Radio Tadio

Habari za Jumla

22 April 2025, 11:46 am

Samia Legal Aid kuondoa migogoro ya ardhi Rombo

Mkuu wa wilaya ya Rombo Raymond Mwangwala akizungumza na waandishi wa habari. Kutokana na wilaya ya Rombo kuwa na migogoro mingi itokanayo na ardhi kampeni ya  msaada wa kisheria ya Samia Legal Aid imetajwa kutatua changamoto hiyo. Na Elizabeth Mafie…

16 April 2025, 1:44 pm

DC Mpanda atoa angalizo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha

Picha ya mkuu wa wilaya ya Mpanda. Picha na Anna Mhina “Wananchi mchukue tahadhari kipindi hiki cha mvua” Na Anna Mhina Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha baadhi ya mawasiliano ya barabara kukatika Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari katika kuwalinda…

5 April 2025, 18:24 pm

Wakuu wa Wilaya watakiwa kuhakiki ubora miradi ya Mwenge

Na Musa Mtepa Wakuu wa wilaya na wataalamu ngazi zote wametakiwa kukagua nyaraka mbalimbali zinazotakiwa kuwepo kwenye miradi itakayopitiwa wakati wa mbio za mwenge mkoani mtwara kutekelezwa kwa ubora ili kuepuka ubadhirifu unaoweza kujitokeza. “Navielekeza vyombo vinavyotakiwa kuchukua hatua watakapo…

31 March 2025, 3:01 pm

Vijana waanzisha miradi ya ufugaji Nyanguku

Vijana wameamua kutumia fursa zilizopo kijiji kwao kupambana na changamoto ya ajira Na Edga Rwenduru – Geita Vijana Taasisi ya TK Movement wasiyokuwa na ajira katika kijiji cha Nyanguku  Manispaa ya Geita mkoani Geita wameanzisha miradi ya ufugaji wa Mbuzi,kuku…

26 March 2025, 3:43 pm

Vijana jitokezeni kugombea nafasi za uongozi

“Taifa linahitaji nguvu kazi ya vijana” Na John Benjamin Vijana mkoani Katavi wameombwa kujitokeza kwa wingi kuwania nafasi mbalimbali  katika uongozi wa kisiasa Hayo yamezungwa na mwenyekiti wa ngome ya vijana wa chama cha ACT Wazalendo mkoa wa Katavi ambapo…

25 March 2025, 07:24

Mbeya waipokea No reform no election

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu, amesema ni jambo ambalo haiwezekani Chama hicho kupata matokeo ya uchaguzi wa asilimia sifuri kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika mwaka 2024 katika mkoa wa Mbeya na maeneo mengine…

19 March 2025, 10:55 AM

MANAWASA yafanikiwa kufunga mita 95 za malipo ya kabla

Mkurugenzi wa Huduma kwa wateja wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Masasi Nachingwea (MANAWASA) Obadia Mtuya. Picha na Godbless Lucius “Wateja wa huduma ya maji wanazidi kuongezeka, na sisi kama taasisi tutaendelea kuboresha mifumo yetu ili kuhakikisha…