Mazingira
20 Mei 2025, 4:27 um
Baraza la Amani Maswa wafanya kongamano kuliombea taifa, uchaguzi mkuu 2025
Lengo la Kongamano hili la Baraza la Amani ni kuwakutanisha Viongozi mbalimbali wa Dini na kukumbushana nafasi ya Viongozi hao katika kuleta amani hasa kuelekea uchaguzi mkuu utaofanyika mwaka huu pamoja na kuombea Rais Samia anapoongoza taifa kubwa kama Tanzania…
1 Aprili 2025, 5:27 um
Sheikh Kwezi: Wananchi acheni kuwaazimisha akili watu wengine
“Maneno ya wanasiasa yenye viashiria vya uvunjifu wa amani yasipuuzwe lazima tuweze kuchukua hatua kwa hao viongozi maana amani tuliyonayo Kuna nchi zingine huko kila kukicha wanatafuta amani na hawajui lini wataipata hiyo amani fikra zangu tu ivi kwani sheria…
6 Machi 2025, 09:40
Waamini wapewa mbinu kufanikisha malengo yao
Waumini wa Dini ya Kikristo Mkoani Kigoma Wametakiwa kumtegemea Mungu pasipo kukata tamaa ili kutimiza malengo yao waliyojiwekea katika maisha yao. Na, Hagai Ruyagila Kauli hiyo imetolewa na askofu mkuu wa kanisa la FPCT Tanzania Askofu Steven Mulenga wakati wa…
28 Disemba 2024, 20:45 um
DC Mwaipaya azindua rasmi Msangamkuu Beach festival
Msangamkuu Beach festival hii awamu ya nne ya tamasha hili ambapo dhamira ya tamasha hili ni kutangaza utalii wa fukwe na vivutio vilivyopo katika mkoa wa Mtwara Na Musa Mtepa Mkuu wa wilaya ya Mtwara, Mhe. Abdala Mwaipaya, leo Desemba…
17 Disemba 2024, 18:25 um
Msangamkuu Beach Festival kuzinduliwa rasmi 27 Disemba 2024 Mtwara
Na Musa Mtepa Tamasha la Msangamkuu Beach Festival, linalohamasisha utalii katika mkoa wa Mtwara na kusini kwa ujumla, linatarajiwa kuzinduliwa rasmi tarehe 27 Disemba 2024 katika fukwe za Msangamkuu. Tamasha hili litapambwa na burudani mbalimbali kutoka ndani na nje ya…
7 Disemba 2024, 7:56 um
Uhuru wa kujieleza na sheria za maudhui mtandaoni
watoa maudhui mtandaoni wanao wajibu wa kuhakikisha wanazingatia sheria za maudhui mtandaoni ili kuepuka habari au maudhui ya upotoshaji na udhalilishaji.
6 Disemba 2024, 8:33 um
Uhuru wa kujieleza na haki za wanawake
Changamoto za wanawake kutoaminiana na jamii kushindwa kumuamini mwanamke bado ni kikwazo kwa wanawake wengi kushindwa kupata nafasi ya kujieleza kikamilifu kwenye jamii Hayo yameelezwa na Rebecca Gibore katika kipindi cha radio mazingira fm kilichokuwa bna mada isemayo uhuru wa…
5 Disemba 2024, 9:53 mu
‘Hoja za wenye ulemavu zisikilizwe’
Katiba ya Tanzania imetoa uhuru wa watu kujieleza lakini changamoto kubwa kwa watu wenye ulemavu ni hoja zao na mawazo yao kutopewa nguvu katika jamii. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa mapokeo hafifu ya hoja zinazotolewa na watu wenye ulemavu ni…
27 Septemba 2024, 7:35 um
Serikali yawaonya wananchi watakaovuruga uchaguzi
Wakati serikali ikiendelea na maandalizi ya uchaguzi wa serikli za mitaa, wananchi wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kushiriki uchaguzi huo kwa amani na utulivu. Na Mzidalfa Zaid Wananchi wilayani Babati mkoani Manyara ambao wamekidhi vigezo vya kupiga kura wamehimizwa kujitokeza…
20 Agosti 2024, 12:13 um
Wakatazwa kujihusisha na kilevi wakati wa uandikishaji
Tume huru ya uchaguzi nchini inatarajia kuanza zoezi la uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura kwa mikoa ya Mwanza na Shinyanga tar21/08/2024 Na:Emmanuel Twimanye Maafisa uandikishaji wa uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura katika Jimbo la Sengerema…