Miundombinu
06/06/2025, 17:50
Bilioni 19 kujenga stendi mpya Manispaa ya Geita
Matamanio ya muda mrefu kwa wakazi wa Manispaa ya Geita yakuahidiwa kituo cha kisasa cha mabasi ya abiria huenda yakafanikiwa baada ya Manispaa hiyo kusaini mkataba wa ujenzi. Na Kale Chongela: Halmashauri ya Manispaa ya Geita imesaini mkataba wa ujenzi…
4 Juni 2025, 15:59
Wanahabari wanawake na rushwa ya ngono
Rushwa ya ngono ndani ya vyombo vya habari, hujumuisha kubadilishana tendo la ngono na ajira, au tendo la ngono na uhakika wa usalama wa kazi na wakati mwingine upendeleo katika kuchapishwa kwa habari. Utafiti uliochapishwa mwaka 2022 na Shirika la…
03/06/2025, 18:27
Vikundi 53 vyapokea mikopo ya milioni 303 Nyang’hwale
Wajasiriamali wilayani Nyang’hwale Mkoani Geita watakiwa kutumia mikopo ya asilimia 10 kukuza biashara zao Na Mrisho Sadick: Serikali wilayani Nyang’hwale Mkoani Geita imelitaka shirika la maendeleo ya viwanda vidogo (SIDO) kuongeza nguvu ya kutoa elimu , ujuzi na utambuzi wa…
29/05/2025, 12:03
Zaidi ya Tsh. Mil 14 yaokolewa na TAKUKURU mkoa wa Geita
Katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Marchi mwaka huu, TAKUKURU mkoa wa Geita imefanikiwa kuokoa jumla ya shilingi 14,221,567 katika miradi minne ya elimu ambayo ilibainika kuwa na mapungufu. Na: Ester Mabula: Akitoa taarifa mbele ya waandishi wa habari leo…
27/05/2025, 14:41
DC Komba akabidhi mifuko 538 ya saruji Geita DC
Jumla ya mifuko 538 ya saruji imetolewa katika ya mifuko 1,071 iliyoahidiwa ili kuweza kukamilisha ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika Afya, elimu na miundombinu. Na: Ester Mabula: Mkuu wa wilaya ya Geita Mhe. Hashim Abdallah Komba leo Mei…
20/05/2025, 16:17
Waliokosa mkopo wa 10% waandamana Geita
Mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri imezua kizaa zaa baada ya baadhi ya watu kukosa katika halmashauri ya manispaa ya Geita. Na: Kale Chongela: Baadhi ya wananchi kata ya kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita wamelalamikia kitendo cha kukosa…
16/05/2025, 15:33
BASATA yawataka wasanii kujisajili
Na Mzidalfa Zaid Wasanii mkoani Manyara na nchini kwa ujumla wametakiwa kujisajili katika Baraza la sanaa la Taifa (BASATA) ili kutambuliwa na Baraza hilo na kupatiwa cheti cha sanaa pamoja na kupata fursa zitokanazo na sanaa . Afisa kutoka BASATA…
15/05/2025, 17:12
Vikundi 100 vyapatiwa mkopo halmashauri ya manispaa ya Geita
Jumla ya kiasi cha shilingi Bilioni 1.228 kimetolewa kwa vikundi 100 vinavyojumuisha makundi ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ili kuweza kujikwamua kiuchumi kupitia miradi mbalimbali. Na: Ester Mabula: Hafla ya utoaji wa mikopo hiyo imefanyika leo Mei 15,…
14/05/2025, 20:11
Sendiga awataka wakulima kujiunga na vyama vya ushirika
Jukwaa la maendeleo ya vyama vya ushirika mkoa wa Manyara limefanyika leo, ambapo mkuu wa mkoa wa Manyara Qqueen Sendiga, amewataka wananchi kujiunga na vyama vya ushirika ili kunufaika na fursa zinazopatikana ndani ya vyama hivyo. Na Mzidalfa Zaid Mkuu…
14/05/2025, 09:31
Wizara ya Maendeleo ya Jamii kuwainua wafanyabiashara
‘Mikopo hii ina riba nafuu kabisa na ni maono ya serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuwainua wafanyabishara kufikia malengo yao’ – Afisa maendeleo ya Jamii Carlos Gwamgobe Na: Ester Mabula: Serikali kupitia wizara…