Habari za Jumla
25 September 2025, 08:26
Jamii imehimizwa kujiunga na bima ya afya Kasulu
Jamii Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma imehimizwa kujiunga na Bima ya Afya ili kujihakikishia huduma bora za matibabu kwa wakati wa changamoto za kiafya. Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa wilaya ya Kasulu Bw, Selemani Malumbo wakati…
23 September 2025, 09:13 am
TANESCO kuongeza uzalishaji wa umeme Mtwara
TANESCO kuongeza uzalishaji wa umeme kwa MW 20 katika kituo cha Hiari, Mtwara, kukabiliana na upungufu wa umeme Lindi na Mtwara. Mashine mpya itakamilika ndani ya mwezi mmoja, ikiongeza uzalishaji hadi MW 70 Na Musa Mtepa Mtwara, Tanzania – Shirika…
22 September 2025, 11:37 pm
GGML yajivunia miaka 25 ya ushirikiano na serikali kuendeleza sekta ya madini
Septemba 22, 2025 Waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania mhe. Kassim Majaliwa amezindua rasmi maonesho ya 8 ya teknolojia na uwekezaji katika sekta ya madini yanayofanyika katika viwanja vya Dkt. Samia Suluhu manispaa ya Geita. Na: Ester Mabula…
22 September 2025, 2:01 pm
Mwenge wa Uhuru 2025 Kugusa Miradi ya Bilioni 2.4 Uvinza
Mwenge wa Uhuru utakimbizwa ndani ya wilaya kwa umbali wa kilomita 131 Na Abdunuru Shafii Jumla ya miradi 7 yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.4 inayojumuisha sekta za elimu, afya, Maji na nishati inatarajiwa kukaguliwa, kutembelewa na mingine…
September 21, 2025, 8:40 am
JKT Itaka wafundisha utengenezaji mkaa mbadala
Ikiwa ni utekelezaji wa agizo la serikali la matumizi ya nishati safi Na Stephano Simbeye KIKOSI cha Jeshi la kujenga Taifa (JKT) 845KJ Itaka wilaya ya Mbozi mkoani Songwe kimeanza kufundisha jinsi ya kutengeneza mkaa mbadala kwa kutumia taka za shambani.…
September 20, 2025, 1:50 am
Ndalichako atajwa daraja la mawe Nyantale
“Kukamilika kwa daraja hili tunapaswa kuwapongeviongozi wetu wa kipindi cha utekelezaji mradi huu mbunge wetu Ndalichako kwa kweli kwenye hili tunakukumbuka sana na ninaomba tumpigie makofi kwa jitihada ulizozifanya unasitahili pongezi kwa kushirikiana na viongozi hadi kukamilika kwa daraja hili”…
17 September 2025, 10:22 pm
Shilabela yaitika kusikiliza sera za mgombea ubunge (CCM) jimbo la Geita mjini
Vyama mbalimbali vya siasa nchini vimeendelea kufanya kampeni ikiwa ni maandalizi ya kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Na: Ester Mabula
September 17, 2025, 6:19 pm
Mwenge wa Uhuru Kasulu kupitia miradi ya bilioni 2.75
Leo Septemba 17, 2025 Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Mhe. Kanal Isack Mwakisu amepokea mwenge wa Uhuru 2025 na wakimbiza Mwenge kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Kibondo Mhe. Kanal Aggrey Magwaza huku akiwakaribisha wote waliojitokeza katika makabidhiano hayo. Na;…
15 September 2025, 10:53 pm
Miti 8000 yapandwa kilele maadhimisho Mara day
Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Mtambi amesisitiza umuhimu wa kuimarisha juhudi za pamoja za uhifadhi, pamoja na kuendeleza mshikamano baina ya jamii zinazozunguka bonde hilo. Na Catherine Msafiri, Maadhimisho ya Mara Day yamehitimishwa leo 15 septemba 2025 katika viwanja…
14 September 2025, 8:59 am
Manyara kudhibiti ukondefu
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amewataka maafisa lishe kukomesha tatizo la ukondefu mkali na utapiamlo Kwa kuifikia jamii na kutoa elimu Ili kudhibiti tatizo Hilo. Na Mzidalfa Zaid Sendiga ametoa kauli hiyo Leo katika kikao Cha tathimini ya…