Habari za Jumla
March 24, 2021, 10:31 am
MASHARTI YA MILA ZA JADI CHANZO CHA MAGONJWA YA MILIPUKO MIGODINI
IMEELEZWA kwamba mila na desturi za jadi, zinazoabudiwa na baadhi ya wachimbaji wadogo,zimekuwa ni miongoni mwa vyanzo vinavyochangia kuibuka kwa magonjwa ya milipuko kipindi cha masika katika maeneo ya migodi. Hayo yalielezwa na Katibu wa Idara ya Afya na Mazingira,…
24 March 2021, 9:09 am
Rais Magufuli ameacha alama njema kwa Taifa la Tanzania
Na ;Mariam Kasawa. Waziri wa Nchi ofisi ya waziri mkuu, Sera,Bunge,ajira ,vijana na wenye ulemavu Bi. Jenista Mhagama amesema kamati iliyo pewa kazi ya kufanya maandalizi yote ya mazishi imekamilisha maandalizi hayo na bado inaendelea kusimamia mambo mbalimbali. Bi. Mhagama ameyasema hayo…
24 March 2021, 6:21 am
Mwili Wa Hayati Dkt. John Magufuli wawasili Jijini Mwanza
Na; Mariam Kasawa. Wakazi wa jiji la Mwanza na maeneo ya jirani tayari wamewasili katika uwanja wa CCM Kirumba kwa ajili ya kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyefariki Dunia…
23 March 2021, 18:05 pm
Naliendele Mtwara wamlilia Hayati Magufuli
Wananchi wa kata ya Naliendele Manispaa ya Mtwara Mikindani wametoa salamu za pole kwa Watanzani kufuatia kifo cha Rais Dkt.John Pombe Magufuli kilichotangazwa usiku wa kuamkia leo Machi 18,2021. Wakizungumza kwa masikitiko makubwa wameeleza namna ambavyo watamkumbuka Rais Dkt.Magufuli kwa…
23 March 2021, 11:36 am
Bendera za UN kupepea nusu mlingoti
Na; Mariam Kasawa. Umoja wa Mataifa (UN) umesema Bendera ya Umoja huo itapepea nusu mlingoti katika Ofisi za Makao Makuu jijini New York Nchini Marekani. Bendera hiyo itapepea Machi 26, 2021 ili kumuenzi Rais John Magufuli ambaye atazikwa siku hiyo…
23 March 2021, 10:24 am
Udugu na Umoja wadhihirika Zanzibar leo
Na; Mariam Kasawa Mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania hayati Dkt.John Magufuli utalala Ikulu Zanzibar leo Jumanne Machi 23, 2021 na kesho asubuhi utapelekwa Mkoani Mwanza. Hayo yameelezwa leo na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipokuwa kwenye uwanja wa Amaan Zanzibar…
23 March 2021, 9:22 AM
MKUU Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara., Selemani Mzee asaini kitabu cha maombolezo
MKUU Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara., Selemani Mzee akisaini kitabu cha Kumbumbuku ya maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais Dkt. John Magufuli kilichotokea Machi, 17 mwaka huu, kitabu hicho cha maombelezo hayo kimefunguliwa kkatika ofisi ya mkuu ya wilaya ya…
23 March 2021, 9:12 AM
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi-CCM Wilaya ya Masasi wamlilia Rais Dkt. John Po…
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi-CCM Wilaya ya Masasi wamlilia Rais Dkt. John Pombe Magufuli na kueleza kuwa taifa limepoteza kiongozi shujaa na mpenda maendeleo na kwamba alikuwa ni mtetezi wa wananchi wanyonge hivyo wataendelea kumkumbuka milele. Wanachama hao leo Mach,…
23 March 2021, 6:34 am
Magufuli Alijenga Heshima ya Tanzania
Na; Mariam Kasawa. Imeelezwa kuwa, kufuatia Marekebisho yaliyofanywa katika Sheria ya Madini ambayo ni Matunda ya jitihada za aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli yameifanya Tanzania iheshimike kimataifa. Hayo yamebainishwa…
23 March 2021, 6:23 am
Buriani Magufuli Dodoma haitakuona tena
Na; Mariam Kasawa. Hatimaye zoezi la kuuaga mwili wa hayati Dkt. John Pombe Magufuli limekamilika Jijini Dodoma na sasa ni zamu ya Zanzibar. Leo Machi 23 2021 wananchi wa Zanzibar watapata nafasi ya kutoa heshima zao za mwisho kwa rais…