Radio Tadio

Habari za Jumla

4 September 2024, 9:32 am

Wananchi Katavi wasisitizwa kuwa wazalendo

katika picha waliokaa upande wa kushoto ni mwenyekiti wa taasisi zisizo za kiserikali katavi ,anayefuatia ni katibu tawala mkoa wa katavi na kulia ni afisa maendeleo mkoa wa katavi.picha na Rachel Ezekia. “lengo kuu la kukuza uzalendo ni kulinda rasilimali…

1 September 2024, 9:11 pm

TAMISEMI yatoa maagizo kwa mkandarasi Geita

Kusuasua kwa mkandarasi anaetekeleza ujenzi wa mradi wa TACTIC wa barabara zenye urefu wa kilometa 17 TAMISEMI yatoa tamko. Na Evance Mlyakado – Geita. Licha ya serikali kutenga bajeti ya zaidi ya bilioni 22 kwaajili ya ujenzi wa barabara zenye…

1 September 2024, 8:45 pm

Akiba atelekeza mke na watoto watatu

Licha ya serikali kuendelea kupambana kukomesha vitendo vya ukatili katika jamii lakini vitendo hivi vinaonekana kuendelea kujitokeza katika maeneo mengi hasa ya vijijini Mkoani Geita Na Evance Mlyakado -Geita. Mwanaume mmoja mkazi wa Nyantorotoro A anadaiwa kutekeleza Familia ya Mama…

26 August 2024, 3:02 pm

Wadau Geita wapongeza mfumo mpya wa NECTA

Wanafunzi wa darasa la 7 kote nchini wanatarajia kuanza kufanya mtihani wa taifa wa kuhitimu elimu hiyo septemba 11 na 12 mwaka huu. Na: Ester Mabula – Geita Mkurugenzi wa shule ya awali na msingi Kadama Bi. Leticia Pastory amesema…

22 August 2024, 9:33 am

367 wahamia Msomera licha ya maandamano Ngorongoro

Kumekuwa na maandamano kwa wananchi wanaoishi tarafa ya Ngorongoro wakiitaka serikali kuwasikiliza na kutatua changamoto na kero zinazowakabili bila ya mafanikio, hata hivyo wengine wameendelea kukubali kuhama kwa hiari kulekea Msomera. Na mwandishi wetu. Mwitikio wa wananchi wanaoishi katika eneo…