Radio Tadio

Habari za Jumla

3 Mei 2025, 12:56 um

Madereva wapewe elimu ya kununua mafuta

Picha ya Hassan Masanja mhandishi kitengo cha mafuta kanda ya magharibi. Picha na Anna Mhina. “Hairuhusiwi kubeba mafuta kwenye madumu” Na Rhoda Elias Baadhi ya madereva wa vyombo vya moto  wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi, hawana uelewa wa  kutosha…

3 Mei 2025, 11:59 mu

Dhahabu feki yaondoka na uhai wa mtu Katavi

Picha ya waombolezaji. Picha na Samwel Mbugi “Tunaonewa sisi wanyonge” Na Beny Gadau Wananchi wa mtaa wa Ilembo manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameitaka serikali kuwachukulia hatua kali za kisheria wahusika wa kifo cha Ediga Mwaniwe mfanyabiashara na mchimbaji wa…

3 Mei 2025, 11:40 mu

Maadhimisho ya zimamoto wananchi watoa neno

Picha ya afisa habari msaidizi wa jeshi la zimamoto na uokoaji Katavi. Picha na Anna Mhina. “Lengo la maadhimisho ni kuwakumbuka waliopoteza maisha wakiwa kazini” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba…

2 Mei 2025, 2:29 um

Hatimaye Mv mapinduzi II yakaribia kurudi kazini

Na Kassim Salum Abdi. Kamati ya kudumu ya Baraza la Wawakilishi inayosimamia Mawasiliano, Ardhi na Nishati imesema imeridhishwa na matengenezo ya ukarabati wa Meli ya MV MAPINDUZI (II) iliopo nangani katika bandari ya Malindi. Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano, Ardhi…

Mei 2, 2025, 2:22 um

Mpango wa m mama unavyosaidia wajawazito na watoto

“Jumla ya madereva 20 ndio waliohitajika, 9 wamesajiliwa na hulipwa Tshs 1,500/= kwa kilomita 1 na hulipwa kwenda na kurudi” Amesema Dkt. Agustine Mjuni Kaloli. Na Sharifat Shinji Muuguzi Mkuu katika Halmashauri ya Mji Kasulu ameeleza jinsi mpango wa m…

2 Mei 2025, 2:02 um

Rushwa ya ngono yamkera mkuu wa mkoa

Picha ya maandamano siku ya wafanyakazi duniani. Picha na Restuta Nyondo. “Msikubali kutoa rushwa ya ngono ili kupata haki zenu” Na Restuta Nyondo Wafanyakazi mkoani Katavi wamesema bado taasisi na halmashauri zinalegalega katika kulipa madai kwa muda mrefu ikiwemo fedha…

2 Mei 2025, 13:05

RC Kigoma ataka wajiri na waajiriwa kuzingatia haki na usawa

Mratibu wa shirikisho wa vyama vya wafanyakazi ameomba Serikali kufanyia marekebisho sheria ya utumishi wa umma ili kuondoa mkanganyiko. Na Hagai Ruyagila – Kakonko Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Kamishna Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye,…