Habari za Jumla
27 January 2025, 1:30 pm
Bodaboda adaiwa kuuawa na kuporwa pikipiki Nyarugusu
Matukio ya waendesha pikipiki kujeruhiwa na kuporwa vifaa vyao vya kazi yanaendelea kuzua sintofahamu na swali likiwa nani kutegua kitendawili hicho. Na: Edga Rwenduru – Geita Kijana anayekadiriwa kuwa na umri wa 20 hadi 25 ambaye ni dereva pikipiki maarufu…
January 27, 2025, 11:52 am
Mahakama ya wilaya Kahama yazindua wiki ya sheria
kauli mbiu ya mwaka huu ‘‘Tanzania ya 2025 nafasi ya Taasisi zinazosimamia haki madai katika kufikia malengo mkuu ya dira ya Taifa ya maendeleo’’ Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika viwanja…
21 January 2025, 4:52 pm
Mwanamke akutwa amejinyonga kijiji cha Magamba
Picha ya Kamanda wa polisi mkoa wa Katavi. Picha na Anna Milanzi “Mwanamke mmoja akutwa amefariki dunia kwa kujinyonga na kanga yake” Na Leah Kamala Mwanamke mmoja anaesadikiwa kuwa na umri kati ya miaka 19 hadi 22 ambaye jina lake…
January 17, 2025, 2:06 pm
Wananchi fanyeni makubaliano ya kimkataba
Maonesho ya Wiki ya sheria yataanza January 27 mwaka huu, hadi siku January 31 mwaka huu katika viwanja vya mahakama ya wilaya Kahama Na Sebastian Mnakaya Wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuwa na tabia ya kufanya makubaliano ya kimkataba…
17 January 2025, 1:05 pm
Bodaboda watakiwa kujiunga na mafunzo ya udereva
“Dereva bodaboda wanapaswa kuwa na leseni ili kuondokana na migogoro na askari” Maafisa usafirishaji maarufu kama bodaboda wametakiwa kujiunga na mafunzo ya udereva ili waweze kutambua sheria za usalama barabarani. Hayo yamesemwa na Sajent Juliana Ibalaja kutoka kikosi cha Usalama…
15 January 2025, 10:57 am
CCM yazindua jengo la kitega uchumi Jumuiya ya wazazi Geita
Watumishi wa Umoja wa Jumuiya wa wazazi kupitia chama cha mapinduzi (CCM mkoa wa Geita wametakiwa kutunza na Kulinda Nyumba za Jumuiya hiyo na wala wasigeuze Matumizi yake. Na: Nicholaus Lyankando – Geita Wakizungumza katika uzinduzi wa Jengo jipya la…
15 January 2025, 10:48 am
Baba mkwe adaiwa kumtaka kimapenzi mkwe wake Geita
Migogoro ya kifamilia bado ni changamoto kwa baadhi ya maeneo hali ambayo imekuwa ikikwamisha jitihada za utafutaji. Na: Kale Chongela – Geita Mwanamke Kabula Makelemo (21) mkazi wa mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja Manispaa ya Geita amejikuta katika wakati…
13 January 2025, 11:02 pm
Mkuu wa wilaya ya Uvinza awataka wanafunzi wote kuripoti shule
Mkuu wa wilaya ya Uvinza Bi. Dinah Mathaman akifanya mahojiano na uvinza fm radio picha na Linda Dismas awahimiza wazazi kuwajibika kuwapeleka watoto shule. Na Theresia Damasi Mkuu wa wilaya ya Uvinza Dinah Marthani amewataka wazazi kutimiza wajibu wao wa…
13 January 2025, 5:39 pm
Wananchi Mpomvu washiriki ujenzi wa kituo cha Afya
Baada ya kuwepo kwa changamoto ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya katika maeneo jirani, hatimaye kata ya Mtakuja yaanza ujenzi wa kituo cha Afya. Na: Kale Chongela – Geita Wananchi wa mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja manispaa…
13 January 2025, 5:38 pm
TARURA yachukizwa wanaoziba mitaro Geita
Wakazi wa Geita wameelea kuhimizwa kutunza miundombinu ya barabara sambamba na kutoa taarifa pindi wanapobaini uharibifu wa miundombinu. Na: Kale Chongela – Geita Wakala wa barabara za mjini na vijijini TARURA wilaya ya Geita imekemea vikali tabia ya badhi ya…