga hatua. Na Gabriel Mushi: Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesisitiza dhamira yake ya…

16 Agosti 2024, 22:22

Wananchi Igodima waomba kujengewa ofisi ya mtaa

Katika kurahisisha upatikanaji wa huduma bora na karibu na wananchi hurahisishwa na ofisi zilizo karibu,katika mtaa wa Igodima jijini Mbeya kwao hali hiyo imekuwa tofauti na wananchi wa mitaa mingine. Na Hobokela Lwinga Baadhi ya wananchi mtaa wa Igodima Kata…

18/06/2024, 08:27

Umeme vijijini ulivyobadilisha maisha Geita

Na Adelina Ukugani: Karibu katika makala ya Tafakari Pevu, kipindi kinachokukutanisha wewe msikilizaji na kiongozi wako kujadili masuala mbalimbali yanayotatiza utekelezaji wa dhana ya utawala bora Mkoani Geita. Tafakari Pevu inatoa nafasi kwako kuibua changamoto katika eneo lako zinazokwamisha mikakati ya wananchi na viongozi kujiletea…