Miundombinu
09/02/2023, 10:30
Zaidi ya wananchi 7000 watarajia kunufaika
Zaidi ya wananchi 7000 wa kijiji cha Ibihwa na Mpamantwa Wilayani Chemba wanatarajia kunufaika na huduma ya maji safi na salama pindi ujenzi wa mradi wa kisima kikubwa cha maji unaotekelezwa katika vijiji hivyo utakapokamilika. Na Fred Cheti. Hayo yameelezwa…
06/02/2023, 14:06
Mkandarasi ahimizwa kuharakisha ujenzi wa bwawa Membe
Mradi huo wa Bwawa la umwagiliaji unagharimu shilingi Bilioni 12 na litakapokamilika litachukua eneo lenye ukubwa wa ekari 388 na linatarajiwa kumwagilia mashamba yenye eneo la ukubwa wa ekari 8,000. Na Fred Cheti. Ujenzi wa Mradi wa bwawa kubwa la…
02/02/2023, 10:46
TARURA kutatua changamoto ya barabara Chamwino
Wakala wa barabara vijiji na mijini Tarura inatarajia kutatua changamoto ya barabara wilayani Chamwino kupitia bajeti ya mwaka 2023/2024. Na Seleman Kodima. Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Chamwino imesema inatarajia kutatau changamoto ya Miundombinu ya Barabara katika…
14 Januari 2023, 4:54 um
TARURA KUJENGA BARABARA ZA LAMI MJINI MASWA
Na mwandishi wetu,Samuel Mwanga. Wakala wa Barabara wa Mjini na Vijijini (TARURA)katika wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu kujenga barabara za kiwango cha lami katika mitaa mitatu mjini Maswa katika mwaka wa fedha 2023/2024. Hayo yameelezwa na Kaimu Meneja wa…
06/01/2023, 09:08
Wananchi wa Ilangasika watengua kauli ya kutoshiriki uchaguzi.
Na Said Sindo: Baada ya kilio cha muda mrefu cha Wananchi wa Kijiji cha Ilangasika kilichopo kata ya Lwamgasa katika Jimbo la Busanda baada ya kulalamika kwa muda mrefu juu ya hai mbaya ya barabara na daraja katika kijiji hicho…
25 Novemba 2022, 4:55 mu
Zaidi ya Bilioni 17 zimetengwa kwa ajili ya matengenezo ya barabar
KATAVI Serikali imetenga jumla ya shilingi bilioni 17.254 kwaajili ya matengenezo ya barabara kwa mwaka wa fedha 2022/2023. Akizungumza katika kikao cha bodi ya barabara meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania Tanroads mkoa wa Katavi Injinia Martin Mwakabende amesema mkoa…
19/10/2022, 09:15
Wakazi wa Njoge wahofia kuharibika zaidi kwa miundombinu ya barabara msimu wa mv…
Na; Victor Chigwada. Kuchelewa kwa ukarabati wa barabara za kata ya Njoge umewapa wasiwasi wakazi wa kata hiyo wakati wakijiandaa na msimu majira ya mvua Wakizungumza na Taswira ya Habari baadhi ya wananchi wa kata hiyo wamedai kuwa barabara hizo…
12/10/2022, 11:04
Miganga walalamikia ubovu wa Barabara
Na; Benard Filbert. Wakazi wa kijiji cha Miganga wilayani Chamwino wamelalamikia Ubovu wa miundombinu ya Barabara kuwa kero inayosababisha baadhi ya huduma za msingi kupatikana kwa tabu. Hayo yameelezwa na wakazi wa kijiji hicho wakati wakizungumza na Taswira ya habari…
16/09/2022, 13:57
Kata ya mnadani yaipongeza Dodoma fm Radio .
Na; Benard Filbert. Mwenyekiti wa mtaa wa Karume kata ya Mnadani Jijini Dodoma Bw Matwiga Kiatya ameipongeza Dodoma Fm kwa kuripoti habari kuhusu changamoto ya barabara katika mtaa huo ambayo kwa sasa ipo kwenye mchakato wa Ujenzi Akizungumza na taswira…
11 Septemba 2022, 3:42 um
Sh .Bilioni 1.7 Za Uviko_19 Zakamilisha Mradi Wa Jengo La Madarasa, Maabara Na O…
Fedha za Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO 19 zaidi ya bilioni 1.7 imewezesha kukamilishwa kwa Mradi wa jengo la madarasa, maabara na ofisi katika Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) Akitoa taarifa ya utekelezaji…