Radio Tadio

Habari za Jumla

2 Mei 2025, 13:05

RC Kigoma ataka wajiri na waajiriwa kuzingatia haki na usawa

Mratibu wa shirikisho wa vyama vya wafanyakazi ameomba Serikali kufanyia marekebisho sheria ya utumishi wa umma ili kuondoa mkanganyiko. Na Hagai Ruyagila – Kakonko Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Kamishna Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye,…

1 Mei 2025, 5:47 um

Wafanyabiashara Maswa wakana kuchangishwa fedha za nyumba ya DC

“Jumuiya ya wafanyabiashara(TTCIA)wilayani Maswa mkoani Simiyu wameonya nakutotaka jina lao kutumiwa na  watu kwa maslahi yao binafsi,hali inayowachonganisha wao na watendaji wa Serikali Wilayani hapo”. Na,Alex Sayi-Maswa Simiyu Jumuiya ya wafanyabiashara wilayani Maswa mkoani Simiyu(TTCIA) wamekanusha taarifa zilizotolewa mitandaoni kwenye…

1 Mei 2025, 1:30 um

Madiwani Tanganyika wamtaka mkurugenzi kutatua changamoto

Picha ya baraza la madiwani Tanganyika. Picha na Beny Gadau “Tumemuondoa daktari wa Mchangani amekuwa na uwajibikaji hafifu” Na Beny Gadu Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Tanganyika wamefanya kikao cha robo ya kwanza kwa mwaka 2025 chenye lengo…

Mei 1, 2025, 8:58 mu

DC Kaganda arejesha amani kirudiki

Na Salum Majey Wananchi wa Kiru Diki, Wilaya ya Babati, wameonyesha furaha na shukrani zao kwa Mkuu wa Wilaya ya Babati, Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda kwa juhudi zake zilizofanikisha kurejeshwa kwa amani katika eneo lao baada ya miaka kadhaa ya…

30 Aprili 2025, 7:34 um

Waajiri wasiotoa mikataba kuchukuliwa hatua

Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amemwagiza katibu tawala wa mkoa wa Manyara kupita kwenye ofisi za umma na binafsi nakukagua mikataba kwa  wasio na mikataba ili kuchukua hatua kwa waaajiri wanaokwenda kinyume na sheria za kazi hapa nchini…

30 Aprili 2025, 5:34 UM

Watu wasiojulikana wachoma vifaa kanisani Masasi

Haya ni mambo yanayojili katika jamii zetu na katika yote hivyo nawasamehe wale wote waliotenda hayo yamkini si akili yao Na Lilian Martin Watu wasiojulikana wamevamia katika kanisa Anglikana lililopo kijiji cha Mpeta wilayani Masasi mkoani Mtwara na kukusanya baadhi…