Radio Tadio

Kilimo

4 December 2024, 12:42

CRDB yakabidhi madawati 40 shule ya msingi kabulanzwili Kasulu

Wadau wa maendeleo Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kuisadia Serikali kujitokeza kuchangia michango kwenye sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya elimu ili kuinua kiwango cha ufaulu kwa wananfunzi. Na Michael Mpunije – Kasulu Benki ya CRDB kanda ya magharibi imekabidhi…

18 November 2024, 15:11

Prof. Ndalichako awataka wahitimu wa mafunzo stadi kufanya kazi

Serikali imesema itaendelea kuwasaidia vijana kupitia ujuzi mbalimbali ili kuhakikisha wanapatiwa mikopo itakayowasaidia kujiajiri. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wahitimu wa mafunzo ya ufundi stadi Veta wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na kuwa na nidhamu ya…

13 November 2024, 17:35

NIDA mlango wawekwa wazi kurekebisha taarifa

Wananchi wilayani kasulu mkoani Kigoma ambao wameshapatiwa namba za vitambulisho vya Taifa NIDA wametakiwa kuhakiki usahihi wa majina yao kabla ya kutolewa kwa Vitambulisho hivyo ili waweze kufanyiwa marekebisho kabla ya vitambulisho hivyo kutolewa. Wito huo umetolewa na Afisa uandikishaji…

13 November 2024, 13:55

Serikali yaomba wananchi kushiriki miradi ya maendeleo

Mkuu wa wilaya ya Kigoma Dkt Rashid Mohamed Chuachua akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine wakati wa uzinduzi wa ujenzi wa shule Gungu Mkuu wa wilaya ya Kigoma Dkt Rashid Mohamed Chuachua amewataka wananchi kushirikiana na serikali katika…

11 November 2024, 14:02

Wahitimu wa mafunzo ya biblia waaswa kuhubiri matendo mema

Wahitimu wa mafunzo ya biblia katika chuo cha biblia Dar es salaam tawila Kigoma wametakiwa kuisaidia jamii kuachana na vitendo viovu ambavyo vimekuwa vikifanyika na kusababisha baadhi ya makundi mbalimbali kuathirika ikiwemo ukatilii na uvunjifu wa amani. Na Timotheo Leonard…

8 November 2024, 17:53

Hali ya upatikanaji wa maji vijijini ni asilimia 74 Kigoma

Mkuu wa Mkoa Kigoma, Thobias Andengenye ameutaka Wakala wa Maji Mijini na Vijijini (RUWASA) Mkoa Kigoma kuhakikisha upatikanaji wa vitendea kazi kwenye sekta ya maji unajibu mipango ya Rais Samia katika kusogeza huduma karibu na wananchi ya kumtua mama ndoo…