Radio Tadio

Habari za Jumla

12 Mei 2025, 2:12 UM

Ashikiliwa kwa kukata nyeti za rafiki yake

Inadaiwa kuwa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro uliotokana na tuhuma za wizi, ambapo mtuhumiwa alimshuku marehemu kuwa anamuibia baadhi ya vitu vyake. Na Lilian Martin Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamshikilia mtu mmoja aitwaye Wales Gerald (45), mkazi…

12 Mei 2025, 12:55 um

Mwenyekiti UWZ atoa wito wa mshikamano

Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar, UWZ Abdulwakili H Hafidhi, amewataka wanachama wa umoja huo kuunga mkono viongozi wao kwa lengo la kuhakikisha kuwa huduma na mafanikio ya umoja huo yanawafikia watu wote wenye ulemavu…

9 Mei 2025, 12:54

Wakulima walia na bei ya pamba Kasulu

Serikali imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wakulima wa pamba ili waweze kulima pamba kwa wingi. Na Hagai Ruyagila Wakulima wa zao la pamba wilayani Kasulu, mkoani Kigoma, wameiomba serikali kuongeza bei ya ununuzi wa zao hilo ili wakulima waweze…

Mei 6, 2025, 2:00 um

Wadudu waondoka na mwili wa marehemu msibani

Taharuki imetokea baada ya mwili wa marehemu kurudishwa mochwari mara mbili kabla ya kuzikwa. Na Michael Nanyaro Kundi la vijana wa bodaboda maarufu kama wadudu wilayani Arumeru jijini Arusha  wamemrudisha mwenzao aliyefariki  mochwari baada ya mwili kufikishwa nyumbani na familia,…

6 Mei 2025, 12:24

Mafuriko yanufaisha vijana kwa kuvusha watu Kibirizi

Licha ya shuruba wanazokutana nazo wananchi wanaoishi katika maeneo yaliyoathirika mafuriko Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, baadhi ya vijana wametumia mafuriko hayo kuwa fursa kwa kujipatia kipato kupitia kuwabeba watu wanaovuka. Na Josephine Kiravu Baadhi ya vijana katika eneo la…