
Kilimo

6 February 2025, 11:56
Diwani atoa msaada wa madawati kwa shule sita Kasulu
Wadau mbalimbali wa maendeleo wametakiwa kuwa na desturi kuchangia kwenye maendeleo ya shule ili kuhakikisha wanafunzi wanasoma katika mazingira mazuri na kuongeza ufaulu Na Emmanuel Kamangu Jumla ya madawati 210 yenye thamani ya zaidi ya milioni 11 zimetengenezwa na diwani…

4 February 2025, 11:47
Mfumo wa tehama wasaidia kumaliza mashauri kwa wakati Geita
Mahakama kuu Masjala ndogo ya Geita Mkoani Geita imesema matumizi ya teknolojia imesaidia kuharakisha na kumaliza mashauri kwa wakati Imeelezwa kuwa matumizi ya mfumo wa tekonojia TEHAMA katika uendeshaji wa shughuli za kimahakama umesaidia kumaliza mashauri ndani ya wakati na kwa haraka…

4 February 2025, 11:26
Serikali yaweka mikakati kutatua changamoto ya madawati Kasulu
Serikali katika Halmashauri ya Mji Kasulu imesema kupitia bajeti iliyopitishwa kuweka kipaumbele cha ununuzi wa madawati katika halmashauri hiyo ili kusaidia kupunguza uhaba wa madawati uliopo katika shule mbalimbali. Na Michael Mpunije Idara ya Elimu halmashauri ya mji Kasulu mkoani…

4 February 2025, 9:47 am
Wezi waiba na kuchinja ng’ombe wawili Nyankumbu
Matukio ya mifugo aina ya ng’ombe kuibiwa na kuchinjwa nyakati za usiku yameendelea kuacha maswali kwa wananchi katika mitaa mbalimbali ya manispaa ya Geita. Na: Edga Rwenduru – Geita Wakazi wa mtaa wa Elimu kata ya Nyankumbu halmashauri ya manispaa…

4 February 2025, 09:45
TAKUKURU Geita yabaini udanganyifu miradi ya maendeleo
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa Geita imebaini mapungufu makubwa kwenye miradi 4 yenye thaani ya shilingi bilioni 1 milioni 45 na laki 6 kati ya miradi 34 yenye thamani ya shilingi bilioni 16.6 iliyofanyiwa ufuatiliaji mkoani humo…

January 31, 2025, 5:36 pm
Wananchi watakiwa kutoa ushirikiano kwa jeshi la zimamoto na uokoaji Kahama
Mkaguzi msaidizi wa jeshi la zima moto na uokoaji wilaya ya Kahama Hafidhi Omary{picha na Sebastian Mnakaya} wananchi wameshauriwa kutoa taarifa mapema kwa jeshi la zimamoto na uokoaji endapo kukatokea janga la moto na majanga mengine ili liweze kutoa msaada…

31 January 2025, 13:07
Watumishi wa umma watakiwa kuzingatia utawala bora Buhigwe
Watumishi wa umma Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia utawala bora ili kuhakikisha wanafikia azma ya kufikisha maendeleo kwa wananchi. Na Emmanuel Kamangu Katibu tawala wa Wilaya ya Buhigwe Utefta Mahega amewataka Watumishi wa umma Wilaya ya…

31 January 2025, 12:11
Madiwani wapitisha bajeti ya shilingi bilioni 68.3 Geita
Madiwani katika Halmashauri ya Manispaa ya Geita wamesema bajeti hiyo itaenda kusaidia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi Na Samwel Masunzu – Geita Baraza la madiwani la halmashauri ya manispaa ya Geita mkoani Geita limepitisha rasmu ya makadirio…

31 January 2025, 11:25
TAKUKURU Kigoma yabaini mapungufu miradi 31 ya maendeleo
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kigoma imebaini mapungufu madogo madogo katika miradi 31 ya maendeleo kati ya miradi 32. Na Orida Sayon Akitoa taarifa ya ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo katika kipindi cha kuanzia mwezi…

28 January 2025, 14:37
RC Kigoma akabidhi pikipiki na gari kusambaza chanjo
Serikali imesema itahakikisha inawafikia watoto katika zoezi la usambazaji wa chanzo katika wilaya za mkoa wa kigoma Na Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amekabidhi pikipiki 12 pamoja na gari moja kwa ajili ya kusambaza chanjo katika…