Habari za Jumla
Mei 30, 2024, 11:46 mu
Wananchi 4700 Iseche kunufaika na mradi wa maji safi
Na Denis Sinkonde,Songwe Wananchi wa kijiji cha Iseche kilichopo Wilayani Songwe Mkoani Songwe wameondokana na adha ya kutumia maji yasiyo safi na salama ambayo awali walikuwa wanayapata kutoka mto songwe na kusababisha kupata magonjwa ya tumbo kutokana na matumizi ya…
Mei 30, 2024, 10:36 mu
Magesa mbaroni kwa kumuua mtalaka wake
30 Mei 2024, 10:36 mu
Misitu 30 kuboresha biashara ya Kaboni Katavi
Mkuu wa mkoa wa Katavi akiwa wilayani Tanganyika .picha na site tv “Halmashauri zote mkoani katavi zinapaswa kutunza mazingira ili kunufaika na biashara ya hewa ukaa na kukuwa kiuchumi“ Na Betold Chove- Katavi Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko…
30 Mei 2024, 10:06
Mwalimu mbaroni kujihusisha kimapenzi na mwanafunzi wake
Serikali imesema itaendelea kuwachukulia hatua za kisheria walimu na watu wote ambao wamekuwa wakijihusisha kimapenzi na wanafunzi wao kwani wanasababisha kwanafunzi kushindwa kufikia malengo yao. Na Kadislaus Ezekiel – Kibondo Jeshi la Polisi Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma, limemkamata Mwalimu wa…
29 Mei 2024, 3:04 um
TRA watoa siku 14 wafanyabiashara kuwa na mashine za EFD Maswa
Ukikwepa kulipa kodi maana yake umekubali kuliingizia hasara Taifa lako na kupelekea kudumaza shughuli za kimaendeleo tulipeni kodi kwa hiari kwa kutoa EFD mashine kwa waliokidhi vigezo. Na,Daniel Manyanga Mamlaka ya mapato nchini TRA wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imetoa…
29 Mei 2024, 09:55
Serikali yapongezwa udhibiti, ramli chonganishi
Serikali wilayani kasulu imesema iitaendelea kuhakikisha ulinzi na usalama unaimarishwa kwa kuwachukulia hatua wale wote watakaoonyesha vitendo vya uvunjifu wa amani kwenye jamii ikiwemo ramli chonganishi. Na Michael Mpunije – Kasulu Madiwani katika halmashauri ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma…
25 Mei 2024, 11:26 um
ALAT yaipongeza Ngorongoro
Mbali na fedha za kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani Ngorongoro kutoa serikalini pia kumekuwa na wadau wanaotoa fedha za kutekeleza miradi ya maendeleo kwa kushirikiana na halmashauri, wadau hao nikama vile KWF,TANAPA na wengineo. Na Zacharia James Jumuia ya…
19/05/2024, 17:51
ACT wazalendo Zanzibar wajipanga kuelekea uchaguzi mkuu 2025
Na Mary Julius. Viongozi wa chama cha ACT wazalendo Mkoa wa Kaskazini A na B kichama wametakiwa kuwaorodhesha wanachama wa chama hicho waliopo katika mikoa yao ikiwa ni maandalizi ya kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025. Mwenyekiti wa chama cha ACT…
18 Mei 2024, 6:20 um
Wananchi mjini Maswa na vijiji 15 kukosa maji kwa siku mbili
Mpango wa kuwapatia maji safi na salama ni sera ya wizara ya maji hivyo jukumu la kukosekana kwa huduma ya maji kwa wananchi pindi usafi au kutibu maji ni kuboresha huduma hiyo. Na, Daniel Manyanga Wananchi mjini Maswa na vijiji…
17 Mei 2024, 14:41
Serikali yagawa vifaa kwa shule zenye wanafunzi wa MEMKWA
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo katika kuhakikisha inaboresha elimu nchini kwa wanafunzi. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma Mwl. Vumilia Simbeye amekabidhi vifaa vya shule kwa wakuu wa shule 16…