Jamii
22 Oktoba 2025, 11:59 mu
Serikali kupitia UCSAF kufikisha mawasiliano katika maeneo ya kimkakati
Vijiji vilivyofikishiwa mawasiliano vimeanza kunufaika na huduma za kifedha, elimu, biashara mtandao na fursa nyingine za kidijitali zinazochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Na Mariam Matundu.Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya…
8 Oktoba 2025, 8:48 mu
DC Anney awaalika wananchi Maswa kupata huduma za kibingwa
Niwapongeze sana Hospitali ya Barikiwa kwa kutekeleza azima ya Serikali ya kusogeza huduma kwa wananchi hivyo niwasihi wananchi wa Maswa na viunga vyake waitumie vyema fulsa hii ya Ujio wa Kambi ya Madaktari Bingwa ” Dkt Vicent Naano Anney Mkuu…
29 Septemba 2025, 2:23 um
UCSAF yakamilisha minara 734, ujenzi wafikia asilimia 96.83
Minara iliyosalia ni 24 pekee, na inatarajiwa kukamilika hivi karibuni ili kuhakikisha huduma za mawasiliano zinafika katika maeneo yote yaliyopangwa. Na Mariam Matundu.Ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano unaosimamiwa na Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) umefikia hatua kubwa ya…
18 Agosti 2025, 5:17 um
UCSAF yawataka wananchi kuripoti kwao kero ya mtandao
Aidha, wananchi walielezwa kuhusu miradi mbalimbali ya kimkakati inayotekelezwa na UCSAF ikiwemo maendeleo ya ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano nchini. Na Mariam Kasawa.Imeelezwa kuwa mawasiliano ni muhimu katika kukuza uchumi wa Taifa hili hasa katika shughuli mbalimbali ikiwemo kilimo…
30 Julai 2025, 1:20 um
Manda, Ilangali watembea umbali mrefu kusaka mtandao
UCSAF imeweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha wananchi waishio vijijini wanapata huduma bora za mawasiliano. Na Victor Chigwada.Ikiwa Sera ya Mawasiliano inabainisha kuwa wananchi wote wanapata huduma bora, salama, na nafuu za mawasiliano bila ubaguz,Hali ni tofauti kwa Wakazi wa vijiji…
8 Julai 2025, 7:56 um
Mchele wageuka kuwa sabuni Katavi
Mwalimu Benjamin Chahe kutoka chuo Mkwawa V.T.C Iringa. Picha na Anna Mhina “Leo nimefurahi mchele kumbe ni sabuni!” Na Anna Mhina Wajasiriamali ambao wanapatiwa mafunzo ya ufugaji bora wa kuku, utengenezaji wa sabuni na batiki wameonesha kufurahia mafunzo ya utengenezaji…
8 Julai 2025, 16:18
Mabingwa wa ligi Burundi kuweka kambi Afrika Kusini
Timu ya Aigles Noirs CS kutoka Mkoa wa Makamba imeelekea Afrika Kusinini kwa ajili ya kambi ya kujianda na msimu wa mpya wa mwaka 2025/ 2026 Na Bukuru Daniel Timu ya Aigles Noirs CS kutoka mkoa wa Makamba imeondoka Jumanne,…
16 Aprili 2025, 14:06 um
Elimu na teknolojia saidizi kwa wenye ulemavu
Makala hii inalenga kuhamasisha jamii kuhusu haki ya watu wenye ulemavu kupata elimu na kutumia teknolojia saidizi kwa maendeleo yao binafsi na ya jamii kwa ujumla. Kupitia mfano wa Mwalimu Shazili Ali Namangupa wa Shule ya Msingi Nanguruwe, inaonyesha jinsi…
Machi 7, 2025, 2:08 um
Wanawake Shinyanga kunufaika na mikopo ya 10%
wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za mikopo isiyo na riba inayotolewa na Halmashauri ikiwa na Lengo la kuwainua kiuchumi kuliko kukimbilia mikopo ya kausha damu inayotolewa kwa masharti magumu pamoja na riba kubwa inayopelekea kudidimia kiuchumi Na Sebastian Mnakaya Mkuu wa…
Machi 6, 2025, 7:52 um
Wanawake Shinyanga watakiwa kugombea nafasi za uongozi uchaguzi mkuu
Mbunge wa viti maalum kutokea mkoani Shinyanga Santiel Kiruma. picha Sebastian Mnakaya Wanawake mkoani Shinyanga wahasa kujitokeza kwa wingi katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu ili kuongeza namba za wanawake kutoka asilimia 14% kwa sasa hadi kufikia…