Radio Tadio

Habari za Jumla

21 Machi 2021, 10:30 mu

Marais wa nchi 10 kumuaga Magufuli Dodoma

Na ; Mariam Kasawa. Marais  zaidi ya 10 wa Mataifa mbalimbali Duniani wamethibitisha kuhudhuria shughuli ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Tanzania,Dkt. John Pombe Magufuli itakayofanyika kesho mjini Dodoma. Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abasi amesema hadi sasa ana orodha…

20 Machi 2021, 10:11 mu

Simanzi na Vilio vyatanda jijini Dar es salaam

Na, Mariam Kasawa. Maelfu ya wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiongozwa na viongozi mbalimbali wa Serikali ya Awamu ya Tano pamoja na viongozi wastaafu wa Serikali zilizopita wamefika Uwanja wa Uhuru kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Rais…

19 Machi 2021, 1:04 um

Masumbwi wanawake kuahirisha mpambano.

Na, Mariam Kasawa. Pambano la  masumbwi kwa Wanawake Queen of the Ring (‘Malkia wa Ulingoni) limeahirishwa kupisha kipindi cha Maombolezo. Mratibu wa Habari wa wakala wa Michezo Nchini wa  Peaktime Joyce Mbogo amesema  wamepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo…