Miundombinu
3 Juni 2025, 6:27 um
Vikundi 53 vyapokea mikopo ya milioni 303 Nyang’hwale
Wajasiriamali wilayani Nyang’hwale Mkoani Geita watakiwa kutumia mikopo ya asilimia 10 kukuza biashara zao Na Mrisho Sadick: Serikali wilayani Nyang’hwale Mkoani Geita imelitaka shirika la maendeleo ya viwanda vidogo (SIDO) kuongeza nguvu ya kutoa elimu , ujuzi na utambuzi wa…
29 Mei 2025, 12:03 um
Zaidi ya Tsh. Mil 14 yaokolewa na TAKUKURU mkoa wa Geita
Katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Marchi mwaka huu, TAKUKURU mkoa wa Geita imefanikiwa kuokoa jumla ya shilingi 14,221,567 katika miradi minne ya elimu ambayo ilibainika kuwa na mapungufu. Na: Ester Mabula: Akitoa taarifa mbele ya waandishi wa habari leo…
27 Mei 2025, 2:41 um
DC Komba akabidhi mifuko 538 ya saruji Geita DC
Jumla ya mifuko 538 ya saruji imetolewa katika ya mifuko 1,071 iliyoahidiwa ili kuweza kukamilisha ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika Afya, elimu na miundombinu. Na: Ester Mabula: Mkuu wa wilaya ya Geita Mhe. Hashim Abdallah Komba leo Mei…
20 Mei 2025, 4:17 um
Waliokosa mkopo wa 10% waandamana Geita
Mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri imezua kizaa zaa baada ya baadhi ya watu kukosa katika halmashauri ya manispaa ya Geita. Na: Kale Chongela: Baadhi ya wananchi kata ya kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita wamelalamikia kitendo cha kukosa…
16 Mei 2025, 3:33 um
BASATA yawataka wasanii kujisajili
Na Mzidalfa Zaid Wasanii mkoani Manyara na nchini kwa ujumla wametakiwa kujisajili katika Baraza la sanaa la Taifa (BASATA) ili kutambuliwa na Baraza hilo na kupatiwa cheti cha sanaa pamoja na kupata fursa zitokanazo na sanaa . Afisa kutoka BASATA…
15 Mei 2025, 5:12 um
Vikundi 100 vyapatiwa mkopo halmashauri ya manispaa ya Geita
Jumla ya kiasi cha shilingi Bilioni 1.228 kimetolewa kwa vikundi 100 vinavyojumuisha makundi ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ili kuweza kujikwamua kiuchumi kupitia miradi mbalimbali. Na: Ester Mabula: Hafla ya utoaji wa mikopo hiyo imefanyika leo Mei 15,…
14 Mei 2025, 8:11 um
Sendiga awataka wakulima kujiunga na vyama vya ushirika
Jukwaa la maendeleo ya vyama vya ushirika mkoa wa Manyara limefanyika leo, ambapo mkuu wa mkoa wa Manyara Qqueen Sendiga, amewataka wananchi kujiunga na vyama vya ushirika ili kunufaika na fursa zinazopatikana ndani ya vyama hivyo. Na Mzidalfa Zaid Mkuu…
14 Mei 2025, 9:31 mu
Wizara ya Maendeleo ya Jamii kuwainua wafanyabiashara
‘Mikopo hii ina riba nafuu kabisa na ni maono ya serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuwainua wafanyabishara kufikia malengo yao’ – Afisa maendeleo ya Jamii Carlos Gwamgobe Na: Ester Mabula: Serikali kupitia wizara…
15 Aprili 2025, 1:42 um
Madereva Geita wakutana kujadili changamoto zao
Madereva wa vyombo vya usafiri vya kibiashara mkoani Geita wamekutaka kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili ikiwemo ya usajili LATRA Na Mrisho Sadick: Kufuatia mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kuwataka madereva wa vyombo vya moto vya kibiashara na watoa huduma kwenye…
14 Aprili 2025, 1:30 um
Wananchi Nyangh’wale waomba elimu ya mikopo
Kuanza kutolewa kwa mikopo ya asilimia 10 kumewaibua wananchi kudai kupatiwa elimu ya namna ya kuomba mikopo hiyo. Na Mrisho Sadick: Wananchi wilayani Nyangh’wale Mkoani Geita wameiomba serikali kuendelea kutoa elimu ya mikopo ya asilimia 10 kwakuwa idadi kubwa ya…