Habari za Jumla
29 Aprili 2025, 1:12 um
Namba za NIDA 2019 – 2023 kufutiwa usajili
Picha ya Afisa NIDA Katavi Mauna Karumbeta. Picha na Samwel Mbugi “Namba zinaenda kufutiwa usajili ni zile zilizotumiwa ujumbe” Na Samwel Mbugi Baadhi ya wananchi mkoani Katavi wametoa maoni mseto kuhusiana na zoezi la kufutiwa usajili wa namba za nida…
Aprili 29, 2025, 12:56 um
Waadhimisha miaka 61 ya muungano wilayani Babati
“Tanzania imeweza kusimamia Muungano kwa sababu waasisi wa hawakuwa na maslahi binafsi bali walikuwa na mapenzi mema na nchi“ Na Kudrat Massaga Wananchi Mkoani Manyara wametakiwa kuwashukuru viongozi wote waliopita na waliopo sasa madarakani kwa kuendelea kuenzi na kudumisha Muungano…
23 Aprili 2025, 18:24
KKKT waanda kambi ya madaktari bingwa wa macho,Mbeya
Kutokana na changamoto ya watu wengi kukumbwa na tatizo la macho,KKKT Dayosisi ya Konde wameandaa kambi ya madaktari bingwa watakao toa matibabu kwa wiki moja bure mkoani Mbeya. Na Ezra Mwilwa Askofu Geofrey Mwakihaba wa kanisa la KKKT dayosisi ya…
22 Aprili 2025, 11:46 mu
Samia Legal Aid kuondoa migogoro ya ardhi Rombo
Mkuu wa wilaya ya Rombo Raymond Mwangwala akizungumza na waandishi wa habari. Kutokana na wilaya ya Rombo kuwa na migogoro mingi itokanayo na ardhi kampeni ya msaada wa kisheria ya Samia Legal Aid imetajwa kutatua changamoto hiyo. Na Elizabeth Mafie…
18/04/2025, 16:29
ZSSF yatoa mwongozo kwa Baraza la Mji Kati kuhusu viwanja vya watoto
Baraza la mji Kati. Baraza la Mji Kati wametakiwa kufuata taratibu, sheria na Kanuni zilizowekwa na Serikali pindi wanapotaka kuanzisha Viwanja vya kufurahia Watoto kwalengo la kuwa na Viwanja vilivyo bora.Meneja Mipango kutoka ZSSF ambae pia Msimamizi wa Viwanja vya…
18/04/2025, 15:19
Wanawake wenye ulemavu wajengewa uwezo kutetea haki na kusaidia watoto
Na Mary Julius. Katika jitihada za kuwawezesha wanawake wenye ulemavu kushiriki kikamilifu katika jamii na kutambua haki zao, Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar (UWZ) umeandaa mafunzo maalum yaliyojikita katika masuala ya haki za binadamu, usawa wa kijinsia na haki…
16 Aprili 2025, 1:44 um
DC Mpanda atoa angalizo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha
Picha ya mkuu wa wilaya ya Mpanda. Picha na Anna Mhina “Wananchi mchukue tahadhari kipindi hiki cha mvua” Na Anna Mhina Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha baadhi ya mawasiliano ya barabara kukatika Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari katika kuwalinda…
05/04/2025, 18:24
Wakuu wa Wilaya watakiwa kuhakiki ubora miradi ya Mwenge
Na Musa Mtepa Wakuu wa wilaya na wataalamu ngazi zote wametakiwa kukagua nyaraka mbalimbali zinazotakiwa kuwepo kwenye miradi itakayopitiwa wakati wa mbio za mwenge mkoani mtwara kutekelezwa kwa ubora ili kuepuka ubadhirifu unaoweza kujitokeza. “Navielekeza vyombo vinavyotakiwa kuchukua hatua watakapo…
31/03/2025, 15:01
Vijana waanzisha miradi ya ufugaji Nyanguku
Vijana wameamua kutumia fursa zilizopo kijiji kwao kupambana na changamoto ya ajira Na Edga Rwenduru – Geita Vijana Taasisi ya TK Movement wasiyokuwa na ajira katika kijiji cha Nyanguku Manispaa ya Geita mkoani Geita wameanzisha miradi ya ufugaji wa Mbuzi,kuku…
26 Machi 2025, 3:43 um
Vijana jitokezeni kugombea nafasi za uongozi
“Taifa linahitaji nguvu kazi ya vijana” Na John Benjamin Vijana mkoani Katavi wameombwa kujitokeza kwa wingi kuwania nafasi mbalimbali katika uongozi wa kisiasa Hayo yamezungwa na mwenyekiti wa ngome ya vijana wa chama cha ACT Wazalendo mkoa wa Katavi ambapo…