Radio Tadio

Habari za Jumla

29 March 2021, 6:00 am

Ripoti ya CAG yabaini madudu hati 98

Na; Mariam Kasawa. Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kicheere imeendelea kubaini dosari ya matumizi ya fedha yanayofanywa na Taasisi na Mashirika ya umma pamoja na vyama vya siasa. CAG amesema kati ya hati…

29 March 2021, 5:55 am

CAG, TAKUKURU Zaagizwa kufanya uchunguzi BOT

Na; Mariam Kasawa. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kushirikiana kwa pamoja kuchunguza fedha zilizotoka Benki kuu ya Tanzania kwa kipindi cha Januari…

28 March 2021, 12:53 pm

Rais Mh.Samia Suluh Hassan aanza na mkurugenzi TPA

Akitoa Ripoti hiyo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kicheere  amesema CAG imeendelea kubaini dosari ya matumizi za fedha yanayofanywa na taasisi na mashirika ya umma pamoja na vyama vya siasa. CAG amesema kati ya hati…

26 March 2021, 11:52 am

Magufuli atakumbukwa kwa utendaji wake

Na; Mariam Kasawa. Hayati Dkt.John Pombe Magufuli atakumbukwa kwa  utendaji kazi wake kwani alikuwa hodari tangu akiwa Waziri hadi  alipoteuliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hayo yamesemwa na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete…

26 March 2021, 11:23 am

Vyombo vya ulinzi na usalama vitamtii Rais Samia

Na; Mariam Kasawa Mkuu wa Majeshi  nchini Tanzania (CDF) Venance Mabeyo amemuhakikishia Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mama Samia Suluhu Hassan kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vitamtii na kutekeleza majukumu yake kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri…

26 March 2021, 10:29 am

Wakazi wa Chamwino waahidi kuziishi ndoto za Rais Magufuli

Na Selemani Kodima Mkuu wa wilaya ya Chamwino Vumilia Nyamoga amesema wataendelea kumkumbuka Hayati Magufuli kwa Juhudi zake ambazo alizionesha kwa wakazi wa Chamwino katika Huduma za Msingi ikiwemo Huduma ya Maji na umeme. Bi Nyamoga amesema Hayati Magufuli alionyesha…

26 March 2021, 9:49 am

Ihumwa waomba kuboreshewa soko

Na; Shani Nicolaus.           Wafanyabiashara  katika Mtaa wa Ihumwa jijini Dododma wametoa wito wa kukarabatiwa soko lao ili waepukane na changamoto wanayokumbana nayo hasa msimu wa mvua. Wakizungumza na Dodoma fm wafanyabiashara hao wameomba kutatuliwa adha hiyo mara baada ya kukamilika…