Habari za Jumla
16 Agosti 2024, 22:22
Wananchi Igodima waomba kujengewa ofisi ya mtaa
Katika kurahisisha upatikanaji wa huduma bora na karibu na wananchi hurahisishwa na ofisi zilizo karibu,katika mtaa wa Igodima jijini Mbeya kwao hali hiyo imekuwa tofauti na wananchi wa mitaa mingine. Na Hobokela Lwinga Baadhi ya wananchi mtaa wa Igodima Kata…
16 Agosti 2024, 4:59 um
Jamii yatakiwa kujitokeza kutoa ushahidi kesi za udhalilishaji
Na Steven Msigaro Jeshi la Polisi Mkoa Mjini Magharibi kupitia Dawati la Usalama Wetu Kwanza limesema linaendelea na mapambano dhidi ya udhalilishaji wa watoto kwa kutoa elimu maskulini. Wakizungumza katika kipindi cha Mwangaza wa Babari kinachorushwa na Zenji fm Sajenti…
16 Agosti 2024, 11:33 mu
Wahandzabe Meatu wanavyotumia king’amuzi cha ndege pori kuipata asali
Wandzabe walia na Sheria za usimamizi wa wanyama pori na mapori tengefu kuwa zimechangia kuhafifisha usitawi wa jamii hizo na kusababisha hatari ya kutoweka kwa jamii hizo zinayoishi porini. Na,Alex Sayi. Jamii ya kihandzabe imebainisha kuwa kwa miaka nenda rudi…
Agosti 15, 2024, 11:06 um
Dereva, utingo na abiria wafariki ajali ya malori kugongana uso kwa uso
Watu watatu wamefariki dunia kwa kuteketea kwa Moto huku Wengine Watatu wakijeruhiwa katika ajali iliyohusisha Malori mawili kugongana uso kwa uso katika eneo la Manzese wilayani Kahama mkoani Shinyanga huku chanzo cha ajali hiyo kikitajwa kuwa Uzembe na Mwendokasi. Kamanda…
Agosti 15, 2024, 10:45 um
Mwenge wa Uhuru wazindua Jengo jipya la uchunguzi Kahama
watumishi wa sekta za afya endeleeni kutoa huduma nzuri kwa wananchi baada ya serikali kutengeneza miundombinu rafiki kufanyia kazi Na Kitila Peter Halmashauri ya manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imepongezwa kwa kuendelea kutenga fedha za mapato ya ndani kwa ajili…
15 Agosti 2024, 10:40 mu
Wananchi Maswa watoa Maoni kuhusu Dira ya Maendeleo 2025- 2050
Wananchi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wamepaza sauti zao na kutoa Maoni juu ya Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2025 – 2050 wakati wa Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya – DCC kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya …
14 Agosti 2024, 11:28 mu
Kijana apewa kichapo kwa tuhuma za kuiba Tsh. 70,000 Katoro
Soko la CCM ni soko mama lililopo katika mamlaka ya mji mdogo wa Katoro ambalo limekuwa likitumiwa na watu kutoka katika vijiji vya Magenge, Nyamalulu, Kaseme, Kasesa, Mabamba nk Na: Nicolaus Lyankando – Geita Kijana mmoja ambaye hakufahamika jina lake…
13 Agosti 2024, 5:47 um
Kiongozi wako anawashirikisha vijana katika kukabiliana na ukatili wa kijinsia?
Nijuze Radio Show, Kwa mujibu wa Takwimu za Demografia na Afya Tanzania (TDHS) Za mwaka 2015/2016, 40% ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 wameripoti kufanyiwa ukatili wa kimwili, 17% wameripoti kufanyiwa ukatili wa kingono. Katika mkoa wa Manyara,…
12 Agosti 2024, 7:02 um
Mil.163.5 zatumika ujenzi bweni la wasichana Mwagala
Kufuatia uwepo wa changamoto zinazowakabili watoto wa kike Nchini za kushindwa kumaliza masomo yao kutokana na umbali wa Shule Serikali imendelea na Mpango wake wa kuhakikisha inajenga mabweni kwa ajili ya kuwanusuru watoto hao wa kike. Na,Alex Sayi. Kiongozi wa…
8 Agosti 2024, 4:58 um
Tarehe kumi Zanzibar kuwa ya kijani
Na Mary Julius Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar Abdi Mahmoud Abdi amewataka vijana pamoja na wananchi kuzitumia vizuri barabara na kuzitunza ili ziweze kutumika kwa muda mrefu zaidi. Amesema hayo Gymkana mara…