Habari za Jumla
7 Mei 2024, 7:54 um
DC Maswa akabidhi pikipiki kwa CBWSOs
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh. Aswege Kaminyoge amewataka viongozi wa CBWSOs zilizogawiwa pikipiki kuzitumia katika malengo yaliyokusudiwa ili kuleta mabadiliko katika utoaji wa huduma za maji na siyo shughuli binafsi zisizo na tija. Na Nicholaus Machunda Mkuu wa Wilaya …
7 Mei 2024, 7:33 um
Zaidi ya kaya 413 hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko Busega
Faida ya kufuatilia taarifa za mamlaka ya hali ya hewa kumetajwa kusaidia kujikinga na kuepuka madhara yatokanayo na mafuriko yanayosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha hapa nchini. Na Daniel Manyanga Kaya zaidi 413 kutoka vitongoji vitatu vya Itongo, Lamadi na…
7 Mei 2024, 19:20
Kyela: CHADEMA stop msaada wa kukarabati barabara Masebe
CHADEMA wilaya ya Kyela kimezuiwa kuendelea kutoa msaada wa kukarabati barabara ya kijiji cha Masebe iliyoharibiwa na mafuriko hapa wilayani Kyela. Na James Mwakyembe Siku chache baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kuanza kutekeleza ahadi ya kumwaga tripu…
7 Mei 2024, 18:24
Najivunia Kyela yetu Festival 2024 sasa rasmi Kyela
Siku chache baada ya kuanza kutekeleza majukumu yake ya kusaidia jamii ya Kyela kikundi cha Najivunia Kyela Yetu kimezinduliwa rasmi ndani ya Kyela huku kikiweka mikakati yake kwa mwaka 2024. Na Nsangatii Mwakipesile Kikundi cha Najivunia Kyela Yetu Festival chenye…
7 Mei 2024, 17:00
Meja Kodi: Lazima tulinde mipaka yetu iwe salama
“Mkoa wa Kigoma una wageni wengi wanaoingia nchini hivyo hatuna budi kuwa makini na kuhakikisha ulinzi unaimarika katika mipaka ya nchi yetu ili kuhakikisha hakuna tatizo linaokea”. Na, Tryphone Odace – Kigoma Mkuu wa Tawi la Lojistiki na Uhandisi Jeshini, …
7 Mei 2024, 11:17 mu
Mabeyo: Hifadhi ya Ngorongoro inatakiwa ibaki wazi
Katika jitihada za serikali za kuhakikisha eneo la hifadhi ya Ngorongoro libaki wazi kupisha shughuli za uhifadhi,mamlaka ya hifadhi hiyo NCAA wapo katika hatua za mwisho kukamilisha ujenzi wa makao makuu yao wilaya ya Karatu mkoani Arusha. Na Mwandishi wetu.…
Mei 7, 2024, 6:45 mu
Wahitimu wa JKT wahimizwa kuwa na matumizi sahihi ya mitandao
Na Denis Sinkonde,Songwe Mkuu wa Ukaguzi JWTZ, Meja Jenerali Kahema Mzirai amewaasa wahitimu wa mafunzo ya awali ya JKT Kikosi cha Itaka kufanya matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii kuepuka mazara ya mitandao hiyo Ametoa rai hiyo leo Jumatatu Mei…
Mei 7, 2024, 6:22 mu
Bilioni 5.7 kutatua miundombinu ya barabara iliyoharibiwa na mvua Songwe
Na Denis Sinkonde,Songwe Mkuu wa mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo ameipongeza timu ya wataalamu wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa kasi ya kurejesha miundombinu ya barabara iliyoharibiw ana mvua zinazoendelea kunyesha mkoani humo. Chongolo ameeleza kuwa changamoto ya uharibifu…
6 Mei 2024, 18:08
Watu kadhaa wahofiwa kwa kufa ajali Mbeya
Watumiaji wa barabara wamekuwa wakisisitizwa kutii na kufuata sheria za barabarani ili kuepusha ajali zisizo za lazima sambamba na kukagua vyombo vyao kabla ya safari. Na Hobokela Lwinga Watu kadhaa wanahofia kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa katika ajali ya roli…
6 Mei 2024, 5:49 um
Maswa queens na Raha queens hakuna mbabe Simiyu
Utamu wa ligi ya wanawake Simiyu wafikia pazuri huku vipaji vya mpira wa miguu kwa wanawake vikiibuliwa na kupelekea wazazi na walezi wa vijana wa kike kuhamasisha mabinti zao kucheza mpira wa miguu Na,Paul Yohana Fainali ya kwanza ligi ya…