Radio Tadio

Habari za Jumla

9 May 2025, 12:54

Wakulima walia na bei ya pamba Kasulu

Serikali imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wakulima wa pamba ili waweze kulima pamba kwa wingi. Na Hagai Ruyagila Wakulima wa zao la pamba wilayani Kasulu, mkoani Kigoma, wameiomba serikali kuongeza bei ya ununuzi wa zao hilo ili wakulima waweze…

May 6, 2025, 2:00 pm

Wadudu waondoka na mwili wa marehemu msibani

Taharuki imetokea baada ya mwili wa marehemu kurudishwa mochwari mara mbili kabla ya kuzikwa. Na Michael Nanyaro Kundi la vijana wa bodaboda maarufu kama wadudu wilayani Arumeru jijini Arusha  wamemrudisha mwenzao aliyefariki  mochwari baada ya mwili kufikishwa nyumbani na familia,…

6 May 2025, 12:24

Mafuriko yanufaisha vijana kwa kuvusha watu Kibirizi

Licha ya shuruba wanazokutana nazo wananchi wanaoishi katika maeneo yaliyoathirika mafuriko Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, baadhi ya vijana wametumia mafuriko hayo kuwa fursa kwa kujipatia kipato kupitia kuwabeba watu wanaovuka. Na Josephine Kiravu Baadhi ya vijana katika eneo la…

3 May 2025, 12:56 pm

Madereva wapewe elimu ya kununua mafuta

Picha ya Hassan Masanja mhandishi kitengo cha mafuta kanda ya magharibi. Picha na Anna Mhina. “Hairuhusiwi kubeba mafuta kwenye madumu” Na Rhoda Elias Baadhi ya madereva wa vyombo vya moto  wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi, hawana uelewa wa  kutosha…

3 May 2025, 11:59 am

Dhahabu feki yaondoka na uhai wa mtu Katavi

Picha ya waombolezaji. Picha na Samwel Mbugi “Tunaonewa sisi wanyonge” Na Beny Gadau Wananchi wa mtaa wa Ilembo manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameitaka serikali kuwachukulia hatua kali za kisheria wahusika wa kifo cha Ediga Mwaniwe mfanyabiashara na mchimbaji wa…

3 May 2025, 11:40 am

Maadhimisho ya zimamoto wananchi watoa neno

Picha ya afisa habari msaidizi wa jeshi la zimamoto na uokoaji Katavi. Picha na Anna Mhina. “Lengo la maadhimisho ni kuwakumbuka waliopoteza maisha wakiwa kazini” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba…