Radio Tadio

Habari za Jumla

29 Aprili 2025, 1:12 um

Namba za NIDA 2019 – 2023 kufutiwa usajili

Picha ya Afisa NIDA Katavi Mauna Karumbeta. Picha na Samwel Mbugi “Namba zinaenda kufutiwa usajili ni zile  zilizotumiwa ujumbe” Na Samwel Mbugi Baadhi ya wananchi mkoani Katavi wametoa maoni mseto kuhusiana na zoezi la kufutiwa usajili wa namba za nida…

Aprili 29, 2025, 12:56 um

Waadhimisha miaka 61 ya muungano wilayani Babati

“Tanzania imeweza kusimamia Muungano kwa sababu waasisi wa hawakuwa na maslahi binafsi bali walikuwa na mapenzi mema na nchi“ Na Kudrat Massaga Wananchi Mkoani Manyara wametakiwa kuwashukuru viongozi wote waliopita na waliopo sasa madarakani kwa kuendelea kuenzi na kudumisha Muungano…

23 Aprili 2025, 18:24

KKKT waanda kambi ya madaktari bingwa wa macho,Mbeya

Kutokana na changamoto ya watu wengi kukumbwa na tatizo la macho,KKKT Dayosisi ya Konde wameandaa kambi ya madaktari bingwa watakao toa matibabu kwa wiki moja bure mkoani Mbeya. Na Ezra Mwilwa Askofu Geofrey Mwakihaba wa kanisa la KKKT dayosisi ya…

22 Aprili 2025, 11:46 mu

Samia Legal Aid kuondoa migogoro ya ardhi Rombo

Mkuu wa wilaya ya Rombo Raymond Mwangwala akizungumza na waandishi wa habari. Kutokana na wilaya ya Rombo kuwa na migogoro mingi itokanayo na ardhi kampeni ya  msaada wa kisheria ya Samia Legal Aid imetajwa kutatua changamoto hiyo. Na Elizabeth Mafie…

16 Aprili 2025, 1:44 um

DC Mpanda atoa angalizo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha

Picha ya mkuu wa wilaya ya Mpanda. Picha na Anna Mhina “Wananchi mchukue tahadhari kipindi hiki cha mvua” Na Anna Mhina Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha baadhi ya mawasiliano ya barabara kukatika Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari katika kuwalinda…

05/04/2025, 18:24

Wakuu wa Wilaya watakiwa kuhakiki ubora miradi ya Mwenge

Na Musa Mtepa Wakuu wa wilaya na wataalamu ngazi zote wametakiwa kukagua nyaraka mbalimbali zinazotakiwa kuwepo kwenye miradi itakayopitiwa wakati wa mbio za mwenge mkoani mtwara kutekelezwa kwa ubora ili kuepuka ubadhirifu unaoweza kujitokeza. “Navielekeza vyombo vinavyotakiwa kuchukua hatua watakapo…

31/03/2025, 15:01

Vijana waanzisha miradi ya ufugaji Nyanguku

Vijana wameamua kutumia fursa zilizopo kijiji kwao kupambana na changamoto ya ajira Na Edga Rwenduru – Geita Vijana Taasisi ya TK Movement wasiyokuwa na ajira katika kijiji cha Nyanguku  Manispaa ya Geita mkoani Geita wameanzisha miradi ya ufugaji wa Mbuzi,kuku…

26 Machi 2025, 3:43 um

Vijana jitokezeni kugombea nafasi za uongozi

“Taifa linahitaji nguvu kazi ya vijana” Na John Benjamin Vijana mkoani Katavi wameombwa kujitokeza kwa wingi kuwania nafasi mbalimbali  katika uongozi wa kisiasa Hayo yamezungwa na mwenyekiti wa ngome ya vijana wa chama cha ACT Wazalendo mkoa wa Katavi ambapo…