Miundombinu
31 Januari 2025, 11:56 mu
Nyangh’wale yapendekeza bajeti ya bilioni 4.3
Madiwani waishauri halmashauri ya Nyangh’wale kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato kwa kubuni vyanzo vipya ambavyo haviwaumizi wananchi. Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita imeendelea kufanya vizuri kwenye ukusanyaji wa mapato kwa miaka mitano mfululizo hali…
28 Januari 2025, 6:39 mu
Dc Bunda awakutanisha wafanyabiashara kujadili changamoto zao
Lengo la mkutano wake na wafanyabiashara ni kukaa na kujadili namna gani ya kushirikiana ili kusonga mbele kwa mwaka huu wa 2025. Na Edward Lucas Wafanyabiashara wilayani Bunda wajadili changamoto zao katika sekta ya mifugo, uvuvi , kilimo pamoja na…
Januari 18, 2025, 5:32 um
Mwili wa mwanamke wapatikana ukiwa umezikwa
wachungaji wa ng’ombe walikuwa wanachunga katika maeneo hayo ndipo ng’ombe walikimbilia eneo hilo na kuanza kufukua, wachungaji waliwapiga ng’ombe ili watoke ndipo walipogundua kwamba kuna kitu kimefukiwa na kwenda kutoa taarifa Na Sebastian Mnakaya Mwili wa Mwanamke Asha Mayenga anayekadiriwa…
10 Januari 2025, 5:12 um
Wafanyabiashara Babati walalamika kuondolewa kwa vibanda vyao
Wajasiriamali wanaofanya shughuli zao katika hifadhi ya eneo la barabara kuu mjini Babati mkoani Manyara wamesema serikali ingewashirikisha na kuwapa mda wa kutafuta maeneo mengine kabla ya kuwaondoa kwenye maeneo hayo. Na George Agustino Kufuatia zoezi la kuwaondosha wajasiriamali wanaofanya…
5 Disemba 2024, 12:40 um
GGML kuendelea kuwajibika kwa jamii Geita
GGML yasema bado iko bega kwa bega na wananchi kwa kushiriki katika shughuli mbalimba za maendeleo katika jamii bila kuchoka. Na Mrisho Sadick: Mgodi wa Geita Gold Mining Limited (GGML) umewahakikishia wananchi wa mkoa wa Geta kuwa utaendelea kuwajibika ipasavyo…
25 Novemba 2024, 23:57 um
CHADEMA yahimiza wananchi kupima uwezo wa wagombea badala ya vyama vya kisiasa
Kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa kampeni zinatarjia kuhitimisha kesho tarehe 26.11.2024 saa 12:00 jioni ikiwa tayari kwa ajili ya uchaguzi November 27, 2024 Na Musa Mtepa Wananchi wa Kijiji cha Ngorongoro, Kata ya Nanguruwe, Halmashauri…
20 Novemba 2024, 12:41 um
Wajasiriamali Babati mji wakabidhiwa Millioni 211
Vikundi 19 vya wajasiriamali wa halmashauri ya mji wa Babati mkoani Manyara, vyakabidhi mkopo wa shilingi millioni 211 ikiwa ni lengo la serikali kuwakwamua wananchi kiuchumi. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa wilaya ya Babati Emanuela Kaganda, amekabidhi shilingi millioni 211…
18 Novemba 2024, 6:16 um
Kanisa Katoliki, GGML wawaibua watoto wenye ulemavu Geita
Katika jamii hususani mikoa ya kanda ya ziwa bado kuna changamoto ya watoto wenye ulemavu kuendelea kufichwa huku imani potofu ikitajwa kuwa sababu. Na Mrisho Sadick: Kanisa Katoliki Jimbo la Geita kwa kushirikiana na mgodi wa GGML limefanikiwa kuwaibua watoto…
29 Oktoba 2024, 7:33 um
Wafanyabiashara Manyara watakiwa kuhakiki bidhaa zao TBS
Wafanyabiashara ambao ni wazalishaji wa bidhaa mkoani Manyara wametakiwa kuhakikisha wanakuwa na leseni ya TBS kabla ya kusambaza bidhaa hizo kwa watumiaji ili zihakikiwe ubora. Na Mzidalfa Zaid Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya kaskazini limewataka wananchi mkoani Manyara …
14 Oktoba 2024, 10:49 mu
Rais Samia atoa tuzo kwa GGML ushiriki bora wa maonesho Geita
Oktoba 13, 2024 yamehitimishwa rasmi maonesho ya 7 ya teknolojia na uwekezaji katika sekta ya madini ambayo yalikuwa yakiendelea katika viwanja vya EPZA mjini Geita tangu Oktoba 02, 2024. Na: Ester Mabula – Geita Rais wa Jamhuri ya muungano wa…