Miundombinu
05/05/2023, 15:45
Kondoa watakiwa kukamilisha miradi ya maendeleo kwa wakati
Na Mindi Joseph. Katibu Tawala Mkoa wa dodoma Bw. Ally Senga ameangiza ujenzi wa Miradi ya maendeleo ya kimkakati inayotekelezwa katika Halmashauri ya Kondoa Mji kukamlika ifikapo June 15 mwaka huu. Ameyabainisha hayo baada ya kutemebelea Miradi hiyo ikiwemo shule,…
29/04/2023, 11:07
Jumuiya ya Wazazi wilayani Kilosa waishauri serikali kuikarabati shule iliyoingi…
Ni zaidi ya miaka kumi shule ya msingi Madaraka imehamishwa kutokana na mafuriko yaliyoingia shuleni hapo na kupelekea wanafunzi kuhamishwa Jumuiya ya wazazi wameishauri serikali kuikarabati shule hiyo. “Majengo tumeyaona na tatizo kubwa lililofanya shule hiyo kuhamishwa ilikuwa ni mafuriko…
26/04/2023, 15:01
Operesheni ya kukamata wezi wa vyuma yaendelea Mpwapwa
Katika oparesheni hiyo ametoa muda kwa wale wote walio uziwa vyuma hivyo bila kujua wavikabidhi kwa watendaji. Na Fred Cheti. Mkuu wa Wilaya ya Mpwampwa Mhe.Sophia Kizigo amesema wanaendelea na operesheni maalum ya kukamata watu wanaoiba vyuma vilivyofungwa kwenye minara…
25/04/2023, 13:36
Mzogole waishukuru Serikali kwa kuanza ujenzi wa daraja
Ujenzi wa daraja hilo unafuatia baada ya kujengewa shule kubwa ya Sekondari iliyopo makao makuu ya kata, adha zilizowasumbua wananchi hao tangu kupatikana kwa uhuru wa nchi. Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Mzogole kata ya Mpinga wilayani Bahi…
24/04/2023, 13:20
Uongozi wa kijiji wakwamisha ujenzi wa shule ya sekondari Manungu
Wananchi wamesema wao hawana tatizo bali wanataka viongozi wafikie muafaka kuwa shule hiyo ijengwe wapi. NA Bernadetha Mwakilabi, Kongwa Wananchi wa kijiji cha Manungu kilichopo kata ya Sejeli wilayani Kongwa wameulalamikia uongozi wa halmashauri ya kijiji hicho hususani mwenyekiti kwa…
21/04/2023, 16:26
Wananchi Kongogo waridhia mradi wa ujenzi wa skimu za umwagiliaji
Mradi huo utagharimu Bilioni 5.6 na unakadiriwa kutumia kipindi cha mwaka Mmoja na Miezi sita kukamilika. Na Mindi Joseph. Wananchi wa Kijiji cha Kongogo kata ya Babayu Wilayani Bahi wameridhia ujenzi wa Mradi wa skimu za kilimo cha Umwagiliaji kutekelezwa…
21/04/2023, 14:37
Serikali yajenga nyumba bora za walimu Bahi
Katika hatua nyingine kamati ya Fedha Uongozi na Mipango ilibaini Mapungufu katika ujenzi wa vyumba viwili vya Maabara shule ya sekondari Chonama. Na. Bernad Magwa. Walimu wa shule za msingi wilayani Bahi wameishukuru serikali kwa kuwajengea nyumba bora za makazi…
20 Aprili 2023, 2:36 um
Mbunge Matondo aibana serikali kuanza ujenzi wa Barabara kutoka Airport- Nyangug…
Serikali imeombwa kukarabati Barabara ya Airport kwenda Nyanguge ambayo imekuwa mbovu na changamoto kwa watumishi. Na Mwandishi wetu Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Mwanza, Mh Furaha Matondo amehoji mkakati wa serikali kuanza ujenzi wa kiwango cha lami kwa barabara…
19/04/2023, 12:23
CCM Bahi yataka ujenzi wa stendi ya mabasi uchunguzwe
Suala la changamoto ya stendi mpya ya mabasi wilayani Bahi limekuwa likilalamikiwa na wananchi kwa muda mrefu kutokana na changamoto zilizopo eneo la stendi lakini adha kubwa ikiwa ni ongezeko la nauli mara mbili kutoka Bahi mpaka Dodoma mjini. Na…
18 Aprili 2023, 9:40 um
Walimu Mlele Wahakikishiwa Mazingira Rafiki
MLELE Mkuu wa Wilaya ya Mlele Majid Mwanga amewahakikisha Walimu mazingira rafiki ya uendaji kazi wakati wa utekelezaji wa majukumu yao waliyopewa na serikali. Mwanga ametoa kauli hiyo wakati akifungua kikao cha Wadau wa Elimu Halmashauri ya Wilaya ya Mlele…