Radio Tadio

Habari za Jumla

16/06/2025, 17:17

Wakulima wa ufuta, korosho wahama chama

Wakulima wa mazao ya ufuta na korosho wa kijiji cha Imekuwa wamekuwa wakipambana uanzishwaji wa chama cha ushirika tangu mwaka 2023 bila mafanikio kwa kile kinachoelezwa kutokidhi vigezo vya unazishaji wake Na Musa Mtepa Baadhi ya wakulima wa mazao ya…

14/06/2025, 16:22

Wito watolewa kwa wananchi kukata hatimiliki za ardhi

Afisa ardhi wa halmashauri ya mji Kasulu  Pesha Jackson ameeleza bado kuna mwitikio mdogo kwa wananchi ndani ya halmashauri ya mji Kasulu katika swala la ukataji wa hatimiliki ukilinganisha na viwanja vyenye sifa ya kukatiwa hati na kuwaomba wananchi kuendelea kujitokeza…

14 Juni 2025, 15:46

Somabiblia wawatoa msaada kwa wahitaji

Kampuni ya soma Biblia imefikisha miaka kumi katika kuadhimisha miaka hiyo wametembelea jeshi la magereza Rwanda Mbeya kuwatazama wafungwa na kutoa msaada wa vitu mbalimbli. Na Ezra Mwilwa Wadau na taasisi mbalimbali wameombwa kutowatenga wahitaji badala yake wanatakiwa kujenga utamaduni…

14 Juni 2025, 12:41 um

Faida za kulima bustani ya mbogamboga nyumbani

Na. Theresia Damas & Abdunuru Shafii Makala hii inaangazia umuhimu wa kulima bustani ya mbogamboga nyumbani katika eneo dogo. Je unafahamu umuhimu wa bustani ya mbogamboga nyumbani ama laah? sikiliza makala hii inayo somwa na Linda Dismas

14 Juni 2025, 12:15 um

Wazazi/walezi msiwatelekeze watoto

Meneja wa Mpanda radio FM Denis Mkakala. Picha na Samwel Mbugi “Tumekuja kuwasalimia watoto na kuwaletea zawadi” Na Anna Mhina Wazazi na walezi wa mkoa wa Katavi wameshauriwa kuhakikisha wanasimamia misingi ya malezi bora ya kulea watoto na si kuwatelekeza.…

14/06/2025, 10:56

Madereva wa magari waonywa kuegesha vibaya Mnadani

Wito huo umetolewa na mkaguzi wa magari kutoka Jeshi la polisi wilayani Kasulu Koplo Fadhili Ndege wakati akiongea na Buha FM Radio akiwa sokoni hapo juu ya namna madereva wa magari wanavyopaki wakati wanapakia mizigo kwa ajili ya kuisafirisha sehemu…

14 Juni 2025, 10:24 mu

Wanaume watakiwa kusimama imara kulifanya kanisa kuwa na umoja

Kanisa linahitaji wanaume wa kutosha na  wenye moyo thabiti  wa kulitunza kanisa la Mungu. Na Emmanuel Kamangu Wanaume wa kanisa katoliki parokia ya mrubona jimbo  katoliki la kigoma wametakiwa kuwa kielelezo cha kanisa ikiwemo kusimama imara katika kulifanya kanisa kuwa…

14 Juni 2025, 10:19 mu

Tabasamu akabidhi mil.10 kwa bodaboda Sengerema

Mai 19 waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh.Kassimu Majaliwa alikuwa na ziara wilayani Sengerema ya kukagua miradi na kusikiliza kero za wananchi ambapo bodaboda waliiomba serikali kuwasaidia fedha ili kutimiza malengo yao ya kununua koster kwa ajili…