Habari
Septemba 15, 2023, 1:10 um
Wananchi wasiogope Jeshi la Polisi-RPC Magomi
Kamanda Janeth Magomi amezungumzia elimu ambayo wamekuwa wakiitoa katika jamii ili kupunguza au kutokomeza matukio ya wizi, uvunjaji na uhalifu vinakwisha ambapo amesema polisi Kata wapo kwenye kila Kata ili kuzngumza na wananchi ili kuwafichua wahalifu na wamekuwa wakitoa elimu…
14 Septemba 2023, 19:17
Ziara ya Ridhiwani mkoani Mara yaondoka na waratibu wa TASAF
Mheshimiwa Ridhiwani Jakaya Kikwete ameagiza kufutwa mara moja mfumo wa ulipaji wa fedha kwa wanufaika wa TASAF kwa njia ya mitandao ya simu. Na Thomas Masalu Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala…
14 Septemba 2023, 08:02
Serengeti: Aliwa na Mamba wakati akivuka Mto Mara kwenda Shambani
Kufuatia tukio la mwananchi kukamatwa na kuliwa na mamba, Mkuu wa mkoa wa Mara awasisitiza wananchi kutofanya shughuli zao ndani ya hifadhi ya mto Mara Na Edward Lucas Mkuu wa mkoa wa Mara, Said Mtanda amewasisitiza wananchi kutofanya shughuli zao…
14 Septemba 2023, 06:58
Binti mwenye ulemavu atuhumiwa kujinyonga hadi kufa
Marehemu amekutwa amefungwa kamba aina ya Manila shingoni huku puani akichuruzika Damu. Na Musa Mtepa Katika hali isiyo ya kawaida Samia Ahmad Mohamed (20), mkazi wa kijiji cha Sinde, Msangamkuu Halmashauri ya wilaya ya Mtwara, mlemavu wa mikono na miguu…
9 Septemba 2023, 17:01
Rais Samia kufanya ziara ya siku 4 Mtwara
Hii ni Mara ya kwanza kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassani kufanya ziara mkoani Mtwara akiwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambapo kwa mara ya mwisho alifanya mwaka 2016 akiwa Makamu wa Rais. Na Musa Mtepa Rais wa…
8 Septemba 2023, 13:33
Ukosefu wa eneo la wazi chanzo cha ukosefu miradi Kata ya Bunda mjini
Mhe Mzamili diwani wa kata ya Bunda Mjini amesema kata ya Bunda Mjini ina eneo Moja tu la wazi la miti mirefu linalipatikana mtaa wa Mapinduzi ambalo kisheria haliruhusiwi kubadirishiwa matumizi Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ukosefu wa maeneo katika…
Septemba 6, 2023, 1:27 um
Moto wateketeza mabweni shule ya Mingas, wanafunzi wanusurika kifo
Na Paul Kayanda-Kahama Moto mkubwa uliozuka katika shule ya msingi Mingas uliopo katika eneo la Mayila mtaa wa Nyihogo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga, umeteketeza mabweni yote ya shule hiyo huku wanafunzi wakinusurika baada ya kuokolewa na jeshi la zima…
6 Septemba 2023, 13:26
Kesi yatajwa kuchelewesha wakazi wa Nyatwali kuhama
Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vincent Naano amesema mchakato wa kuwaamisha wakazi wa Nyatwali huwenda ukakamilika mwishoni mwa mwezi wa tisa. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vincent Naano amesema mchakato wa kuwaamisha wakazi…
6 Septemba 2023, 12:52
Watumiaji wa vyombo vya usafiri walalamika kusimamishwa muda mrefu
Kwa mujibu wa wakazi wa Jiji la Dodoma wanasema kuwa mara nyingi changamoto ya foleni Jijini hapa husababashwa na misafara ya viongozi na kuchangia kukaa muda mrefu kandokando ya barabara wakingoja misafara kupita. Na Khadija Ayoub. Watumiaji wa vyombo vya…
6 Septemba 2023, 12:37
DC Naano aipa kongole halmashauri ya Bunda Mji usimamizi wa miradi
Mkuu wa wilaya ya Bunda Dkt Vincent Anney Naano ameipongeza halmashauri ya mji wa Bunda Kwa usimamizi mzuri wa miradi ya Maendeleo inayoletwa halmashauri ya nji wa Bunda Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Dkt Vincent Anney Naano…