Radio Tadio

Habari za Jumla

November 25, 2025, 11:18 pm

NGOs wafundwa kuhusu umuhimu wa kulipa kodi

NGOs katika Wilaya ya Kasulu wapongeza jitihada za Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA kwa kuwapa elimu na kuwakumbusha kanuni na sheria za kodi kupitia semina iliyoendeshwa katika wilaya hiyo. Na; Sharifat Shinji Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Mkoa wa Kigoma…

November 20, 2025, 3:02 pm

Muziki wawaongezea utulivu Ng’ombe wakati wa kukamuliwa

Asajile amekuwa akiwasoma Ng’ombe wake tabia hii humsaidia kupata maziwa kwa wingi zaidi Na Anyisile Fredy MKAZI na mfugaji wa ng’ombe  wa maziwa mjini Vwawa Mbozi Mkoani Songwe, Mikaya Asajile amesema  amewagundua  ng’ombe wake kwamba wanapenda muziki wakati wa kukamuliwa.…

20 November 2025, 11:58 am

Tanzania kunufaika na dola milioni 20 COP30

“Ofisi ya makamu wa raisi na waziri mkuu ziunganishe mfuko wa maafa” Na Restuta Nyondo Tanzania imepata nafasi ya kipekee ya kunufaika na ruzuku ya dola za Marekani milioni 20 (takriban Sh. bilioni 48), kutoka Mfuko wa kukabiliana na Hasara…

19 November 2025, 5:41 pm

SMZ yaongeza nguvu kukuza lugha ya alama Zanzibar

Na Mary Julius. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imesisitiza dhamira yake ya kuimarisha utoaji wa huduma jumuishi kwa watu wenye ulemavu, hususan katika kukuza na kusambaza matumizi ya lugha ya alama kwenye sekta mbalimbali. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Wakalimani…

19 November 2025, 11:00 am

DC Maswa ataka uzalendo kwa watumishi wa umma

“Kwa nini kila kukicha tunaimba uzalendo uzalendo kwa watumishi wa umma nini kimekosekana mpaka tunaanza kukumbushana kwani wao hawajui maana ya neno la uzalendo au wao wanalijuwa kulisoma tu lakini kwenye vitendo ni hakuna ukiona hivyo juwa kuna kitu hakipo…

18 November 2025, 12:25 pm

DC Anney watumishi wa halmashauri tunzeni jengo

“Uzuri wa jengo kipya la makao makuu ya halmashauri ya wilaya ya Maswa ukatoe utendaji mzuri kwa watumishi wa umma katika kuwahudumia wananchi ili kutoa tafsiri sahihi ya uzuri wa jengo na kuleta tabasamu kwa wakazi wa wilaya”. Na,Daniel Manyanga …

17 November 2025, 08:56

Ujenzi wa masoko 14 pembezoni mwa barabara wafikia 75% Kigoma

Mkoa wa Kigoma umeanza rasmi utekelezaji wa ujenzi wa masoko pembezoni mwa barabara umeanza ili kuhakikisha wajasiriamali wanapata sehemu ya kuuzia. Na Mwandishi wetu Serikali mkoani hapa  inatekeleza mradi wa ujenzi wa masoko madogo 14 yenye Thamani ya Shilingi Mil.490…

16 November 2025, 15:37 pm

Wafanyabiashara Mtwara walia na ongezeko la tozo

Wafanyabiashara wa Mtwara wamelalamikia ongezeko la tozo na ushuru linalodaiwa kupandisha bei za bidhaa, huku wakitaka serikali kupitia upya kanuni hizo. Manispaa imesisitiza kuwa tozo zinatekelezwa kwa mujibu wa sheria na iko tayari kushughulikia malalamiko kupitia majadiliano Na Musa Mtepa…