Habari za Jumla
20 February 2025, 16:55
Kyela:Mkaguzi atumwa kafundo,milioni 3 hazionekani zilipo
Katika hali ya kushangaza serikali ya halmashauri ya wilaya ya kyela imeagiza mkaguzi wa hesabu za serikali kufika katika kijiji cha kafundo kutokana na harufu ya ubadhilifu wa fedha za wananchi. Na Masoud Maulid Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya…
19 February 2025, 8:14 pm
Mama Samia Legal Aid yafikia wananchi zaidi ya millioni1
Na Loveness Daniel Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia ni ubunifu wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan uliolenga kuongeza wigo wa upatikanaji haki kwa wananchi wasio na uwezo wa kumudu…
February 18, 2025, 6:26 pm
watano wafariki dunia katika bwawa lililochimbwa na mkandarasi
Tukio limetokea Febuari 15 katika kijiji hicho na kuhusisha watoto wanne wa kike wa familia mbili tofauti ambao walikuwa wakiogelea katika bwawa hilo Na Salvatory Ntandu Wakazi watano wa Kijiji cha Bulige Wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamefariki dunia kwa kuzama…
18 February 2025, 5:47 pm
Atupwa jela miaka 3 kwa kuwang’ata wenzie-Sengerema
Matukio ya watu kujichukulia sheria mkononi wilayani Sengerema yanazidi kushika kasi, ambapo mtu mmoja amehukumiwa miaka 3 kwa kosa la kujeruhi watu wa wili na meno. Na;Emmanuel Twimanye Mahakama ya Wilaya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu kwenda jela miaka mitatu Mkazi…
15 February 2025, 9:58 pm
Aweso aungana na waumini wa dini ya kiislamu Pangani kwenye maulid
Maulid hiyo imefanyika tarehe 14 february 2025 sawa na mwezi kumi na tano shaban kwa mwaka wa kiislamu ikienda sambamba na kufunga masomo. Na Hamisi Makungu Waumini wa Dini ya Kiislamu na watanzania wote wamehimizwa kujifunza na kuziishi tabia njema…
14 February 2025, 6:15 pm
Adakwa akijifanya mwanajeshi JWTZ Simiyu
Hapa chini ni taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu iliyotolewa leo Feb, 14, 2025
13 February 2025, 11:22 am
Sungusungu asababisha kifo cha mwananchi
amefariki baada ya kupigwa na Sungusungu kwa tuhuma za kushukiwa anajishughulisha na vitendo vya wizi. Na Betold Chove -Katavi Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu amekemea vitendo vya Wananchi kujichukulia sheria mkononi, hali inayopelekea uvunjifu wa amani na kuhatarisha…
7 February 2025, 2:29 pm
Wazazi watakiwa kuwa karibu na watoto wao
Picha ya Koplo Zainabu Yusuph. Picha na Samwel Mbugi “Ukatili kwa watoto wa kambo huathiri afya ya akili ya mtoto” Na Lilian Vicent Baadhi ya wananchi mkoa wa Katavi wamesema kuwa familia nyingi kuvunjika miongoni mwa wazazi ni moja ya sababu…
7 February 2025, 1:23 pm
Mpanda yajipanga kutunga sheria ili kulinda utamaduni
Picha ya mstahiki meya wa halmashauri ya Mpanda Haidary Sumry. Picha na Anna Mhina “Jamii ipatiwe elimu na kushirikishwa katika kutunga sheria ndogondogo” Na Restusta Nyondo Halmashauri ya manispaa ya Mpanda imesema kuna haja ya kutunga sheria ndogondogo za kulinda…
February 4, 2025, 5:08 pm
TAKUKURU yaokoa milioni 137.8 fedha za mauzo ya viwanja Kahama
Na Marco Maduhu Dawati la uchunguzi walipokea malalamiko 38,yaliyohusu rushwa ni 20 yasiyo husu rushwa ni 18, na kwamba uchunguzi wake unaendelea, huku akibainisha kuwa wamejipanga pia kuzuia vitendo vya rushwa kwenye uchaguzi mkuu ambao utafanyika mwaka huu 2025. Taasisi…