Habari za Jumla
2 Mei 2025, 13:05
RC Kigoma ataka wajiri na waajiriwa kuzingatia haki na usawa
Mratibu wa shirikisho wa vyama vya wafanyakazi ameomba Serikali kufanyia marekebisho sheria ya utumishi wa umma ili kuondoa mkanganyiko. Na Hagai Ruyagila – Kakonko Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Kamishna Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye,…
Mei 1, 2025, 6:18 um
Mawakala wa vyama rukhusa vituo vya uboreshaji Daftari la mpiga kura
Mawakala wa vyama vya siasa wameruhusiwa kuwepo katika vituo vya uandikishaji wakati wote wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la mpiga kura awamu ya pili katika wilaya ya Kasulu. Na; Sharifat Shinji Mawakala wa vyama vya siasa wameruhusiwa…
1 Mei 2025, 5:47 um
Wafanyabiashara Maswa wakana kuchangishwa fedha za nyumba ya DC
“Jumuiya ya wafanyabiashara(TTCIA)wilayani Maswa mkoani Simiyu wameonya nakutotaka jina lao kutumiwa na watu kwa maslahi yao binafsi,hali inayowachonganisha wao na watendaji wa Serikali Wilayani hapo”. Na,Alex Sayi-Maswa Simiyu Jumuiya ya wafanyabiashara wilayani Maswa mkoani Simiyu(TTCIA) wamekanusha taarifa zilizotolewa mitandaoni kwenye…
1 Mei 2025, 1:52 um
Wakuu wa shule za msingi Katavi waazimia kupandisha ufaulu
Picha ya wakuu wa shule za msingi Katavi. Picha na Samwel Mbugi. “Jiwekeeni malengo ili mpandishe ufaulu” Na Samwel Mbugi Walimu wakuu wa shule za msingi mkoa wa Katavi wametakiwa kusimamia msingi wa utawala bora na uwajibikaji katika kazi ili…
1 Mei 2025, 1:30 um
Madiwani Tanganyika wamtaka mkurugenzi kutatua changamoto
Picha ya baraza la madiwani Tanganyika. Picha na Beny Gadau “Tumemuondoa daktari wa Mchangani amekuwa na uwajibikaji hafifu” Na Beny Gadu Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Tanganyika wamefanya kikao cha robo ya kwanza kwa mwaka 2025 chenye lengo…
Mei 1, 2025, 8:58 mu
DC Kaganda arejesha amani kirudiki
Na Salum Majey Wananchi wa Kiru Diki, Wilaya ya Babati, wameonyesha furaha na shukrani zao kwa Mkuu wa Wilaya ya Babati, Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda kwa juhudi zake zilizofanikisha kurejeshwa kwa amani katika eneo lao baada ya miaka kadhaa ya…
30 Aprili 2025, 7:34 um
Waajiri wasiotoa mikataba kuchukuliwa hatua
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amemwagiza katibu tawala wa mkoa wa Manyara kupita kwenye ofisi za umma na binafsi nakukagua mikataba kwa wasio na mikataba ili kuchukua hatua kwa waaajiri wanaokwenda kinyume na sheria za kazi hapa nchini…
30 Aprili 2025, 5:34 UM
Watu wasiojulikana wachoma vifaa kanisani Masasi
Haya ni mambo yanayojili katika jamii zetu na katika yote hivyo nawasamehe wale wote waliotenda hayo yamkini si akili yao Na Lilian Martin Watu wasiojulikana wamevamia katika kanisa Anglikana lililopo kijiji cha Mpeta wilayani Masasi mkoani Mtwara na kukusanya baadhi…
30 Aprili 2025, 3:59 um
Serikali ya awamu ya sita yajivunia mafanikio katika ya sekta ya uchukuzi
Na Mary Julius. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema Serikali ya Awamu ya sita inaendelea na utekelezaji wa miradi ambayo ni wezeshi katika sekta ya Uchukuzi inayojumuisha ujenzi wa reli ya kisasa, ukarabati wa viwanja…
30 Aprili 2025, 14:40
Mawakala wa vyama vya siasa fuateni sheria uboreshaji daftari
Zoezi la uboreshaji wa daftari la mpiga kura awamu ya pili linatarajia kuanza mei mosi. Na Emmanuel Kamangu Mawakala wa vyama vya siasa wametakiwa kufuata sheria na taratibu katika vituo vya uandikishaji wakati wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la…