Habari za Jumla
2 Machi 2025, 11:55 mu
Mtaala mpya wa elimu imepokelewa kwa furaha Busokelo
Afisa uthibiti ubora wa shule Halmashauri ya Busokelo Bi,Asha Kibiki akiwa ofisini kweke [picha na Peter Tungu] katika kwendana na mabadiliko ya sanyasi na teknolojia jamii imetakiwa kuendana na mabadiliko hayo ili kuweza kuanda watoto kuweza kujiajili BUSOKELO- MBEYA Na…
27 Febuari 2025, 5:47 um
Bajeti ya mwaka 2025/2026 itazingatia mapendelezo ya mabaraza ya Watoto
Na Mary Julius. Afisa Mipango Wilaya ya Magharib b Faida Khamis Ali amesema bajeti ya mwaka 2025 2026 imezingatia mapendelezo yaliyo tolewa na Mabaraza ya watoto. Afisa ameyasema hayo wakati Akifungua kikao cha watoto wadau wa asasi za kiraia na…
Febuari 27, 2025, 12:35 um
Wasichana 700 waokolewa na ukatili mikoa ya Shinyanga na Mara
“Tunatambua kuwa hapa kijijini swala la upatikanaji wa maji safi na salama kwa ajili ya matumizi ya wanafunzi na jamii na jamii bado ni tatizo, hivyo kampuni inawaomba wote kwa ujumla tuwe na subra kwa maana kampuni imekwishafikisha ombi la…
24 Febuari 2025, 5:39 um
Ubovu wa miundombinu katika soko la Machinjioni huathiri huduma
Picha ya soko la Machinjioni. Picha na Edda Enock “Tunashindwa wapi pa kupeleka haja zetu soko halina choo” Na Edda Enock Baadhi ya wafanyabiashara wa soko la machinjioni manispaa ya Mpanda mkoani katavi wametoa malalamiko yao kwa serikali kuhusu hali…
23 Febuari 2025, 07:50
Baba adaiwa kutoweka na mtoto wake wa miezi Saba
Katika Hali isiyo ya kawaida Baba anadaiwa kutoroka na mtoto wa miezi Saba, kwa madai ya MKE ametoa mwimba kwa njia za kishirikina. Na Ezekiel Kamanga Mariam Omary Said(21) mkazi wa Mabatini Jijini Mbeya anamtafuta mwanawe Muzdalifa Adamu Hinju jinsi…
22 Febuari 2025, 7:43 um
Walemavu wasioona kilombero wakumbukwa
“Sisi Watu wenye ulemavu kwa muda mrefu hatujakumbukwa ila tunashukuru kwa huyu mdau Issa Vitus Lipagila kwa kutushika mkono sasa tutafanikisha shughuli zetu kwa kuepuka kupata ajali zisizokuwa za lazima[“Walemavu wasioona Na Elias Maganga Walemavu wasioona Kilombero wamepatiwa msaada wa…
21 Febuari 2025, 07:10
Mufindi FM yashika namba 3 kwa kulipa kodi
na Jumane Bulali Mufindi FM Radio 107.3 imeshika nafasi ya tatu Kwa kulipa Kodi Kwa wakati na kwa usahihi Kwa upande wa Vyombo vya Habari vya Mkoa wa Iringa. Mufindi FM imepewa tunzo hiyo maalumu baada ya kutambuliwa na Mamlaka…
20 Febuari 2025, 16:55
Kyela:Mkaguzi atumwa kafundo,milioni 3 hazionekani zilipo
Katika hali ya kushangaza serikali ya halmashauri ya wilaya ya kyela imeagiza mkaguzi wa hesabu za serikali kufika katika kijiji cha kafundo kutokana na harufu ya ubadhilifu wa fedha za wananchi. Na Masoud Maulid Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya…
19 Febuari 2025, 8:14 um
Mama Samia Legal Aid yafikia wananchi zaidi ya millioni1
Na Loveness Daniel Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia ni ubunifu wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan uliolenga kuongeza wigo wa upatikanaji haki kwa wananchi wasio na uwezo wa kumudu…
Febuari 18, 2025, 6:26 um
watano wafariki dunia katika bwawa lililochimbwa na mkandarasi
Tukio limetokea Febuari 15 katika kijiji hicho na kuhusisha watoto wanne wa kike wa familia mbili tofauti ambao walikuwa wakiogelea katika bwawa hilo Na Salvatory Ntandu Wakazi watano wa Kijiji cha Bulige Wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamefariki dunia kwa kuzama…