Habari za Jumla
Mei 28, 2025, 1:26 um
Wakazi wa mtaa wa Kilimani Bunda Mji walalamika kuharibika kwa daraja
Wakazi wa Mtaa wa Kilimani Halmashauri ya wilaya ya Bunda wameomba Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA), kutengeneza daraja la barabara ya kilimani karibu na stendi mpya liloharibika kutokana na mvua zilizonyesha hivi karibuni. Wakizungumza na Bunda FM Radio…
27 Mei 2025, 20:11
Waandishi Watakiwa Kutumia kwa Uangalifu Akili Mnemba.
Kufuatia kuibuka kwa matumizi ya teknolojia ya akili mnemba (Artificial Intelligence – AI), waandishi wa habari wametakiwa kuwa waangalifu katika kutumia teknolojia hiyo, ili kuepuka kusambaza taarifa zisizo sahihi Na Samwel Mpogole Waandishi wa Habari wa Radio za kijamii wametakiwa…
Mei 26, 2025, 12:49 um
Mamba kitoweo kwa jamii ya Nyasa
Wakati maeneo mengine wanamuona mamba kama mnyama mkali lakini sivyo kwa wilaya ya nyasa ambako baadhi ya sehemu amefanywa kitoweo na wahusika kufurahia ladha yake Na Mussa ndonde Hayo yameelezwa na wananchi wa kijiji cha nangombo kitongoji cha tembwe kinachopitiwa…
26 Mei 2025, 12:43
Maonesho ya biashara, viwanda na kilimo yafana Mbeya
Dkt Juma Homera. Picha na Samwel Mpogole Mkuu wa Mkoa amewataka wananchi kushiriki maonesho ili waweze kunufaika na fursa lukuki. Na Samwel Mpogole. Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mkoa wa Mbeya imeandaa maonesho makubwa ya kibiashara yaliyoanza Mei…
26/05/2025, 12:37
Biashara zavurugika Isongole kufuatia kufungwa kwa mpaka wa Malawi
Kufungwa kwa mpaka wa Isongole imekuwa kilio kwa wafanyabiashara wa mpakani hususani wanaouza mazao nje ya nchi Na Kennedy Sichone Wafanyabiashara wa Isongole na maeneo ya jirani katika Wilaya ya Ileje, Mkoa wa Songwe, April 28 mwaka huu wameiomba serikali…
24/05/2025, 21:18
Wananchi wahimizwa kuchukua tahadhari dhidi ya majanga Wilaya ya Kati
Wilaya ya Kati. Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari ya Majanga mbalimbali yanayotokezea katika Jamii ikiwemo Majanga ya kuunguliwa na Moto na Upepo mkali. Afisa wa kukabiliana na Maafa Wilaya ya Kati Ali Haji Khamis ameyasema hayo wakati akiwakabidhi Vifaa vya Ujenzi…
24 Mei 2025, 8:25 um
Wananchi wa Mwamashindike walia na ubovu wa barabara
“Sekta ya miundombinu ya barabara ni Moja kati ya ajenda muhimu Sana kwa ustawi wa jamii yetu maana ndiyo inayotumika kusafirishia mazao mbalimbali kutoka huko kijijini kuja sehemu za masoko lakini ikitaka kufungua uchumi wako lazima Kwanza ufungue barabara zako…
24 Mei 2025, 15:29
Kada CCM ajitosa kuvaa viatu vya Dk Tulia Mbeya
Kuelekea uchaguzi Mkuu October 2025 baadhi ya makada kupitia vyama vyao vya siasa wameanza kutangaza nia zao kuwania nafasi mbalimbali ikiwemo udiwani,ubunge na urais. Na Ezra Mwila Kada wa chama cha mapinduzi na mwandishi wa habari mkoani Mbeya Charles…
23/05/2025, 19:18
Mashirikiano ndiyo nguzo ya kufanikisha malengo ya serikali
Wilaya ya Kati. Kuwepo kwa mashirikiano mazuri katika Taasisi za Umma ni chachu ya kufika malengo waliojiekea katika kuwaletea maendeleo Wananchi.Mkuu wa Wilaya ya Kati Cassian Gallos Nyimbo ameyasema hayo wakati wa makabidhiano ya Ofisi kwa mkurugenzi mpya w Baraza…
23/05/2025, 15:23
Jeshi la Polisi Kusini Unguja lasisitiza uwajibikaji wa wakaguzi wa shehia
Na Omar Hassan. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP. Daniel Shillah amewahimiza wakaguzi wa Polisi waliopangiwa kufanya kazi katika Shehia mbalimbali kuwatumikia wananchi na kuwajengea mazingira tulivu ya kiusalama na kwamba atawachukulia hatua…