Habari za Jumla
3 Febuari 2025, 6:58 um
Wananchi wanufaika na wiki ya sheria
Picha ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa mkoa wa Katavi. Picha na Anna Mhina “Mahakama ni chombo muhimu kwenye utoaji haki” Na Lilian Vicent Baadhi ya wananchi mkoani Katavi wamesema kuwa kupitia wiki ya sheria wameweza kujifunza sheria na kutambua…
Febuari 3, 2025, 5:13 um
Wachimbaji watatu wahofiwa kufariki dunia kutokana na kufukiwa na kifusi Kahama
Zoezi la uokoaji linaendelea kwa kushirikiana na wananchi, lakini linakabiliwa na changamoto ya maji mengi ndani ya duara hilo Na leokadia Andrew Wachimbaji watatu wa dhahabu katika mgodi wa Nkandi, eneo la Mwime, Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga, wanahofiwa kufukiwa…
Febuari 1, 2025, 4:58 um
Mkuu wa Shule ajiua kwa kunywa kitu kinachodhaniwa ni sumu Kahama
Zaharani alikunywa kitu kinachodhaniwa ni sumu manamo Januari 29 majira ya saa tano, akiwa nyumbani kwake na alipozidiwa alipelekwa katika hospitali ya Manispaa ya Kahama kwa matibabu zaidi na ilipofika Januari 30 alipoteza maisha. Na Salvatory Ntandu Mkazi wa Kijiji…
31 Januari 2025, 7:50 um
Kampuni za uchimbaji madini zawa kero kwa madiwani
Picha ya baraza la madiwani wa halmashauri ya Mpanda. Picha na Edda Enock “Madiwani walalamikia kampuni za uchimbaji madini” Na Edda Enock Baraza la madiwani manispaa ya Mpanda mkoani Katavi limelalamikia kampuni za uchimbaji madini ambazo zinafanya shughuli za uchimbaji…
31 Januari 2025, 7:36 um
Wananchi wataka elimu ya ardhi itolewe
Picha ya mwenyekiti wa baraza la ardhi na nyumba Katavi Gregory Kalashani. Picha na Anna Mhina. “Wananchi mkoani Katavi wameomba elimu ya ardhi itolewe zaidi” Na Liliani Vicent Baadhi ya wananchi mkoani Katavi wametoa maoni yao kuhusiana na hatua za…
Januari 31, 2025, 5:36 um
Wananchi watakiwa kutoa ushirikiano kwa jeshi la zimamoto na uokoaji Kahama
Mkaguzi msaidizi wa jeshi la zima moto na uokoaji wilaya ya Kahama Hafidhi Omary{picha na Sebastian Mnakaya} wananchi wameshauriwa kutoa taarifa mapema kwa jeshi la zimamoto na uokoaji endapo kukatokea janga la moto na majanga mengine ili liweze kutoa msaada…
28 Januari 2025, 14:48
Kyela:Wiki ya sheria kyela kumekucha
Wananchi wilayani kyela wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika viwanja vya mahakama ya wilaya ya kyela kwenda kutoa na kero zao ili zitatuliwe katika wiki hii ya sheria. Na James Mwakyembe Hatiamaye maadhimisho ya wiki ya sheria yamezinduliwa rasmi hapa wilayani…
28 Januari 2025, 12:00
Kyela:Asente sana ccm kyela
“siku chache zilipita chama cha mapinduzi ccm wilaya ya kyela kupitia halmashauri kuu wamenitunuku cheti cha shukrani kutambua mchango wangu katika ujenzi wa chama change” Na James Mwakyembe Aliyekuwa mgombea wa ubunge kupitia chama cha demokrasia na maendeleo chadema kabla…
27 Januari 2025, 1:30 um
Bodaboda adaiwa kuuawa na kuporwa pikipiki Nyarugusu
Matukio ya waendesha pikipiki kujeruhiwa na kuporwa vifaa vyao vya kazi yanaendelea kuzua sintofahamu na swali likiwa nani kutegua kitendawili hicho. Na: Edga Rwenduru – Geita Kijana anayekadiriwa kuwa na umri wa 20 hadi 25 ambaye ni dereva pikipiki maarufu…
Januari 27, 2025, 11:52 mu
Mahakama ya wilaya Kahama yazindua wiki ya sheria
kauli mbiu ya mwaka huu ‘‘Tanzania ya 2025 nafasi ya Taasisi zinazosimamia haki madai katika kufikia malengo mkuu ya dira ya Taifa ya maendeleo’’ Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika viwanja…