Habari za Jumla
4 Septemba 2024, 9:32 mu
Wananchi Katavi wasisitizwa kuwa wazalendo
katika picha waliokaa upande wa kushoto ni mwenyekiti wa taasisi zisizo za kiserikali katavi ,anayefuatia ni katibu tawala mkoa wa katavi na kulia ni afisa maendeleo mkoa wa katavi.picha na Rachel Ezekia. “lengo kuu la kukuza uzalendo ni kulinda rasilimali…
1 Septemba 2024, 9:11 um
TAMISEMI yatoa maagizo kwa mkandarasi Geita
Kusuasua kwa mkandarasi anaetekeleza ujenzi wa mradi wa TACTIC wa barabara zenye urefu wa kilometa 17 TAMISEMI yatoa tamko. Na Evance Mlyakado – Geita. Licha ya serikali kutenga bajeti ya zaidi ya bilioni 22 kwaajili ya ujenzi wa barabara zenye…
1 Septemba 2024, 8:45 um
Akiba atelekeza mke na watoto watatu
Licha ya serikali kuendelea kupambana kukomesha vitendo vya ukatili katika jamii lakini vitendo hivi vinaonekana kuendelea kujitokeza katika maeneo mengi hasa ya vijijini Mkoani Geita Na Evance Mlyakado -Geita. Mwanaume mmoja mkazi wa Nyantorotoro A anadaiwa kutekeleza Familia ya Mama…
1 Septemba 2024, 6:11 um
Takukuru Simiyu ilivyorejesha Furaha ya Wananchi Wilayani Itilima
Na Nicholaus Machunda Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru Mkoa wa Simiyu imefanikiwa kurejesha furaha ya Wananchi wa Wilaya Itilima baada ya kufuatilia Mradi wa Maji katika kijiji cha Ng’wang’wita uliotoa Huduma ya Maji kwa Mwezi mmoja tu …
31 Agosti 2024, 23:04
MNEC Mwaselela na Viongozi wengine wauaga Mwenge wa Uhuru.
Baada ya Mwenge wa Uhuru kukagua na kizindua miradi Mbalimbali mkoani mbeya, umeagwa rasmi kuelekea mkoani Songwe. Na Ezra Mwilwa Mjumbe Wa Halmashauri Kuu Ya CCM Taifa NEC Ndugu Ndele Mwaselela Amewaongoza Wajumbe Wa Kamati ya Siasa Mkoa Wa Mbeya…
26 Agosti 2024, 5:19 um
NEC yawaomba wananchi Simiyu kujitokeza kuboresha taarifa zao
Tume huru ya uchaguzi imewataka wananchi mkoani simiyu kujitokeza kwa wingi kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapiga kura, ili wawe na sifa za kushiriki uchaguzi ujao. Akizungumza katika Mkutano huo uliowakutanisha wadau mbalimbali mhe. Jaji mustaafu MBAROUK…
26 Agosti 2024, 3:02 um
Wadau Geita wapongeza mfumo mpya wa NECTA
Wanafunzi wa darasa la 7 kote nchini wanatarajia kuanza kufanya mtihani wa taifa wa kuhitimu elimu hiyo septemba 11 na 12 mwaka huu. Na: Ester Mabula – Geita Mkurugenzi wa shule ya awali na msingi Kadama Bi. Leticia Pastory amesema…
24 Agosti 2024, 12:12
Mwenge wa Uhuru kuzindua miradi yenye thamani ya bilioni 39.8 mkoani Mbeya
Wananchi mkoani Mbeya wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuupokea mwenge wa Uhuru pindi utakapo pita kwenye maeneo yao ukizindua miradi mbalimbali. Na Hobokela Lwinga Mwenge wa Uhuru umepokelewa mkoani Mbeya kutoka mkoani tabora ambapo Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Rodrick Mpogolo…
23 Agosti 2024, 1:17 um
Waandishi wa habari waaswa kufanya kazi kwa maslahi ya wananchi
Kufuatia yanayoendelea Ngorongoro na kuelekea Uchaguzi wa serikali za mitaa maratibu wa THRDC awataka Waandishi wa habari wasikae kimya kwa sababu wananchi wanaumia. Na Saitoti Saringe Akizingumza hii leo Agosti 23, 2024 jijini Dodoma akifungua mafunzo kwa Waandishi wa Habari…
23 Agosti 2024, 12:23 mu
Mhitimu kidato cha sita Loliondo afariki kwa kupigwa risasi kwenye maandamano
Ni maandamano yaliyofanyika Agosti 21, 2024 mkoani Simiyu kwa wananchi kuandamana wakidai polisi kutochukua hatua ya kufuatilia matukio ya kupotea kwa watoto na kupatikana wakiwa wamefariki dunia. Na mwandishi wetu. Kijana Meshack Daudi Paka (21) mhitimu wa kidato cha sita…