Radio Tadio

Habari za Jumla

28 Mei 2025, 4:47 um

Jamii yatakiwa kuachana na imani potofu kuhusu saratani ya damu

Na Mary Julius. Jamii imetakiwa kuachana na imani potofu zinazohusiana na watu wanaopungukiwa damu mara kwa mara kwa kudhani kuwa wamerogwa au wana majini, na badala yake kuwahisha hospitalini ili kupata uchunguzi wa kitabibu.Akizungumza na Zenji FM, ikiwa ni maadhimisho…

27 Mei 2025, 20:11

Waandishi Watakiwa Kutumia kwa Uangalifu Akili Mnemba.

Kufuatia kuibuka kwa matumizi ya teknolojia ya akili mnemba (Artificial Intelligence – AI), waandishi wa habari wametakiwa kuwa waangalifu katika kutumia teknolojia hiyo, ili kuepuka kusambaza taarifa zisizo sahihi Na Samwel Mpogole Waandishi wa Habari wa Radio za kijamii wametakiwa…

Mei 26, 2025, 12:49 um

Mamba kitoweo kwa jamii ya Nyasa

Wakati maeneo mengine wanamuona mamba kama mnyama mkali lakini sivyo kwa wilaya ya nyasa ambako baadhi ya sehemu amefanywa kitoweo na wahusika kufurahia ladha yake Na Mussa ndonde Hayo yameelezwa  na wananchi wa kijiji cha nangombo kitongoji cha tembwe kinachopitiwa…

26 Mei 2025, 12:43

Maonesho ya biashara, viwanda na kilimo yafana Mbeya

Dkt Juma Homera. Picha na Samwel Mpogole Mkuu wa Mkoa amewataka wananchi kushiriki maonesho ili waweze kunufaika na fursa lukuki. Na Samwel Mpogole. Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mkoa wa Mbeya imeandaa maonesho makubwa ya kibiashara yaliyoanza Mei…

24 Mei 2025, 8:25 um

Wananchi wa Mwamashindike walia na ubovu wa barabara

“Sekta ya miundombinu ya barabara ni Moja kati ya ajenda muhimu Sana kwa ustawi wa jamii yetu maana ndiyo inayotumika kusafirishia mazao mbalimbali kutoka huko kijijini kuja sehemu za masoko lakini ikitaka kufungua uchumi wako lazima Kwanza ufungue barabara zako…

24 Mei 2025, 15:29

Kada CCM ajitosa kuvaa viatu vya Dk Tulia Mbeya

Kuelekea uchaguzi Mkuu October 2025 baadhi ya makada kupitia vyama vyao vya siasa wameanza kutangaza nia zao kuwania nafasi mbalimbali ikiwemo udiwani,ubunge na urais.‎‎ Na Ezra Mwila ‎‎ Kada wa chama cha mapinduzi na mwandishi wa habari mkoani Mbeya Charles…