Habari za Jumla
30 April 2025, 5:34 PM
Watu wasiojulikana wachoma vifaa kanisani Masasi
Haya ni mambo yanayojili katika jamii zetu na katika yote hivyo nawasamehe wale wote waliotenda hayo yamkini si akili yao Na Lilian Martin Watu wasiojulikana wamevamia katika kanisa Anglikana lililopo kijiji cha Mpeta wilayani Masasi mkoani Mtwara na kukusanya baadhi…
30 April 2025, 3:59 pm
Serikali ya awamu ya sita yajivunia mafanikio katika ya sekta ya uchukuzi
Na Mary Julius. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema Serikali ya Awamu ya sita inaendelea na utekelezaji wa miradi ambayo ni wezeshi katika sekta ya Uchukuzi inayojumuisha ujenzi wa reli ya kisasa, ukarabati wa viwanja…
30 April 2025, 14:40
Mawakala wa vyama vya siasa fuateni sheria uboreshaji daftari
Zoezi la uboreshaji wa daftari la mpiga kura awamu ya pili linatarajia kuanza mei mosi. Na Emmanuel Kamangu Mawakala wa vyama vya siasa wametakiwa kufuata sheria na taratibu katika vituo vya uandikishaji wakati wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la…
April 30, 2025, 1:34 pm
Mama ahukumiwa miezi sita nje ya jela wilayani Bunda kwa ukatili
‘‘Naomba mahakama itoe adhabu kali kwa mshitakiwa ili iwefundisho kwa jamii kuacha tabia ya ukatili dhidi ya watoto’’. Aristariko Msongelo mwendesha mashitaka wa Jamhuri Wilaya ya Bunda. Na Adolf Mwolo Mahakama wilayani Bunda imemhukumu kifungo cha miezi 6 cha nje…
April 30, 2025, 12:41 pm
Wakopeshaji na wakopaji watakiwa kuzijua sheria
Picha ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Mahakama ya Wilaya Babati Stephano Yodal akiwa na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Mwanzo Babati mjini Cesilia mbangati. Na kudrat Massaga Vikundi vinavyohusika na ukopeshaji pamoja na wakopaji kwenye vikundi vya mtaani wametakiwa kuzijua…
April 30, 2025, 12:22 pm
Kasulu utupaji taka maeneo ya kazi bado changamoto
Shirika linalojihusisha na utunzaji wa Mazingira katika Halmashauri ya Mji Kasulu (Earth Care Foundation) laeleza namna mabadiliko ya tabianchi yanavyoleta athari katika maeneo ya kazi. Na; Sharifat Shinji Wananchi katika Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wameombwa kutunza Mazingira ili…
30 April 2025, 10:33 am
Maafisa uchaguzi Mpanda wapigwa Msasa
Picha ya mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Asina Omari. Picha na John Benjamin “Tekelezeni zoezi hilo kwa umakini” Na John Benjamin Maafisa uchaguzi ngazi ya kata wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuhakikisha wanasimamia…
29 April 2025, 1:12 pm
Namba za NIDA 2019 – 2023 kufutiwa usajili
Picha ya Afisa NIDA Katavi Mauna Karumbeta. Picha na Samwel Mbugi “Namba zinaenda kufutiwa usajili ni zile zilizotumiwa ujumbe” Na Samwel Mbugi Baadhi ya wananchi mkoani Katavi wametoa maoni mseto kuhusiana na zoezi la kufutiwa usajili wa namba za nida…
April 29, 2025, 12:56 pm
Waadhimisha miaka 61 ya muungano wilayani Babati
“Tanzania imeweza kusimamia Muungano kwa sababu waasisi wa hawakuwa na maslahi binafsi bali walikuwa na mapenzi mema na nchi“ Na Kudrat Massaga Wananchi Mkoani Manyara wametakiwa kuwashukuru viongozi wote waliopita na waliopo sasa madarakani kwa kuendelea kuenzi na kudumisha Muungano…
23 April 2025, 18:24
KKKT waanda kambi ya madaktari bingwa wa macho,Mbeya
Kutokana na changamoto ya watu wengi kukumbwa na tatizo la macho,KKKT Dayosisi ya Konde wameandaa kambi ya madaktari bingwa watakao toa matibabu kwa wiki moja bure mkoani Mbeya. Na Ezra Mwilwa Askofu Geofrey Mwakihaba wa kanisa la KKKT dayosisi ya…