Habari za Jumla
29 March 2021, 6:00 am
Ripoti ya CAG yabaini madudu hati 98
Na; Mariam Kasawa. Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kicheere imeendelea kubaini dosari ya matumizi ya fedha yanayofanywa na Taasisi na Mashirika ya umma pamoja na vyama vya siasa. CAG amesema kati ya hati…
29 March 2021, 5:55 am
CAG, TAKUKURU Zaagizwa kufanya uchunguzi BOT
Na; Mariam Kasawa. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kushirikiana kwa pamoja kuchunguza fedha zilizotoka Benki kuu ya Tanzania kwa kipindi cha Januari…
28 March 2021, 12:53 pm
Rais Mh.Samia Suluh Hassan aanza na mkurugenzi TPA
Akitoa Ripoti hiyo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kicheere amesema CAG imeendelea kubaini dosari ya matumizi za fedha yanayofanywa na taasisi na mashirika ya umma pamoja na vyama vya siasa. CAG amesema kati ya hati…
March 28, 2021, 11:26 am
Nec yatangaza uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe Kigoma.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza Ratiba ya uchaguzi mdogo wa Ubunge wa Jimbo la Muhambwe, mkoani Kigoma baada ya kupokea Barua kutoka kwa Spika wa Bunge kuwa kiti hicho kiko wazi. Taarifa iliyotolewa kwa Vyombo vya habari Jijini Dodoma…
27 March 2021, 3:26 pm
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awaondoa hofu wananchi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa baada ya mazishi ya Dkt. John Magufuli , kinachofuata ni utekelezaji wa ahadi zote ambazo yeye na chama chake (Chama cha Mapinduzi) waliahidi wakati wa kampeni za…
27 March 2021, 4:34 am
“Magufuli ameacha haya wewe na mimi tutaacha nini?”-Padri Nyanga.
Waamini wa Kanisa Romani Katoliki Parokia ya Familia takatifu Kilosa Mkoani Morogoro wamefanya ibada ya misa takatifu kwa ajili ya kumuombea hayati Dakta John Pombe Magufuli katika safari yake ya mwisho ambapo machi 26 2021 mazishi yamefanyika Nyumbani kwao Chato…
26 March 2021, 11:52 am
Magufuli atakumbukwa kwa utendaji wake
Na; Mariam Kasawa. Hayati Dkt.John Pombe Magufuli atakumbukwa kwa utendaji kazi wake kwani alikuwa hodari tangu akiwa Waziri hadi alipoteuliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hayo yamesemwa na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete…
26 March 2021, 11:23 am
Vyombo vya ulinzi na usalama vitamtii Rais Samia
Na; Mariam Kasawa Mkuu wa Majeshi nchini Tanzania (CDF) Venance Mabeyo amemuhakikishia Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mama Samia Suluhu Hassan kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vitamtii na kutekeleza majukumu yake kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri…
26 March 2021, 10:29 am
Wakazi wa Chamwino waahidi kuziishi ndoto za Rais Magufuli
Na Selemani Kodima Mkuu wa wilaya ya Chamwino Vumilia Nyamoga amesema wataendelea kumkumbuka Hayati Magufuli kwa Juhudi zake ambazo alizionesha kwa wakazi wa Chamwino katika Huduma za Msingi ikiwemo Huduma ya Maji na umeme. Bi Nyamoga amesema Hayati Magufuli alionyesha…
26 March 2021, 9:49 am
Ihumwa waomba kuboreshewa soko
Na; Shani Nicolaus. Wafanyabiashara katika Mtaa wa Ihumwa jijini Dododma wametoa wito wa kukarabatiwa soko lao ili waepukane na changamoto wanayokumbana nayo hasa msimu wa mvua. Wakizungumza na Dodoma fm wafanyabiashara hao wameomba kutatuliwa adha hiyo mara baada ya kukamilika…