
Kilimo

4 December 2024, 12:42
CRDB yakabidhi madawati 40 shule ya msingi kabulanzwili Kasulu
Wadau wa maendeleo Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kuisadia Serikali kujitokeza kuchangia michango kwenye sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya elimu ili kuinua kiwango cha ufaulu kwa wananfunzi. Na Michael Mpunije – Kasulu Benki ya CRDB kanda ya magharibi imekabidhi…

3 December 2024, 14:39
Wazazi na walezi watajwa chanzo cha kuharibu ushahidi mahakamani kesi za ukatili
Wazazi na walezi wametakiwa kutokuwa sehemu ya kukwamisha na kuharibu ushahidi dhidi ya watau wanaotekeleza vitendo vya ukatili kwenye jamii. Na Josephine Kiravu Tukiwa katika muendelezo wa siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia Hakimu mfawidhi mahakama ya mkoa wa…

18 November 2024, 15:11
Prof. Ndalichako awataka wahitimu wa mafunzo stadi kufanya kazi
Serikali imesema itaendelea kuwasaidia vijana kupitia ujuzi mbalimbali ili kuhakikisha wanapatiwa mikopo itakayowasaidia kujiajiri. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wahitimu wa mafunzo ya ufundi stadi Veta wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na kuwa na nidhamu ya…

13 November 2024, 17:35
NIDA mlango wawekwa wazi kurekebisha taarifa
Wananchi wilayani kasulu mkoani Kigoma ambao wameshapatiwa namba za vitambulisho vya Taifa NIDA wametakiwa kuhakiki usahihi wa majina yao kabla ya kutolewa kwa Vitambulisho hivyo ili waweze kufanyiwa marekebisho kabla ya vitambulisho hivyo kutolewa. Wito huo umetolewa na Afisa uandikishaji…

13 November 2024, 13:55
Serikali yaomba wananchi kushiriki miradi ya maendeleo
Mkuu wa wilaya ya Kigoma Dkt Rashid Mohamed Chuachua akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine wakati wa uzinduzi wa ujenzi wa shule Gungu Mkuu wa wilaya ya Kigoma Dkt Rashid Mohamed Chuachua amewataka wananchi kushirikiana na serikali katika…

12 November 2024, 4:52 pm
Maswa: Zaidi ya milioni 300 kunufaisha wanawake, vijana na walemavu
“Katika kupambana na umasikini nchini kupitia asilimia kumi ya mapato ya ndani ya halmashauri kundi la wanawake,vijana na watu wenye ulemavu wameendelea kunufaika kiuchumi.” Na, Daniel Manyanga Zaidi ya milioni miatatu zitokanazo na makusanyo ya ndani zimetangwa na halmashauri ya…

12 November 2024, 11:10
Watoto 5,632 kuandikishwa na 2001 kurejeshwa kwa kukatisha masomo Kigoma
Kampeni ya kuwaandikisha na kuwarejesha shuleni watoto walio nje ya mfumo wa shule ngazi ya elimu ya msingi imezinduliwa mkoani kigoma ikiwa na lengo la kukabiliana na changamoto zinazosababisha wanafunzi wanafunzi kutoandikishwa kuanza shule au kukatisha masomo yao. Na Josephine…

11 November 2024, 14:02
Wahitimu wa mafunzo ya biblia waaswa kuhubiri matendo mema
Wahitimu wa mafunzo ya biblia katika chuo cha biblia Dar es salaam tawila Kigoma wametakiwa kuisaidia jamii kuachana na vitendo viovu ambavyo vimekuwa vikifanyika na kusababisha baadhi ya makundi mbalimbali kuathirika ikiwemo ukatilii na uvunjifu wa amani. Na Timotheo Leonard…

8 November 2024, 17:53
Hali ya upatikanaji wa maji vijijini ni asilimia 74 Kigoma
Mkuu wa Mkoa Kigoma, Thobias Andengenye ameutaka Wakala wa Maji Mijini na Vijijini (RUWASA) Mkoa Kigoma kuhakikisha upatikanaji wa vitendea kazi kwenye sekta ya maji unajibu mipango ya Rais Samia katika kusogeza huduma karibu na wananchi ya kumtua mama ndoo…

7 November 2024, 12:41
FDC Kasulu yaomba serikali kukamilisha jengo la kituo cha kulea watoto
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo ili kuhakikisha wanasaidia kukamilisha ujenzi wa jengo la kulea watoto lililopo katika chuo cha maendeleo ya wananchi Kasulu FDC. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mkuu wa chuo cha maendeeo ya wananchi…