Habari za Jumla
12 May 2025, 12:36 pm
CCM yatilia mkazo ushiriki wa watu wenye ulemavu katika uchaguzi mkuu
Mary Julius. Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Mohamed Said Dimwa, ametoa wito kwa watu wenye ulemavu nchini kuacha kuwa watazamaji na badala yake kuwa wahusika wakuu katika mchakato wa uchaguzi mkuu wa dola mwaka 2025.Wito…
10 May 2025, 8:51 AM
UNESCO yaja na mradi wa kuwainua vijana Masasi
Mratibu wa mradi Bridge Tanzania kitaifa Bi Fatma Shabani Mrope. Picha na Google mradi huu utatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitano katika wilaya tatu ambazo ni Masasi, Geita na Kaskazini Unguja, pia unawapa nafasi hawa Vijana na haswa Wanawake ni…
9 May 2025, 12:54
Wakulima walia na bei ya pamba Kasulu
Serikali imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wakulima wa pamba ili waweze kulima pamba kwa wingi. Na Hagai Ruyagila Wakulima wa zao la pamba wilayani Kasulu, mkoani Kigoma, wameiomba serikali kuongeza bei ya ununuzi wa zao hilo ili wakulima waweze…
May 6, 2025, 2:00 pm
Wadudu waondoka na mwili wa marehemu msibani
Taharuki imetokea baada ya mwili wa marehemu kurudishwa mochwari mara mbili kabla ya kuzikwa. Na Michael Nanyaro Kundi la vijana wa bodaboda maarufu kama wadudu wilayani Arumeru jijini Arusha wamemrudisha mwenzao aliyefariki mochwari baada ya mwili kufikishwa nyumbani na familia,…
6 May 2025, 12:24
Mafuriko yanufaisha vijana kwa kuvusha watu Kibirizi
Licha ya shuruba wanazokutana nazo wananchi wanaoishi katika maeneo yaliyoathirika mafuriko Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, baadhi ya vijana wametumia mafuriko hayo kuwa fursa kwa kujipatia kipato kupitia kuwabeba watu wanaovuka. Na Josephine Kiravu Baadhi ya vijana katika eneo la…
May 5, 2025, 12:46 pm
Jeshi la zimamoto na uokoaji Mkoa wa Songwe latoa elimu
Sajenti Ahobokile Lugembe (kushoto) akitoa elimu kwa wananchi wa Vwawa. Picha na John Kiango Elimu ya wazi yatolewa kwa wananchi wa Wilaya ya Mbozi juu ya namna ya kujikinga na majanga ya moto yanapotokea. Na John Kiango Jeshi la zimamoto…
3 May 2025, 12:56 pm
Madereva wapewe elimu ya kununua mafuta
Picha ya Hassan Masanja mhandishi kitengo cha mafuta kanda ya magharibi. Picha na Anna Mhina. “Hairuhusiwi kubeba mafuta kwenye madumu” Na Rhoda Elias Baadhi ya madereva wa vyombo vya moto wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi, hawana uelewa wa kutosha…
3 May 2025, 11:59 am
Dhahabu feki yaondoka na uhai wa mtu Katavi
Picha ya waombolezaji. Picha na Samwel Mbugi “Tunaonewa sisi wanyonge” Na Beny Gadau Wananchi wa mtaa wa Ilembo manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameitaka serikali kuwachukulia hatua kali za kisheria wahusika wa kifo cha Ediga Mwaniwe mfanyabiashara na mchimbaji wa…
3 May 2025, 11:40 am
Maadhimisho ya zimamoto wananchi watoa neno
Picha ya afisa habari msaidizi wa jeshi la zimamoto na uokoaji Katavi. Picha na Anna Mhina. “Lengo la maadhimisho ni kuwakumbuka waliopoteza maisha wakiwa kazini” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba…
2 May 2025, 11:20 pm