Radio Tadio

Habari

9 Septemba 2023, 17:01 um

Rais Samia kufanya ziara ya siku 4 Mtwara

Hii ni Mara ya kwanza kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassani kufanya ziara mkoani Mtwara akiwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambapo kwa mara ya mwisho alifanya mwaka 2016 akiwa Makamu wa Rais. Na Musa Mtepa Rais wa…

6 Septemba 2023, 1:26 um

Kesi yatajwa kuchelewesha wakazi wa Nyatwali kuhama

Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vincent Naano amesema mchakato wa kuwaamisha wakazi wa Nyatwali huwenda ukakamilika mwishoni mwa mwezi wa tisa. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vincent Naano amesema mchakato wa kuwaamisha wakazi…

Septemba 5, 2023, 12:16 um

Tanroads yawakosha wananchi ujenzi wa barabara Shinyanga

Na Marco Maduhu – Kahama WANANCHI wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga,wamepongeza Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) mkoani humo, kwa ujenzi wa miundombinu imara ya Barabara, ambayo imekuwa kichocheo kikubwa cha uchumi,pamoja na akina mama wajawazito kuwahi kufika kwenye huduma…

Agosti 31, 2023, 2:36 um

Halmashauri ya Msalala yavuka lengo la makusanyo mapato

Na Paul Kayanda/Erick Felino MWENYEKITI wa Halmashauri ya Msalala Wilayani Kahama, Mkoani Shinyanga Mibako Mabubu amepongeza ushirikiano kati ya watendaji wa Halmashauri hiyo pamoja na Madiwani wake kwa kuvuka lengo la makusanyo ya mapato jambo ambalo itakuwa ni mfano wa…

Agosti 31, 2023, 2:24 um

Bandari tatu zatengewa Bilioni 60

Waandishi wa Habari mkoani shinyanga wametakiwa kuwa mstari wa mbele kwenye jamii katika kuizungumzia Bandari na matumizi yake ili wananchi waweze kufahamu matumizi yake na umhimu wake. Hayo yamesemwa na Afisa Bandari ya Isaka-Kahama mkoani Shinyanga, Abeli Mshang’a wakati akizunguzma…

31 Agosti 2023, 11:13 mu

Katibu tawala Bunda ateta na wakuu wa shule Bunda mji

Kiongozi bora halalamiki bali anatafuta ufumbuzi wa matatizo ya watu walio chini yake. kipimo cha uongozi ni jinsi gani kiongozi anaweza kuleta ushawishi kwa watu na kufikia maendeleo yaliyotarajiwa. Na Thomas Masalu Imeelezwa kuwa kipimo cha uongozi ni jinsi gani kiongozi anaweza kuleta ushawishi kwa watu na kufikia maendeleo yaliyotarajiwa. Kiongozi bora halalamiki bali…