Radio Tadio

Habari za Jumla

1 Oktoba 2024, 19:53

Mradi wa bwawa kuipaisha Swaswa kiuchumi

Na Mindi Joseph. Ujenzi wa eneo la mapumziko katika Bwawa la Swaswa Jijini Dodoma unatarajiwa kuwanufaisha wananchi kiuchumi. Bwn. Isaack Daniel ambaye ni mjumbe na pia msimamizi wa ulinzi na usalama katika mtaa wa Swaswa amezitaja fursa za kiuchumi zinazotokana…

30 Septemba 2024, 19:10

Elimu zaidi ya VVU yahitajika kwa Vijana

Na Yussuph Hassan. Vijana Jijini Dodoma wameomba elimu iendelee kutolewa ili kukumbusha jamii juu ya kujikinga na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI. Wakizungumza nyakati tofauti na Dodoma TV wakazi hao wamesema kuwa kwa kufanya hivyo itasaidia kupunguza maambukizi mapya ya…

30 Septemba 2024, 19:09

Chidachi walilia urasimishaji wa makazi

Na Nazael Mkude . Wakazi wa Chidachi Kusini Mkoani Dodoma wameomba kupata huduma ya  upimaji  wa viwanja pamoja na kurasimishiwa makazi yao ambayo wamekuwa  wakiyatumia kwa muda mrefu. Wakieleza malalamiko yao kupitia  kituo cha habari cha Dodoma TV, wamesema  kuwa…

27 Septemba 2024, 20:42

Vijana tumieni  vipaji  kutatua changamoto ya ajira

Na Steven Noel. Changamoto  kubwa inayowakabili vijana kwa sasa ni suala la upatikanaji wa ajira. Kutokana na changamoto hiyo,  baadhi ya vijana wamefikiria njia mbadala ya kutumia vipaji walivyonavyo ili kujipatia kipato ili kuweza kujikimu kimaisha. Hapa tumsikie moja ya…

25 Septemba 2024, 20:27

Sagini awapongeza waandishi wa habari

Na Yussuph Hassan Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Jumanne Sagini amepongeza waandishi wa habari kwa kutumia kalamu zao kujenga nchi ,kukosoa pamoja na kuelimisha wakati akifungua semina ya wanahabari ya kusherekea miaka 70 ya Misaada ya Japan. Shirika…

24 Septemba 2024, 5:03 um

Watumishi Ngorongoro wahimizwa kushiriki kikamilifu uchaguzi

Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ni miongoni mwa halmashauri baadhi ya vijiji na vitongoji vilikuwa vimefutwa na kutangazwa kutoshoriki uchaguzi wa serikali za mitaa hata hivyo hivi karibuni waziri wa TAMISEMI mh Mohamed Mchengerwa ametangaza kuvirejesha tena na maandilizi yanaendelea…