Radio Tadio

Habari za Jumla

23 Febuari 2021, 4:55 MU

Kufuatia maadhimisho ya siku ya kuanzishwa kwa skauti Duniani

Kufuatia maadhimisho ya siku ya kuanzishwa kwa skauti Duniani, Wazazi na walezi wilayani Liwale Mkoani Lindi wameombwa kuwahamasisha watoto wao kujiunga na Chama Cha skauti kwani itasaidia kwa watoto hao kuwa wazalendo, wakakamavu, wabunifu na wanaoweza kujitegemea pindi wanapokumbana na…

23 Febuari 2021, 4:53 MU

Chama cha ACT WAZALENDO kimemteua Dorothy Semu

Chama cha ACT WAZALENDO kimemteua Dorothy Semu ambae ni makamu mwenyekiti bara kuwa kaimu mwenyekiti wa chama hicho Taifa baada ya mwenyekiti wa chama hicho Maalim Seif kufariki Dunia Februari 17 mwaka huu. Dorothy atakaimu nafasi hiyo mpaka mwenyekiti mpya…

23 Febuari 2021, 4:49 MU

NAHODHA wa Al Ahly, Aiman Ashraf atowa angalizo

NAHODHA wa Al Ahly, Aiman Ashraf amesema kuwa wamekuja Dar kwa ajili ya kupata ushindi mbele ya wapinzani wao Simba.Kesho, Februari 23 Al Ahly itakaribishwa na Simba, saa 10:00 kucheza mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa ni hatua ya…

19 Febuari 2021, 2:58 um

RALEIGH:Vijana tumieni mitandao kuhamasisha utunzaji wa mazingira

Na, Benard Filbert, Dodoma. Vijana wameshauriwa kutumia teknolojia ya uwepo wa mitandao ya kijamii katika kuhamasisha utunzaji wa mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Akizungumza na taswira ya habari afisa mazingira kutoka jumuiya ya vijana RALEIGH ambayo inajihusisha…

19 Febuari 2021, 10:17 MU

PRINCE Dube,Azam FC, ATUPIA TENA

PRINCE Dube, mshambuliaji namba moja ndani ya kikosi cha Azam FC, usiku wa kuamkia leo amepachika bao lake la 7 ndani ya ardhi ya Bongo akiwa ni kinara wa utupiaji ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na George Lwandamina.  Alifunga bao…

19 Febuari 2021, 10:14 MU

Waarabu wapigiwa hesabu kali na Simba kwa Mkapa

 SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba, amesema kuwa wapinzani wao wote ndani ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa pamoja na Al Ahly wameandaliwa dozi zao pale watakapokutana ndani ya uwanja. Simba ikiwa Kundi A kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika baada…