Radio Tadio

Habari

1 Agosti 2022, 9:31 mu

Vijiji 20 Ludewa kusahau makali mgao wa umeme

Waziri wa Nishati, January Makamba ametoa ufumbuzi wa changamoto ya muda mrefu ya mgawo wa umeme wa masaa 12 kwa vijiji 20 vilivyopo Wilaya ya Ludewa, ambavyo vimekuwa vikipata umeme kutoka kampuni moja inayoendesha mradi mdogo wa umeme wa maji…

1 Agosti 2022, 9:22 mu

DC aagiza NIDA kuwafuata watu

Mkuu wa Wilaya ya Missenyi, Kanali Wilson Sakulo amewaagiza maofisa wote wanaohusika na idara ya kutoa vitambulisho vya taifa (NIDA), kuweka utaratibu wa kuwapelekea huduma karibu wananchi wa mipakani, ili kuwaondolea adha ya kusafi ri umbali mrefu. Kanali Sakulo, ametoa…

28 Julai 2022, 19:12 um

Balozi wa Sweden atembelea Waandishi wa Habari Mtwara

Balozi wa Sweden 🇸🇪 nchini Tanzania Anders Sjöberg, leo julai 28,2022 ametembelea katika ofisi za Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Mtwara (MTPC) zilizopo katika jengo la Chama cha waalimu – CWT, mkoani humo. Balozi huyo amepokelewa na viongozi…

21 Julai 2022, 12:28 um

Wananchi wamkataa Diwani wa kata ya Nanguruwe Mkoani Mtwara

wananchi wa kata ya Nanguruwe mkoani mtwara katika Halmashsuri ya wilaya ya mtwara mkoani mtwara wamemkataa Diwani wa kata hiyo Patrick Simwinga baada ya kutokea kwa vurugu katika eneo lake la utawala. chanzo cha wananchi kumkataa diwani huyo ni vurugu…

16 Julai 2022, 3:55 um

Waziri Makamba atoa ahadi hii kwa wananchi Sengerema

Waziri wa Nishati Nchini Mh,January Makamba  amewahidi  wananchi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza  kutatua tatizo sugu la kukatika kwa umeme ili kuwaondolea  adha hiyo inayowakabili  kwa muda mrefu . Waziri  Makamba amesema hayo wakati akizungumza  na wananachi  katika mkutano wa hadhara…

Mei 25, 2022, 10:55 mu

MWANAMKE AUAWA KWA KUCHOMWA KISU GESTI MJINI KAHAMA

  Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Zuena au Ashura Salum (25-30) mkazi wa Dar es Salaam, amekutwa chumbani akiwa ameuawa kwa kuchomwa kisu  na mtu anayedhaniwa kuwa ni mwenza wake katika nyumba ya kulala wageni ya Kalunde iliyoko mjini Kahama,…

24 Machi 2022, 12:29 um

Mtwara waweka Mikakati ya Kupunguza  vifo vya Mama Wajawazito

Na Gregory Millanzi.                                                                    Mikakati mingine iliyowekwa na Mkoa ili kuhakikisha inapunguza vifo vitokanavyo na uzazi ni kuhakikisha gari la kubeba Wagonjwa (Ambulance) katika vituo vya afya na Hospitali zinafanya kazi muda wote ili kuimarisha mfumo wa Rufaa kutoka ngazi…