Radio Tadio

Miundombinu

19/03/2025, 17:58

Wananchi Geita wahoji mapato ya 10% ya viwanja

‘Inabidi viongozi wa mtaa waweke wazi juu ya mapato ya asilimia 10 ili tuelewe inatumika katika maeneo gani’ – Mwananchi Na: Kale Chongela – Geita Baadhi ya wakazi wa kata ya Buhalahala katika halmashauri ya manispaa ya Geita wamewaomba viongozi…

19/03/2025, 16:00

Miaka minne ya Rais Samia yaacha neema Geita

Leo Marchi 19, 2025 imetimia miaka minne ya uongozi wa Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambapo katika kipindi hicho miradi mbalimbali ya kimkakati imeanzishwa wilayani Geita. Na: Ester Mabula – Geita Wananchi wilayani na mkoani Geita…

4 Machi 2025, 16:37

Kifo cha mwanamke mwenye ualbino ufanyike uchunguzi

Siku moja baada ya kuripotiwa kifo cha mwanamke mwenye ualbino Wande Mbiti mkazi wa kijiji cha Nhelegani kata ya Kizumbi Manispaa ya Shinyanga mkoani Shinyanga ambaye mwili wake umekutwa ndani ya nyumba aliyokuwa akiishi huku mlango ukiwa umefungwa kwa nje,…

20 Febuari 2025, 23:03

RC Sendiga awaonya wafanyabiashara wadanganyifu

Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Cuthbert Sendiga, ameongoza hafla ya kilele cha siku ya mlipa kodi. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa mkoa wa manyara Queen Sendiga amewaonya baadhi wafanyabiashara ambao wamekuwa hawatoi risiti au kutoa risiti ambazo haziendani na…

17/02/2025, 17:41

Jengo la ofisi za hazina lazinduliwa mkoani Geita

Serikali imeendelea kuimarisha na kuboresha huduma za wizara ya fedha ikiwemo kusogeza huduma hizo karibu na wananchi zaidi. Na: Edga Rwenduru – Geita Wizara ya fedha imetoa onyo kwa watu na taasisi mbalimbali za fedha zinazotoa mikopo umiza kwa wananchi…

31/01/2025, 11:56

Nyangh’wale yapendekeza bajeti ya bilioni 4.3

Madiwani waishauri halmashauri ya Nyangh’wale kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato kwa kubuni vyanzo vipya ambavyo haviwaumizi wananchi. Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita imeendelea kufanya vizuri kwenye ukusanyaji wa mapato kwa miaka mitano mfululizo hali…

18 Januari 2025, 17:32

Mwili wa mwanamke wapatikana ukiwa umezikwa

wachungaji wa ng’ombe walikuwa wanachunga katika maeneo hayo ndipo ng’ombe walikimbilia eneo hilo na kuanza kufukua, wachungaji waliwapiga ng’ombe ili watoke ndipo walipogundua kwamba kuna kitu kimefukiwa na kwenda kutoa taarifa Na Sebastian Mnakaya Mwili wa Mwanamke Asha Mayenga anayekadiriwa…