Radio Tadio

Habari

11 Febuari 2022, 11:53 mu

Ngedere na Tumbili wavuruga shughuli za kilimo

Wanyama pori (Tumbili na Ngedere) wamekuwa kikwazo kwa wananchi  kufanya shughuli   za kilimo  kwa ufasaha  kwa baadhi ya kata za Halmashauri  ya Mtwara vijijini hali inayopekea  kukatamaa na shughuli  hizo. Akichangia Taarifa ya kamati ya uchumi ,ujenzi na Mazingira  Diwani…

25 Novemba 2021, 11:37 mu

Tume ya Haki za Binadamu watoa elimu

“Hatuwezi kufanya peke yetu tunajua kwamba Tume ni Taasisi huru ya Serikali lakini lazima tufanye kazi kwa pamoja kwahiyo ni wajibu wetu mkubwa kama alivyosema ndugu yangu Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa tuendelee kuelimisha ndugu zetu Wananchi kwenye maeneo mbalimbali lakini…

25 Novemba 2021, 11:26 mu

Walemavu waomba kupewa kipaumbele cha Elimu na Ujuzi

uwepo wa mikataba ya ya haki za watu wemye ulemavu Tanzania inafuatwa? uwepo wa taasisi zinazosaidia watu wenye ulemavu wanafikia malengo na wahusika wanapewa stahiki klulingana na miradi husika? Mr. Kaganzi Na MUSSA MTEPA; Serikali na taasisi binafsi zimetakiwa kutenda…

20 Oktoba 2021, 18:48 um

Makala: Nafasi ya wanawake katika Tasnia ya Habari

Wananwake katika tasnia ya habari na Vyombo vya habari ni makala ambayo imeandaliwa ili kuangalia nafasi yake, Fursa na changamoto zilizopo katika mkoa wa Mtwara. Karibu katika makala haya ili uweze kujua masuala mbalimbali yanayofanywa na wanawake katika vyumba vya…

19 Oktoba 2021, 14:51 um

Makala: Kilimo Biashara ndani ya Mtwara

Karibu usikilize Makala ya Kilimo biashara ambapo tumezungumzia mazao mbalimbali pamoja na hali ya biashara ya mazao haya ndani ya mkoa wa Mtwara, Ungana na Musa Mtepa katika makala haya.

18 Oktoba 2021, 16:21 um

Makala: Upatikanaji wa mikopo kwa wanawake

Makala haya yameandaliwa na Habiba Mpimbita kuhusu thamani ya mwanamke na safari hii anaangalia uelewa wa wanawake kama wanafahamu juu ya mikopo inayotolewa na halmashauri juu ya wajasiliamali.