Maji
17 Juni 2025, 8:34 mu
Dkt.Samia arejesha kicheko kwa wakulima wa pamba
“Tunapandisha zao moja baada ya jingine niseme tu kuwa zao la pamba ni wapo ya mkakati uliyopo katika kuleta uhalisia wa gharama anazotumia mkulima ili uchumi wa mtu mmoja mmoja na mkoa wa Simiyu uweze kukua na kuongeza hali ya…
16 Juni 2025, 2:40 um
Watoto waomba sheria kali itungwe kwa mzazi anayefanya ukatili Maswa
“Tuwalinde ,tuwapende ,tuwatimizie mahitaji ya msingi watoto wetu hii ni njia pekee ya kukomesha ukatili kwa watoto hivyo kumaliza changamoto ya watoto mitaani ambao baadae hujeuga na kuwa wezi,vibaka na chokoraa tukifanya hivyo kila mzazi au mlezi kwa nafasi yake…
13 Juni 2025, 5:06 um
DC Maswa atangaza kiama kwa wakopeshaji wasiokuwa na kibali cha BoT
“Hatuwezi kuwavumilia watu au taasisi ya mikopo inayowakandamiza wakopaji kwa kuwatoza riba kubwa ya marejesho na kwa muda mfupi sana ambapo ni kinyume cha sheria na taratibu za mikopo kulingana na vibali vya benki kuu ya Tanzania BOT hivyo lazima…
12 Juni 2025, 5:42 um
Simbachawene hakuna rushwa kubwa wala ndogo wote wanamakosa
“Rushwa ni adui wa haki na maendeleo kahuna rushwa kubwa wala ndogo nendeni tukawahudumia wananchi walio na changamoto za kunyanyaswa na watu wanaotumia madaraka kwa kuwakandamiza watu ambao walitakiwa wapewe haki hakuna aliye mkubwa zaidi ya sheria na katiba ya…
Juni 12, 2025, 2:46 um
Wananchi watakiwa kuacha kukata miti hovyo
”Wananchi acheni tabia ya kukata miti hovyo ili kukabiliana na changamoto ya mabadiliko ya tabia nchi” Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa kijiji cha Chela katika halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kutunza na kulinda mazingira katika maeneo…
10 Juni 2025, 10:24 mu
MEK wapigwa msasa kuwatambua wenye mahitaji maalum Bariadi
“Hakuna sheria inayobagua watoto kutokana na mapungufu ya kimaumbile, binadamu wote kwa Mungu wetu sote tupo na haki hivyo ni wakati sasa kwa jamii kuachana na imani kuwachukulia watoto wenye mahitaji maalum kama vile ni mkosi, tuwapatie mahitaji yao kama…
5 Juni 2025, 8:59 um
Askofu Sangu aomba ukarabati wa barabara ya Bariadi-Nkololo
“Hakuna maendeleo ya vitu kama watu wako hawana miundombinu rafiki ya barabara maana ndiyo njia Kuu ya wananchi kupiga hatua kimaendeleo maana wakipata shida ya kiafya watawahi kwenye matibabu lakini hata biashara itakuwa katika maeneo husika”. Na, Daniel Manyanga Askofu…
4 Juni 2025, 8:25 um
TAKUKURU yabaini milioni 26 kuliwa na viongozi wa AMCOS Simiyu
“Rushwa ni adui wa haki na maendeleo lazima kwa nguvu zote viongozi waipinge rushwa maana leo utaona kuna watu wachache wasiokuwa waadilifu wanatumia turufu ya uongozi wao kupora haki za watu kujilimbikizia mali ambazo ni wizi na kuwanyima watu ambao…
4 Juni 2025, 5:19 um
Nishati safi yaokoa maisha ya wanawake Geita
Matumizi ya nishati chafu ya kupikia kwa wanawake maeneo ya vijijini Mkoani Geita yalikuwa mwiba mchungu. Na Mrisho Sadick: Kuongezeka kwa matumizi ya Nishati safi ya kupikia maeneo ya vijijini imechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza mauaji ya Wanawake yaliyokuwa yakisababishwa…
29 Mei 2025, 12:19 um
UVCCM Bariadi yarudisha furaha kwa wagonjwa
‘‘Ni kweli bado jamii yetu inakabiliwa na changamoto mbalimbali zipo familia zenye uwezo wa kiuchumi lakini hizi ambazo hazina uwezo wa kimaisha tunawezaje kuzisaidia ili nazo ziweze kupata furaha hili ni jambo tunaweza kulifanya tu endapo watu wenye uwezo mkubwa…