Radio Tadio

Miundombinu

17/08/2025, 20:02

Serikali yawajengea ofisi Bodaboda Geita

Wamekabidhiwa ofisi hiyo na Mkurugenzi wa Manispaa ya Geita Yefred Myenzi kwa ajili ya kuanza kuitumia rasmi katika shughuli zao. Na Kale Chongela: Umoja wa Madereva Bodaboda Mkoa wa Geita (UMABOGE) wameipongeza serikali kwa kuwajengea ofisi mpya iliyopo katika viwanja…

14/07/2025, 19:35

NMB yawa mkombozi kwa walimu Geita

Benki ya NMB imeendelea kuwa karibu na walimu ili kuwapunguzia baadhi ya changamoto ambazo ziko ndani ya uwezo wa benki hiyo kama mikopo yenye mashariti nafuu. Na Mrisho Sadick: Serikali imeahidi kuendeleza ushirikiano na Benki ya NMB kutokana na mchango…

12/07/2025, 16:43

Wananchi waanzisha ujenzi wa soko Mbogwe

kutembea umbali mrefu , ajali za barabarani zimewasukuma wakazi wa Mji Mwema kuanzisha ujenzi wa soko la mtaa Na Edga Rwenduru: Wakazi wa Kitongoji cha Mji Mwema Kata ya Lulembela wilayani Mbogwe Mkoani Geita wameamua kuanzisha Ujenzi wa soko la…

10/07/2025, 20:29

Shilabela waanzisha ujenzi wa ofisi ya mtaa

Zaidi ya miaka 25 serikali ya mtaa wa Shilabela Manispaa ya Geita imekuwa ikiishi katka ofisi za kupanga katika majumba ya watu. Na Kale Chongela: Wakazi wa mtaa wa Shilabela Manispaa ya Geita wameamua kuanzisha ujenzi wa ofisi ya kudumu…

08/07/2025, 19:15

Ngozi choma kitoweo kipya Geita

Ngozi imekuwa na matumizi mengi kama kutengeneza viatu na bidhaa nyingine lakini kwa Geita imekuwa tofauti. Na Mrisho Sadick: Kijana Robert Charles Mkazi wa Mwembeni Kata ya Nyankumbu Manispaa ya Geita ameamua kujishughulisha na kazi ya uuzaji wa ngozi choma kitoweo kipya ambacho…

02/07/2025, 11:38

Wakulima Geita watembelea daraja la JP Magufuli

Tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan afungue rasmi Daraja la JP Magufuli ili lianze kutumika kuanzia Juni 19, 2025 wananchi wameendelea kupongeza hatua hiyo. Na Mrisho Sadick: Wananchi na wakulima wa Mkoa wa Geita wameendelea kuipongeza…

26 Juni 2025, 8:47 mu

Dereva bajaji Katavi auwawa

Mahali ulipopumzishwa mwili wa Silavius. Picha na Leah Kamala “Ni tukio ambalo haulitegemei linatokea katika utafutaji” Na Leah Kamala Kijana mmoja mwendesha pikipiki ya magurudumu matatu maarufu kama bajaji kata ya Nsemulwa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Silavius Nestory Kameme…