Radio Tadio

Habari za Jumla

Agosti 8, 2024, 4:01 um

Nyonyo kuanguka chanzo cha unyonyeshaji duni Ushetu

Jamii katika halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga imetakiwa kuachana na imani potofu zinazochangia uwepo wa unyonyeshaji duni hali inayosababisha utapiamlo kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano. Kauli hiyo imetolewa na mgeni rasmi ambaye ni diwani wa…

6 Agosti 2024, 6:51 um

      Wafanyabiashara Manyara watakiwa kutumia  EFD mashine

Imeelezwa kuwa lengo la kuanzishwa kwa mfumo  wa mashine za kieletroniki (EDF) mashine ni pamoja na  kumrahisishia mfanyabiashara utunzaji wa kumbukumbu za biashara kwasiku  Na marino kawishe Wafanyabiashara mkoani Manyara wametakiwa kuendelea  kutumia mashine za Kieletroniki(EFD)kwenye biashara zao ili kuondoa…

6 Agosti 2024, 3:33 um

Binti ajifungua na kutupa kichanga chooni Geita

Kituo cha redio cha Storm FM kilichopo mkoani Geita kinaendesha kampeni ya kupinga vitendo vya ukatili iitwayo INATOSHA PINGA UKATILI yenye lengo la kupaza sauti kwa jamii kuachana na vitendo vya ukatili. Na: Evance Mlyakado – Geita Katika hali isiyokuwa…

1 Agosti 2024, 5:13 um

Katibu wa Amcos ya Kidema wilayani  Maswa matatani

Mwendesha Mashtaka wa Takukuru  ameeleza  kuwa  Mshtakiwa  alifikishwa Mahakamani hapo Januari 05, 2023 kwa  Makosa Mawili ya kutoa fedha kiasi Tsh. 1,228,000/= kwenye akaunti ya KIDEMA AMCOS na kuzitumia kwa matumizi yake binafsi badala ya kulipa ushuru kwenye akaunti ya chama kikuu Cha…

30 Julai 2024, 18:53

Barabara ya Mbalizi-Shigamba kupendwa kwa shilingi bilioni 2

Barabara ni kiunganishi kikubwa cha maendeleo ya nchi na watu, ukosefu wa miundombinu hiyo husababisha watu kushindwa kuzalisha na kupata uchumi Mara nyingine hata kukosa huduma Bora za afya hasa pindi mama majamzito anapokwenda kujifungua . Na Josea Sinkala, Mbeya…