Radio Tadio

Kilimo

3 September 2025, 7:01 pm

Jamii Manyara yatakiwa kuwapa watoto lishe bora

Jamii mkoani Manyara imetakiwa kuhakikisha watoto wote kuanzia umri wa miaka 0 hadi 8 wanapata lishe bora na huduma za malezi jumuishi ili iwasadie katika ukuaji . Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa…

September 2, 2025, 4:48 pm

Mtendaji atuhumiwa kuhamisha fedha za miradi ya maendeleo

Mtendaji wa Kata ya Sakina, mkoani Arusha, anatuhumiwa kuhamisha baadhi ya fedha za miradi ya maendeleo na kuziweka kwenye akaunti yake binafsi, hali iliyosababisha kusimama kwa ujenzi wa kivuko muhimu kwa wakazi wa eneo hilo. Na Jenipha Lazaro Tuhuma hizo…

27 August 2025, 13:56

Kasi watoto wa kike kupenda masomo ya sayansi yaongezeka

Idadi ya watoto wa kike wanaosoma masomo ya sayansi imeendelea kuongezeka na hiii ni kutokana na jitihadi mbalimbali za Serikali na wadau wengine katika kuwahamasisha kupenda masomo ya sayansi Na Hagai Ruyagila Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma imefanikiwa kutumia…

25 August 2025, 16:37

Wamiliki shule waaswa kuendana na mabadiliko ya mtaala mpya

Mmiliki wa shule za Hekima zilizopo Mjini Kasulu Mkoani Kigoma Fedia Yaredi amesema ataendelea kusimamia shule hizo ili zieweze kutoa elimu bora kwa watoto Na Hagai Ruyagila Wamiliki wa shule binafsi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wameshauriwa kukubaliana na mabadiliko ya…

25 August 2025, 14:08

Wahitimu darasa la saba waaswa kuwa na maadili mema

Wito umetolewa kwa shule binafsi kuanza kufuata mabadiliko ya mtaala mpya ambao umetolewa na serikali ili kuboresha sekta ya elimu nchini. Na Sofia Cosmas Watumishi wa umma na sekta binasi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wametakiwa kuondoa utengano na chuki…

25 August 2025, 13:00

Maafisa elimu watakiwa kusimamia elimu ya MEMKWA

Serikali Mkoani Kigoma imesema itaendelea kuhamasisha wananchi kuhakikisha wanaweka mazingira wezeshi kwa ajili watoto hasa wa kike ili waweze kupata elimu. Na Hagai Ruyagila Maafisa elimu na Waalimu kutoka halmashauri mbalimbali za mkoa wa Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanazingatia na kutumia…

August 4, 2025, 8:08 pm

Doria ya siku 12 yadaka Wahamiaji haramu 793

Raia hao waliokamatwa ni kutoka mataifa matano ambayo ni Burundi, DR Congo, Rwanda, Uganda na Tanzania. Na Naomi Milton- Kigoma Takribani wahamiaji haramu 793 wamekamatwa na Idara ya Uhamiaji mkoani Kigoma kwa kipindi cha siku 12 katika doria na misako…