Habari
8 September 2023, 1:33 pm
Ukosefu wa eneo la wazi chanzo cha ukosefu miradi Kata ya Bunda mjini
Mhe Mzamili diwani wa kata ya Bunda Mjini amesema kata ya Bunda Mjini ina eneo Moja tu la wazi la miti mirefu linalipatikana mtaa wa Mapinduzi ambalo kisheria haliruhusiwi kubadirishiwa matumizi Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ukosefu wa maeneo katika…
September 6, 2023, 1:27 pm
Moto wateketeza mabweni shule ya Mingas, wanafunzi wanusurika kifo
Na Paul Kayanda-Kahama Moto mkubwa uliozuka katika shule ya msingi Mingas uliopo katika eneo la Mayila mtaa wa Nyihogo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga, umeteketeza mabweni yote ya shule hiyo huku wanafunzi wakinusurika baada ya kuokolewa na jeshi la zima…
6 September 2023, 1:26 pm
Kesi yatajwa kuchelewesha wakazi wa Nyatwali kuhama
Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vincent Naano amesema mchakato wa kuwaamisha wakazi wa Nyatwali huwenda ukakamilika mwishoni mwa mwezi wa tisa. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vincent Naano amesema mchakato wa kuwaamisha wakazi…
6 September 2023, 12:52 pm
Watumiaji wa vyombo vya usafiri walalamika kusimamishwa muda mrefu
Kwa mujibu wa wakazi wa Jiji la Dodoma wanasema kuwa mara nyingi changamoto ya foleni Jijini hapa husababashwa na misafara ya viongozi na kuchangia kukaa muda mrefu kandokando ya barabara wakingoja misafara kupita. Na Khadija Ayoub. Watumiaji wa vyombo vya…
6 September 2023, 12:37 pm
DC Naano aipa kongole halmashauri ya Bunda Mji usimamizi wa miradi
Mkuu wa wilaya ya Bunda Dkt Vincent Anney Naano ameipongeza halmashauri ya mji wa Bunda Kwa usimamizi mzuri wa miradi ya Maendeleo inayoletwa halmashauri ya nji wa Bunda Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Dkt Vincent Anney Naano…
September 5, 2023, 12:16 pm
Tanroads yawakosha wananchi ujenzi wa barabara Shinyanga
Na Marco Maduhu – Kahama WANANCHI wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga,wamepongeza Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) mkoani humo, kwa ujenzi wa miundombinu imara ya Barabara, ambayo imekuwa kichocheo kikubwa cha uchumi,pamoja na akina mama wajawazito kuwahi kufika kwenye huduma…
August 31, 2023, 2:36 pm
Halmashauri ya Msalala yavuka lengo la makusanyo mapato
Na Paul Kayanda/Erick Felino MWENYEKITI wa Halmashauri ya Msalala Wilayani Kahama, Mkoani Shinyanga Mibako Mabubu amepongeza ushirikiano kati ya watendaji wa Halmashauri hiyo pamoja na Madiwani wake kwa kuvuka lengo la makusanyo ya mapato jambo ambalo itakuwa ni mfano wa…
August 31, 2023, 2:24 pm
Bandari tatu zatengewa Bilioni 60
Waandishi wa Habari mkoani shinyanga wametakiwa kuwa mstari wa mbele kwenye jamii katika kuizungumzia Bandari na matumizi yake ili wananchi waweze kufahamu matumizi yake na umhimu wake. Hayo yamesemwa na Afisa Bandari ya Isaka-Kahama mkoani Shinyanga, Abeli Mshang’a wakati akizunguzma…
31 August 2023, 11:13 am
Katibu tawala Bunda ateta na wakuu wa shule Bunda mji
Kiongozi bora halalamiki bali anatafuta ufumbuzi wa matatizo ya watu walio chini yake. kipimo cha uongozi ni jinsi gani kiongozi anaweza kuleta ushawishi kwa watu na kufikia maendeleo yaliyotarajiwa. Na Thomas Masalu Imeelezwa kuwa kipimo cha uongozi ni jinsi gani kiongozi anaweza kuleta ushawishi kwa watu na kufikia maendeleo yaliyotarajiwa. Kiongozi bora halalamiki bali…
28 August 2023, 3:22 pm
Wananchi watakiwa kushiriki wiki ya ufuatiliaji na tathmini
Kongamano hili la Pili la Kitaifa la Wiki yaUfuatiliaji na Tathmini litakalofanyika Jijini Arusha mapema mwezi Septemba, itawalenga zaidi,wataalam wa Ufuatiliaji na Tathmini,Maafisa na Mameneja wa Miradi kutoka katika Taasisi zote za Umma,Taasisi Binafsi, makampuni, Asasi za Kiraia na mashirika…