Maji
15 October 2025, 3:07 pm
AAFP yasema daktari akizuia maiti anawekwa kwenye jeneza yeye
Ngombalemwiru ameeleza kuwa serikali atakayoiunda itaweka mfumo rafiki wa huduma za afya utakaolenga utu na heshima ya binadamu. Na Mrisho Sadick: Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Wakulima Tanzania (AAFP) Kunje Ngombalemwiru ameahidi kuondoa kabisa…
11 October 2025, 6:37 pm
Wanawake Geita wajipanga kumpokea Dkt Samia
Ujio wa Dkt. Samia unaleta ari mpya ya kisiasa na ni fursa ya kumpongeza kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuendeleza miradi mikubwa ya maendeleo nchini. Na Mrisho Sadick: Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Geita na Wananchi…
10 October 2025, 6:51 am
UVCCM (W) Geita waongoza mbio mapokezi ya Dkt. Samia
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufika mkoani Geita Oktoba 13, 2025 ikiwa ni mwendelezo wa kampeni za chama hicho. Na: Ester Mabula Umoja wa vijana wilaya ya Geita umeongoza mbio za picha ya mgombea…
10 October 2025, 5:37 am
Eng. Chacha, Sukambi waahidi kuijenga Nyankumbu mpya
“Chacha ni Nzagamba lililoshiba, liko tayari kwaajili ya kuleta maendeleo katika jimbo la Geita mjini na kuendeleza kutekeleza ilani ya CCM” – Chacha Wambura Na: Ester Mabula Katika mwendelezo wa kampeni za mgombea ubunge jimbo la Geita mjini kwa tiketi…
9 October 2025, 5:34 am
Costantine Morandi aomba mitano tena kwa wakazi wa Samina
Ikiwa zimesalia siku 19 tu kuweza kufanyika uchaguzi mkuu kwa mwaka 2025, wagombea wa nafasi mbalimbali wameendelea kunadi sera pamoja na ilani za vyama vyao. Na: Ester Mabula Mgombea udiwani katika kata ya Mtakuja kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi…
7 October 2025, 2:02 pm
Kaka, dada wa Mandang’ombe jela miaka 20 na 30
“Duniani hapa watu ni wengi lakini binadamu ni wachache na ukishangaa ya hapa duniani basi unabidi pia ushangae ya Mussa Shija na Hollo Shija kuoana hali ya kwamba ni kaka na dada tena mama mmoja na baba mmoja sasa hapa…
October 4, 2025, 9:01 pm
Maadhimisho elimu ya watu wazima, nje ya mfumo rasmi yafana Arusha
Maadhimisho ya Wiki ya Elimu ya watu wazima na Elimu Nje ya Mfumo Rasmi yamefanyika leo, Jumamosi tarehe 04 Oktoba 2025, katika viwanja vya Shule ya Msingi Levolosi, Wilaya ya Arusha. Maadhimisho haya yamekusanya washiriki mbalimbali wakiwemo walimu, wanafunzi wa…
27 September 2025, 12:42 am
Mgombea ubunge CCM Geita mjini awafikia wajasiriamali Nyankumbu
“Ilani ya CCM kwa mwaka 2025 imeainisha maeneo muhimu yanayogusa maisha ya wananchi kwenye afya, elimu, miundombinu pamoja na biashara” – Mhandisi Chacha Na:Ester Mabula Mgombea ubunge wa Jimbo la Geita mjini kupitia tiketi ya CCM Mhandisi Chacha Wambura katika…
25 September 2025, 3:53 am
Faraji Seif apita nyumba kwa nyumba kuomba kura kwa wananchi
Mgombea udiwani kata ya Bukoli (CCM) Faraji Seif amewaomba wananchi wa kata hiyo kuendeleza imani na Chama cha mapinduzi kwa kuweza kuwachagua katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Na: Ester Mabula Mgombea wa udiwani kata ya Bukoli kupitia Chama…
24 September 2025, 10:47 pm
Wasira atembelea jimbo la Pangani
“Amani ni hewa unavuta bila ushuru lakini kwakuwa ipo unaweza kuona ni jambo lakawaida ni sawa na amani ikiwemo unaona kama haina haja ila ikitoweka ndiyo unona faida yake.” Wasira Na Cosmas Clement Makamu mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi bara…