Maji
10 June 2025, 10:24 am
MEK wapigwa msasa kuwatambua wenye mahitaji maalum Bariadi
“Hakuna sheria inayobagua watoto kutokana na mapungufu ya kimaumbile, binadamu wote kwa Mungu wetu sote tupo na haki hivyo ni wakati sasa kwa jamii kuachana na imani kuwachukulia watoto wenye mahitaji maalum kama vile ni mkosi, tuwapatie mahitaji yao kama…
5 June 2025, 8:59 pm
Askofu Sangu aomba ukarabati wa barabara ya Bariadi-Nkololo
“Hakuna maendeleo ya vitu kama watu wako hawana miundombinu rafiki ya barabara maana ndiyo njia Kuu ya wananchi kupiga hatua kimaendeleo maana wakipata shida ya kiafya watawahi kwenye matibabu lakini hata biashara itakuwa katika maeneo husika”. Na, Daniel Manyanga Askofu…
4 June 2025, 8:25 pm
TAKUKURU yabaini milioni 26 kuliwa na viongozi wa AMCOS Simiyu
“Rushwa ni adui wa haki na maendeleo lazima kwa nguvu zote viongozi waipinge rushwa maana leo utaona kuna watu wachache wasiokuwa waadilifu wanatumia turufu ya uongozi wao kupora haki za watu kujilimbikizia mali ambazo ni wizi na kuwanyima watu ambao…
4 June 2025, 5:19 pm
Nishati safi yaokoa maisha ya wanawake Geita
Matumizi ya nishati chafu ya kupikia kwa wanawake maeneo ya vijijini Mkoani Geita yalikuwa mwiba mchungu. Na Mrisho Sadick: Kuongezeka kwa matumizi ya Nishati safi ya kupikia maeneo ya vijijini imechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza mauaji ya Wanawake yaliyokuwa yakisababishwa…
29 May 2025, 12:19 pm
UVCCM Bariadi yarudisha furaha kwa wagonjwa
‘‘Ni kweli bado jamii yetu inakabiliwa na changamoto mbalimbali zipo familia zenye uwezo wa kiuchumi lakini hizi ambazo hazina uwezo wa kimaisha tunawezaje kuzisaidia ili nazo ziweze kupata furaha hili ni jambo tunaweza kulifanya tu endapo watu wenye uwezo mkubwa…
28 May 2025, 7:51 pm
TAKUKURU Simiyu yaokoa bilion 6 kwenye sekta ya elimu
“Kumaliza rushwa hapa nchini ni changamoto kubwa sana maana hata watumishi umma waliokula kiapo cha uaminifu ndiyo wanakuwa watu na viongozi wa kwanza katika kutekeleza ubadhilifu wa mali za umma halafu hao hao ndiyo wanahimiza uzalendo haya ni maajabu kweli”.…
27 May 2025, 2:43 pm
Wenyeviti hawamalizi miaka mitano Saragulwa
Uvumilivu wa migogoro ya madaraka umewashindwa wananchi nakuamua kumuangukia mkuu wa mkoa kutafuta ufumbuzi wa changamoto hiyo kwenye kijiji chao. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kijiji Cha Saragulwa wilaya ya Geita Mkoani Geita wameiomba serikali kuingilia kati Sakata la wenyeviti…
27 May 2025, 11:19 am
Sangamwalugesha yaomba kujengewa soko la kisasa
“Uchumi wetu unajengwa na wajasiliamali wadogo wadogo hivyo tuna kila sababu kwa mamlaka husika kuwatengenezea mazingira mazuri ya wao kufanya biashara ikiwemo miundombinu ya masoko pamoja na kuangalia tozo ambazo hazina afya kwa wafanyabiashara”. Na, Daniel Manyanga Kukosekana kwa soko…
24 May 2025, 8:25 pm
Wananchi wa Mwamashindike walia na ubovu wa barabara
“Sekta ya miundombinu ya barabara ni Moja kati ya ajenda muhimu Sana kwa ustawi wa jamii yetu maana ndiyo inayotumika kusafirishia mazao mbalimbali kutoka huko kijijini kuja sehemu za masoko lakini ikitaka kufungua uchumi wako lazima Kwanza ufungue barabara zako…
21 May 2025, 4:02 pm
Katakata ya umeme Simiyu yawaibua wananchi
‘‘Tunahitaji nishati ya umeme ya kutosha mahitaji yetu ni kweli juhudi ni kubwa sana zinazofanywa na kiongozi wetu mkuu wa nchi hii Rais ,Mhe,Dkt.Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa kutosha ili waweze kuongeza uzalishaji mali na kujiongezea…