Radio Tadio

Habari za Jumla

6 Mei 2024, 5:49 um

Maswa queens na Raha queens hakuna mbabe Simiyu

Utamu wa ligi ya wanawake Simiyu wafikia pazuri huku vipajiĀ  vya mpira wa miguu kwa wanawake vikiibuliwa na kupelekea wazazi na walezi wa vijana wa kike kuhamasisha mabinti zao kucheza mpira wa miguu Na,Paul Yohana Fainali ya kwanza  ligi ya…

6 Mei 2024, 15:58

Neema yawashukia wakulima wa mpunga kasulu

Serikali imeeleza kuwa wakulima wataendelea kuneemeka na mavuno yenye tija iwapo watazingatia maelekezo ya wataalamu wa kilimo juu ya kilimo chenye tija na ushindani katika soko la ndani na nje ya nchi. Na Timotheo Leonard – Kasulu Wakulima wa zao…

6 Mei 2024, 14:18

108 wakabidhiwa vyeti vya udereva Kyela

Katika kukabiliana na ajali za barabarani jeshi la polisi mkoa wa Mbeya limetoa vyeti kwa wahitimu miamoja na nane hapa wilayani kyela mbele ya mgeni rasmi afande RTO H.A Gawile. Na Nsangatii Mwakipesile Mrakibu wa jeshi la polisi kitengo cha…

6 Mei 2024, 13:29

Ikimba yalamba manoti ya Babylon Mwakyambile

Mkurugenzi wa kampuni ya Covenant Edible Oil Ltd wazarishaji wa mafuta ya kyela Cooking Oil na Sungold Cooking Oil Babylon Mwakyambile amewataka wanachama wa chama cha mapinduzi kata ya Ikimba kushikamana ili kufanikisha ujenzi wa ofisi za chama hicho. Na…

6 Mei 2024, 11:22 mu

Wazazi wa kidigitali ni chanzo cha ukatili kwa watoto Maswa

Kushiriki kikamilifu kwa wazazi na walezi kumetajwa kumaliza ukatili kwa watoto ambao wanafanyiwa ukatili katika jamii zao hasa mtoto kuanzia kipindi cha ujauzito hadi kufikia umri wa miaka (8). Na Alex.F.Sayi Imebainishwa kuwa wazazi na walezi wamekuwa chanzo cha ukatili…

6 Mei 2024, 08:53

RC Andengenye awataka vijana wa jkt kujiajiri

Vijana wa kujenga wanaohitimu mafunzo ya kijeshi katika kambi ya mtabila wametakuwa kuwa wazalendo kwa nchi na kutumia maarifa na ujuzi waliopata katika kujiajiri na kuacha kutegemea ajira. Na, Tryphone Odace – Kasulu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye…

6 Mei 2024, 7:36 mu

Vijana tafuteni kipato cha halali, serikali ipo nanyi

Mnapofanya kazi zenu kwa uhalali serikali inawaona na itawawezesha kukabiliana na changamoto mnazokutana nazo. Na Cosmas Clement Vijana mkoani Tanga wametakiwa kujituma kwa kufanya kazi halali za kujiingizia kipato ili kuwawezesha kusonga mbele kimaendeleo na kupunguza tatizo la vijana kukosa…

Mei 6, 2024, 6:28 mu

Mwandishi wa habari akamatwa kwa kujifanya usalama wa taifa

Na Denis Sinkonde,Songwe Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Songwe, Augustino Senga amesema wanamshikilia mwandishi wa habari (41) ambaye jina lake limehifadhiwa kwa kosa la kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu, akijitambulisha kuwa ofisa usalama wa Taifa. Kamanda Senga ameyasema…