Habari za Jumla
26 Novemba 2025, 12:24 um
MVIWATA-jitokezeni changamoto za ukatili wa kijinsia Manyara
Kuelekea siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, wakulima wadogo Mkoa wa Manyara wametakiwa kujitokeza katika Madawati ya kisheria ili kupeleka changamoto za ukatili wanazo kutananazo. Na Emmy Peter Hayo yamesemwa leo na Mhandisi Agrey Mahole ambae amemuwakilisha mkuu wa…
26 Novemba 2025, 10:51 mu
Wafanyabiashara walia na miundombinu ya soko la Mpanda hotel
“Mvua zinazoendelea kunyesha zinaleta madhara makububwa “ Na Samwel Mbugi Wafanyabiashara wa soko la Mpanda hotel wameiomba serikali kushughulikia changamoto ya mifereji ya kupitishia maji hususani kipindi hiki cha mvua zilizoanza kunyesha ili isije kuleta madhara ya magojwa ya mlipuko.…
26 Novemba 2025, 10:30 mu
RC Katavi “Toeni huduma bora na ufanisi kwa wananchi”
“Hakikisheni mnakuwa wabunifu katika kutoa huduma” Na Restuta Nyondo Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko ameziagiza taasisi zote za umma kutoa huduma bora na ufanisi kwa wananchi na kuhakikisha wanakua wabunifu katika utoaji wa huduma bila visingizio. Ameyasema…
Novemba 26, 2025, 12:40 mu
World Vision Tanzania yahimiza kutunza miradi ya maendeleo
Wadau wa maendeleo wa miradi ya World VisionTanzania katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wameombwa kuitunza miradi inayotekelezwa na shirika hilo ili ije kusaidia vizazi vijavyo. Na; Ramadhan Zaidy Shirika la maendeleo la World Vision Tanzania linalotekeleza miradi katika Halmashauri…
Novemba 25, 2025, 11:18 um
NGOs wafundwa kuhusu umuhimu wa kulipa kodi
NGOs katika Wilaya ya Kasulu wapongeza jitihada za Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA kwa kuwapa elimu na kuwakumbusha kanuni na sheria za kodi kupitia semina iliyoendeshwa katika wilaya hiyo. Na; Sharifat Shinji Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Mkoa wa Kigoma…
22 Novemba 2025, 10:47 mu
KAKUTE Project yawapatia majiko banifu na Sola Wananchi zaidi ya 500
Shirika lisilo la kiserikali la kakute Project kwa kushirikiana na shirika la maasai stove wamewafikia wananchi zaidi ya 500 kwa kuwapatia majiko banifu, sola na elimu ya mjasiriamali katika wilaya za Monduli na Babati Na Diana Dionis Afisa mradi wa…
20 Novemba 2025, 7:23 um
ZEC yasisitiza ushirikiano na uwazi ulivyoimarisha uchaguzi mkuu 2025
Mary Julius Kitipwi. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesisitiza kuwa ushirikiano mpana kati ya Tume na wadau wa uchaguzi umechangia kuendesha Uchaguzi Mkuu wa 2025 kwa uwazi, weledi na kwa kuzingatia misingi ya amani. Akifungua mkutano wa tathmini ya wadau…
Novemba 20, 2025, 3:02 um
Muziki wawaongezea utulivu Ng’ombe wakati wa kukamuliwa
Asajile amekuwa akiwasoma Ng’ombe wake tabia hii humsaidia kupata maziwa kwa wingi zaidi Na Anyisile Fredy MKAZI na mfugaji wa ng’ombe wa maziwa mjini Vwawa Mbozi Mkoani Songwe, Mikaya Asajile amesema amewagundua ng’ombe wake kwamba wanapenda muziki wakati wa kukamuliwa.…
20 Novemba 2025, 11:58 mu
Tanzania kunufaika na dola milioni 20 COP30
“Ofisi ya makamu wa raisi na waziri mkuu ziunganishe mfuko wa maafa” Na Restuta Nyondo Tanzania imepata nafasi ya kipekee ya kunufaika na ruzuku ya dola za Marekani milioni 20 (takriban Sh. bilioni 48), kutoka Mfuko wa kukabiliana na Hasara…
19 Novemba 2025, 5:41 um
SMZ yaongeza nguvu kukuza lugha ya alama Zanzibar
Na Mary Julius. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imesisitiza dhamira yake ya kuimarisha utoaji wa huduma jumuishi kwa watu wenye ulemavu, hususan katika kukuza na kusambaza matumizi ya lugha ya alama kwenye sekta mbalimbali. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Wakalimani…