![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Miundombinu
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2023/12/vlcsnap-2023-12-21-06h01m55s971-350x350.png )
21 December 2023, 5:23 pm
Serikali kuanza ujenzi wa barabara ya Mpwampwa kwa kiwango cha lami
Hii ni kufatia hoja ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Goerge Fuime kubiua hoja ya ujenzi wa barabara hiyo katika kikao cha bodi ya barabara kilichofanyika leo Jijini Dodoma. Na Arafa Waziri.Hatimae kilio cha Wakazi wa Wilaya ya…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/39/2023/12/whatsapp-image-2023-12-15-at-162430-1-1-350x350.jpeg )
18 December 2023, 13:55
wananchi Kigoma walalamikia TARURA kuelekeza maji ya mitaro mingi kwenye makazi…
Wananchi wa Mtaa wa Katubuka maeneo ya Bwawani Kata ya Katubuka Manispaa ya Kigoma Ujiji wamelalamikia Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini TARURA kuelekeza mitaro mingi ya maji kwenye mtaa huo na kupelekea mtaa huo kujaa maji kipindi cha…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/40/2023/12/picha-ya-meneja-talura-350x350.jpg )
16 December 2023, 11:27
Mfungata:Tutaendelea kujenga lami zaidi Kyela
Serikali ya Tanzania chini ya Raisi Samia Suluhu Hasani imepanga kujenga barabara zinazogawa mitaa ndani ya Wilaya ya kyela katika bajeti ya 2023-2024. Na Nsangatii Mwakipesile Wakati serikali ikiendelea kutekeleza Miradi mbalimbali hapa nchini mhandisi wa TARURA Karim Mfungata ametoa…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2023/12/vlcsnap-2023-12-13-09h44m42s877-350x350.png )
13 December 2023, 8:59 pm
Wafanyabiashara Sabasaba washukuru kuboreshewa miundombinu ya soko
Soko la sabasaba ni miongoni mwa masoko makubwa na maarufu katika jiji la dodoma ambapo kwa mujibu wa baadhi ya wakaz wa jiji la dodoma wanasema kuwa soko hili linasifika kwa kuuzwa bidhaa za mbogamboga na matunda kwa bei rahii…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/41/2023/12/mkoa-wa-songwe-20231212-0002-350x350.jpg )
12 December 2023, 19:09
TANROAD Songwe yakabidhiwa gari mpya kuimarisha miundombinu ya barabara
Na mwandishi wetu, Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Dkt. Francis K. Michael katika kuimarisha sekta ya miundombinu ya barabara amekabidhi gari aina ya Toyota Landcruiser ambalo limetolewa na serikari kupitia Wizara ya Ujenzi katika ofisi ya Wakala wa…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/29/2023/12/vlcsnap-2023-12-12-09h44m54s804-350x350.png )
12 December 2023, 10:10 am
Daraja la Msadya lakamilika, laanza kutoa huduma kwa wananchi Katavi
Picha na Site Tv Daraja hilo limegharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 4.8 Na Betord Benjamini-Katavi Daraja la Msadya lenye urefu wa Mita 60 lilipo katika halmashauri ya Mlele mkoani Katavi limekamilika na limeanza kutoa huduma kwa wananchi. Akizungumza Meneja wa…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/27/2023/12/whatsapp-image-2023-12-10-at-43709-pm-350x350.jpeg )
10 December 2023, 5:28 pm
Kijiji cha Andikoni Pemba chalilia kukosa barabara toka mapinduzi ya Zanzibar
kijiji cha Andikoni ni moja ya kijiji ambacho kinapatikana katika wilaya ya mkoani, kijiji hicho ni miongoni mwa kijiji kilichokosa miundombini ya barabara kwa muda mrefu sasa na wakaazi wake kulilia changamoto hiyo na kuiomba serikalia kuwaonea huruma na kuwatengenezea…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/40/2023/12/img-20231209-065458-284-350x350.jpg )
9 December 2023, 17:29
Kyela:Nguvu ya wananchi yatumika kukarabati miundombinu ya barabara Ipyana B
Pichani Ni wananchi wa Kitongoji cha Ipyana B wakiwa katika zoezi la uchongaji wa barabara za mitaa za balozi mbili zilizoungana.Picha na Nsangatii Mwakipesile Katika kuhakisha wanaunga mkono jitihada za serikali za kujiletea maendeleo miongoni mwao wananchi wa balozi mbili…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/40/2023/12/img-20231206-085658-714-350x350.jpg )
9 December 2023, 13:34
Kyela:Barabara 21 zakarabatiwa Butihama
Pichani ni Mwenyekiti wa kitongoji cha Butihama hapa wilayani Kyela Yohana Mwambungu akiwa katika moja ya makaravati mapya yaliyojengwa.Picha na James Mwakyembe. Wananchi wa kitongoji cha Butihama wameipongeza serikali kwa kufanikisha ujenzi wa barabara 21 pamoja na makaravati 14 hali…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/35/2023/12/mamlaka-ya-ndege-kia-350x350.jpg )
9 December 2023, 11:55 am
KIA kuwekwa taa za kisasa
Mamlaka ya viwanja vya ndege nchini (TAA) inatarajia kufanya maboresho ya miundombinu ya viwanja vya ndege hapa nchini huku uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ukiwekwa taa za kisasa. Na Elizabeth Mafie Mamlaka ya viwanja vya ndege nchini…