Habari za Jumla
21 Machi 2021, 11:39 mu
Tubadirike Magufuli kurudi Kilosa hatopita barabara wala Reli ya mwendokasi .
Waumini wa Romani katoliki parokia ya familia takatifu Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wametakiwa kubadirika ndani ya mioyo yao na kumrudia Mungu hasa kipindi hiki cha kwaresma kwa kufunga Kulia na kuomboleza kwakuwa hakuna anaejua siku wala saa ya kifo chake…
21 Machi 2021, 10:30 mu
Marais wa nchi 10 kumuaga Magufuli Dodoma
Na ; Mariam Kasawa. Marais zaidi ya 10 wa Mataifa mbalimbali Duniani wamethibitisha kuhudhuria shughuli ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Tanzania,Dkt. John Pombe Magufuli itakayofanyika kesho mjini Dodoma. Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abasi amesema hadi sasa ana orodha…
21 Machi 2021, 9:51 mu
viongozi wa Jeshi wakagua mandalizi ya kumuaga Rais Hayati Magufuli Dodoma
Na; Mariam kasawa Viongozi wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wamekagua ujenzi wa banda ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuupokea na kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kwenye Uwanja wa Jamhuri…
20 Machi 2021, 4:05 um
Waadvendista wasabato wafanya matendo ya huruma -Kilosa.
Waumini wa Kanisa la Waadvendista wasabato Kilosa lililoko Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wameadhimisha wiki ya huduma kwa jamii kwa kufanya matendo ya huruma kama vile kuchangia damu , kutoa mahitaji kwa watu wenye mahitaji maalumu , ikiwa ni pamoja na…
20 Machi 2021, 3:13 um
Ratiba ya kumuaga Hayati Dr, John Pombe Magufuli Mkoani Dodoma
Na; Rabiamen Shoo. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh, Binilith Mahenge amesema Mkoa wa Dodoma umepewa heshima ya kumuaga Hayati Dr. John Pombe Magufuli kutokana na mengi aliyo yafanya katika mkoa huu ikiwemo kuhamishia makao makuu mjini hapa. Akizungumza na…
20 Machi 2021, 11:41 mu
Chuo kikuu Dodoma (UDOM) waikumbuka misingi iliyo jengwa na Rais Magufuli
Na, Mariam Kasawa. Wanafunzi wa chuo kikuu Dodoma ( UDOM) wamesema wanatarajia misingi imara katika Elimu iliyo wekwa na Hayati rais Dkt John Pombe Magufuli itaendelea kuimarika. Wakizungumza na Dodoma fm wanafunzi hao wamesema wamepokea msiba huu kwa majonzi makubwa…
20 Machi 2021, 10:11 mu
Simanzi na Vilio vyatanda jijini Dar es salaam
Na, Mariam Kasawa. Maelfu ya wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiongozwa na viongozi mbalimbali wa Serikali ya Awamu ya Tano pamoja na viongozi wastaafu wa Serikali zilizopita wamefika Uwanja wa Uhuru kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Rais…
20 Machi 2021, 8:48 mu
Ratiba ya kumuaga Hayati, Rais Dkt. John Pombe Magufuli
Na, Mariam Kasawa. Ratiba ya kumuaga hayati Mh, Dkt John Pombe Magufuli yabadilika , Zanzibar nayo itapata nafasi ya kumuaga Kwa mujibu wa mabadiliko ya ratiba Hayati Dkt John Magufuli atazikwa tarehe 26 na si 25 iliyo kuwa imetangazwa hapo…
20 Machi 2021, 6:23 MU
Madhara yatokanayo na mimba za utotoni-Radio Fadhila
Tatizo la mimba za utotoni limekuwa kubwa duniani na linaongezeka siku hadi siku hasa katika jamii ya uchumi wa chini. Sababu zinazopelekea jamii ya uchumi wa chini kukumbwa sana na tatizo hilo ni ukosefu wa taarifa za afya ya uzazi…
19 Machi 2021, 1:04 um
Masumbwi wanawake kuahirisha mpambano.
Na, Mariam Kasawa. Pambano la masumbwi kwa Wanawake Queen of the Ring (‘Malkia wa Ulingoni) limeahirishwa kupisha kipindi cha Maombolezo. Mratibu wa Habari wa wakala wa Michezo Nchini wa Peaktime Joyce Mbogo amesema wamepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo…