Radio Tadio

Maji

15 February 2025, 12:40 pm

Stakabadhi ghalani yarudisha thamani kwa wakulima Maswa

‘‘Kilimo ni moja wapo ya sekta ambayo imeajiri watu wengi sana na nimuhimu sana katika ujenzi wa taifa maana hatuwezi kuwa na uchumi imara wakati watu wake wanalia njaa hiyo siyo ajenda ya taifa lazima wakulima tuwalinde na kuwapa thamani…

14 February 2025, 4:55 pm

DC Kaminyoge awa mbogo watakaoharibu stakabadhi ghalani

“Hatuwezi kuendelea kuona wakulima wanakosa thamani pindi wanapouza mazao yao wakati wanahangaika kulima alikuwa mwenyewe bila ya usaidizi wowote wa wanunuzi”. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoni Simiyu Aswege Kaminyoge amesema kuwa serikali ya wilaya hiyo haitasita…

5 February 2025, 5:06 pm

Ulinzi shirikishi wapunguza vitendo vya uhalifu Simiyu

“Usalama wa raia na mali zake siyo jukumu pekee la jeshi la polisi nchini lakini tukishirikiana na jamii kwa ukaribu kupitia jeshi la jadi sungusungu tunaweza kumaliza vitendo vya kiahilifu katika maeneo yetu ya bila kutegemea hata jeshi la polisi…

4 February 2025, 1:36 pm

Pangani yajipanga kumpokea Dkt. Samia

Ni mara ya kwanza kwa Dr. Samia Suluhu Hasan kutembelea wilaya ya Pangani tangu alipoapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Na Maajabu Madiwa Watumishi Wilayani Pangani Mkoani Tanga wameaswa kutoa huduma kwa kukidhi maratajio ya wananchi. Rai…

4 February 2025, 11:19 am

Maswa:kesi za mirathi,ardhi na ndoa zatawala wiki ya sheria

‘‘Hivi hatuwezi kumaliza migogoro ya ardhi,mirathi na ndoa kwenye jamii zetu sheria zinasemaje kwa mtu ambaye atafanya kesi za aina kama hiyo kama changamoto ni sheria zetu basi tuziboreshe  na kama ni elimu ndogo ya kisheria kwa wananchi wetu vyombo vinavyohusika…

28 January 2025, 9:30 pm

Wakimbizi 16 Nyarugusu hufariki kila wiki

Wakazi wengi katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu wana uhaba mkubwa wa vyandarua. Na Emmanuel Kamangu Wakimbizi 9 mpaka 16 katika kambi ya Nyarugusu wilayani Kasulu  mkoani Kigoma hufariki kila wiki kutokana na ugonjwa wa malaria. Akizungumza na  Uvinza FM, Mkuu…

24 January 2025, 7:40 pm

Maswa: Mtoto wa miaka 4 afariki kwa kushambuliwa na fisi

“Matukio ya fisi kuvamia na kushambulia wananchi hadi kupoteza maisha hatuwezi kuyaacha tu yaendelee lazima tuone namna nzuri ya kushughulikia ili kuondoa maswali mengi kwa wananchi kujiona kama wao wametengwa katika usalama na ulinzi “. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa…

23 January 2025, 3:45 pm

Mtoto wa miaka 3 afariki kwa kushambuliwa na Fisi Itilima

‘‘Wanyamapori tunawahitaji sana hapa nchini kwa ajili ya utalii hali ambayo inaliingizia fedha za kigeni Taifa letu kupitia utalii kwa hifadhi zetu lakini hatuwezi kuwaacha kuwalinda watu wetu dhidi ya mashambulio ya wanyama pori wakali ambao wanatishia amani ya wananchi…

22 January 2025, 16:35

Jamii yaaswa kutunza mazingira kuepuka mmonyoko wa ardhi

Ulinzi wa mazingira ni wa kila mtu katika jamii na ili usalama wa jamii uwe mzuri jamii haina budii kutunza mazingira. Na mwandishi wetu Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Mbeya Ndg: Said Juma Madito amewataka Wadau wa Mazingira Tanzania(Mbeya) kuhakikisha…

17 January 2025, 8:14 pm

DC Simalenga ataka uwazi ugawaji wa viuatilifu vya Pamba

“Kilimo ni uti wa mgongo katika taifa letu ambapo zaidi ya asilimia 75 ya wananchi wake wanahusika na kilimo hivyo lazima tuwekeze nguvu kubwa ili kuzalisha kwa tija”. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Bariadi  mkoani Simiyu,Simon Simalenga amewataka viongozi…