Radio Tadio

Jamii

17 May 2023, 3:03 pm

NIDA yatoa vitambulisho 62,258 Kongwa

Changamoto wanazopitia wananchi katika vitambulisho vya Taifa ni pamoja na kushindwa kutimiza vigezo na masharti ya kujaza fomu za kuomba vitambulisho hivyo hali inayopelekea ofisi kushindwa kufanya kazi yake kwa ufanisi. Na Bernadetha Mwakilabi. Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA)…

11 May 2023, 9:48 am

Wananchi wa Kitelewasi hawana imani na uongozi wa Kijiji

Wananchi wa kijiji cha kitelewasi Kilichopo Kata ya Ilole wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa wamesema hawana imani  na uongozi wa serikali ya kijiji hicho kutokana na ubadhilifu wa fedha. Wakizungumza katika mtukutano wa hadhara wanakijiji hao  wameiomba serikali kuwatafutia ufumbuzi…

6 May 2023, 6:47 am

CCM Katavi Kukemea Mmomonyoko wa Maadili

NSIMBO Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Katavi kupitia Kwa Mjumbe wa Halmashauri kuu Taifa Girbert Samnpa ametoa Wito kwa Jumuiya ya wa wazazi ya Chama hicho kuungana na serikali katika kukemea Mmomonyoko wa Maadili katika Jamii. Ametoa wito huo…

3 May 2023, 4:39 pm

Vijana waonywa kuporomoka kwa Maadili

Wamewashauri wazazi kukagua matumizi ya vipindi vya Televisheni majumbani mwao ili kuwaepusha watoto na vipindi viovu vinavyoweza kuharibu maadili yao. Na Bernad Magawa. Katika kuhakikisha kuwa Taifa linaendelea kuwa na vijana wenye maadili, baadhi ya wazee Wilayani Bahi wameiomba serikali…

1 May 2023, 3:45 pm

Serikali kuboresha Ranchi ili kupanua soko nje ya nchi

Akisoma taarifa meneja wa Ranchi ya Kongwa bwana Elisa Binamungu amesema shilingi bilioni 4.65 zilitengwa Kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kuboresha ranchi hiyo ikiwa ni pamoja na kutengeneza Barabara, kuondoa vichaka hekari 8000 kwaajili ya kustawisha mifugo. NA Bernadetha Mwakilabi.…

21 April 2023, 3:02 pm

Wanufaika Tasaf walalamika malipo kuchelewa

Mpaka sasa miradi hiyo ipo katika hatua nzuri za utekelezaji kwani hadi kufikia julai mwaka huu wataanza kutekeleza awamu ya pili ya miradi hiyo. Na Bernadetha Mwakilabi Wanufaika wa mfuko wa kusaidia kaya masikini TASAF wilayani Kongwa wamelalamikia Kuchelewa kwa…