Habari
24 March 2023, 9:16 am
Siku ya Kifua Kikuu Duniani 2023
Leo ni siku ya Kifua Kikuu au TB duniani kwa mujibu wa Mratibu wa Kifua Kikuu na Ukoma jijini Dar es Salaam, Dkt. Mbarouk Seif Khaleif amesema kila mwaka, Watu 137,000 wanaugua Kifua Kikuu (TB) na wanaofariki ni 32,000, sawa…
19 March 2023, 7:23 pm
CHADEMA; Wampa tano Rais Samia kuruhusu mikutano ya hadhara.
Naibu Katibu Mkuu Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Zanzibar SALUMU MWALIMU amemshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kuruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa. Kiongozi huyo wa CHADEMA ameyasema hayo kwenye…
18 March 2023, 5:52 pm
Huduma za Rita sasa ni mtandaoni.
Wakala wa ufilisi na udhamini nchini rita umekamilisha hatua ya kwanza ya mfumo wa usajili wa matukio mbalimbali ya binadamu ikiwemo vizazi , vifo , ndoa na taraka kupitia mtandao ambao unajulikana kama E RITA jambo litakalorahisisha upatikanaji wa huduma…
18 March 2023, 4:39 pm
Waandishi wa Habari waanza mafunzo ya mguso Dodoma.
Na Erick Mallya Waandishi wa Habari kutoka vituo 19 vya Tanzania bara na visiwani wameanza mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo katika Kuimarisha utangazaji wa jinsia ndani na kupitia vyombo vya Habari. Mafunzo hayo yanayoendeshwa na Shirika la UZIKWASA lililopo wilayani…
17 March 2023, 5:30 pm
Miaka miwili bila Magufuli wananchi waendelea kumuenzi
Leo imetimia miaka miwili tangu alipofariki Dunia Rais wa Serikali ya awamu ya Tano, Dkt John Pombe Magufu. Na Fred Cheti. Ikiwa leo imepita miaka miwili tangu kifo cha aliyekuwa Rais wa serikali ya awamu ya tano Hayati John Pombe…
17 March 2023, 3:08 pm
Wakufunzi 10 kubadili vyombo vya habari kijinsia
Na Erick Mallya Shirika la UZIKWASA lililopo wilayani Pangani Mkoani Tanga kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limehitimisha mafunzo maalumu ya siku 4 yaliyowakutanisha viongozi waandamizi wa vyombo vya Habari vya Tanzania bara…
15 March 2023, 4:28 pm
Wananchi wajeruhiwa na wengine kupoteza makazi baada ya mvua kubwa kunyesha
Nyumba zipatazo 16 zimebomoka kufuatia mvua kubwa iliyonyesha ikiambatana na upepo mkali,mkoani Dodoma na kusababisha baadhi ya wananchi kujeruhiwa huku wengine wakibaki bila makazi. Na Alfred Bulahya. Nyumba zipatazo 16 zimebomoka kufuatia mvua kubwa iliyonyesha ikiambatana na upepo mkali, katika…
14 March 2023, 7:35 pm
Waandishi Katavi walia na changamoto kwa Mkuu wa Mkoa
KATAVI Waandishi wa Habari mkoani Katavi wamemuomba mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko kutatua changamoto zinazowakabili , ikiwemo kukosa bima ya afya, kukosa mikopo na kukosa ushirikiano kwa baadhi ya wakuu wa idara. Wakizungumza mbele ya mkuu wa…
14 March 2023, 2:34 pm
Wananchi Bahi waahidiwa kutatuliwa kero zinazowakabili
Kufuatia malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa wananchi wa wilaya ya Bahi kutokana na kero zinazowakuta mheshimiwa Godwin Gondwe ameahidi kuyapeleka malalamiko hayo kwenye vikao vya uongozi ili yaweze kupatiwa ufumbuzi. Na Benard Magawa. Kufuatia malalamiko ya muda mrefu kutoka…
14 March 2023, 1:13 pm
Nguvu ya mafunzo ya mguso kuboresha vyombo vya habari
Kwa miaka mingi Shirika la UZIKWASA limekuwa likitoa mafunzo ya ‘mguso’ ambayo yamekuwa yakiwawezesha watu binafsi kutafakari nafasi zao katika kuchochea mabadiliko chanya pamoja na mabadiliko ya kitaasisi na Jamii kwa ujumla. Na Erick Mallya Shirika la UZIKWASA lililopo wilayani…