Habari za Jumla
22 April 2025, 11:46 am
Samia Legal Aid kuondoa migogoro ya ardhi Rombo
Mkuu wa wilaya ya Rombo Raymond Mwangwala akizungumza na waandishi wa habari. Kutokana na wilaya ya Rombo kuwa na migogoro mingi itokanayo na ardhi kampeni ya msaada wa kisheria ya Samia Legal Aid imetajwa kutatua changamoto hiyo. Na Elizabeth Mafie…
18 April 2025, 4:29 pm
ZSSF yatoa mwongozo kwa Baraza la Mji Kati kuhusu viwanja vya watoto
Baraza la mji Kati. Baraza la Mji Kati wametakiwa kufuata taratibu, sheria na Kanuni zilizowekwa na Serikali pindi wanapotaka kuanzisha Viwanja vya kufurahia Watoto kwalengo la kuwa na Viwanja vilivyo bora.Meneja Mipango kutoka ZSSF ambae pia Msimamizi wa Viwanja vya…
18 April 2025, 3:19 pm
Wanawake wenye ulemavu wajengewa uwezo kutetea haki na kusaidia watoto
Na Mary Julius. Katika jitihada za kuwawezesha wanawake wenye ulemavu kushiriki kikamilifu katika jamii na kutambua haki zao, Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar (UWZ) umeandaa mafunzo maalum yaliyojikita katika masuala ya haki za binadamu, usawa wa kijinsia na haki…
16 April 2025, 1:44 pm
DC Mpanda atoa angalizo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha
Picha ya mkuu wa wilaya ya Mpanda. Picha na Anna Mhina “Wananchi mchukue tahadhari kipindi hiki cha mvua” Na Anna Mhina Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha baadhi ya mawasiliano ya barabara kukatika Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari katika kuwalinda…
5 April 2025, 18:24 pm
Wakuu wa Wilaya watakiwa kuhakiki ubora miradi ya Mwenge
Na Musa Mtepa Wakuu wa wilaya na wataalamu ngazi zote wametakiwa kukagua nyaraka mbalimbali zinazotakiwa kuwepo kwenye miradi itakayopitiwa wakati wa mbio za mwenge mkoani mtwara kutekelezwa kwa ubora ili kuepuka ubadhirifu unaoweza kujitokeza. “Navielekeza vyombo vinavyotakiwa kuchukua hatua watakapo…
31 March 2025, 3:01 pm
Vijana waanzisha miradi ya ufugaji Nyanguku
Vijana wameamua kutumia fursa zilizopo kijiji kwao kupambana na changamoto ya ajira Na Edga Rwenduru – Geita Vijana Taasisi ya TK Movement wasiyokuwa na ajira katika kijiji cha Nyanguku Manispaa ya Geita mkoani Geita wameanzisha miradi ya ufugaji wa Mbuzi,kuku…
26 March 2025, 3:43 pm
Vijana jitokezeni kugombea nafasi za uongozi
“Taifa linahitaji nguvu kazi ya vijana” Na John Benjamin Vijana mkoani Katavi wameombwa kujitokeza kwa wingi kuwania nafasi mbalimbali katika uongozi wa kisiasa Hayo yamezungwa na mwenyekiti wa ngome ya vijana wa chama cha ACT Wazalendo mkoa wa Katavi ambapo…
25 March 2025, 9:39 am
Meya Mpanda apiga jeki mifuko 40 ya saruji ofisi za CCM
Wajumbe wa CCM wakipokea mfuko mmoja wa saruji kwa niaba ya mifuko 40. Picha na Anna Mhina “Lengo la kutoa mifuko hiyo ni kukifanya chama kionekane cha tofauti” Na Anna Mhina Mstahiki meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani…
25 March 2025, 07:24
Mbeya waipokea No reform no election
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu, amesema ni jambo ambalo haiwezekani Chama hicho kupata matokeo ya uchaguzi wa asilimia sifuri kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika mwaka 2024 katika mkoa wa Mbeya na maeneo mengine…
19 March 2025, 10:55 AM
MANAWASA yafanikiwa kufunga mita 95 za malipo ya kabla
Mkurugenzi wa Huduma kwa wateja wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Masasi Nachingwea (MANAWASA) Obadia Mtuya. Picha na Godbless Lucius “Wateja wa huduma ya maji wanazidi kuongezeka, na sisi kama taasisi tutaendelea kuboresha mifumo yetu ili kuhakikisha…