Radio Tadio

Habari za Jumla

20 April 2021, 4:06 pm

Mbunge Tabasamu azungumuzia kutumbuliwa DED Sengerema

Taarifa iliyotolewa leo Aprili 20, 2021, Waziri Ummy Mwalimu amemusimamisha kazi Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya ya Sengerema,  Magesa Boniphace kupisha uchunguzi  baada ya kupokea malalamiko na tuhuma za ubadhirifu wa fedha za miradi ya maendeleo katika halmashauri hiyo kutoka…

20 April 2021, 15:59 pm

Waandishi someni sheria

Na Karim Faida Waandishi wa habari Tanzania wameaswa kuzisoma na kuzielewa Sheria mbalimbali zinazohusiana na tasnia yao hasa sheria ya haki ya kupata taarifa iliyopitishwa na bunge Septemba 7 2016 na kuidhinishwa na aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa…

20 April 2021, 12:26 pm

Charles; Marufuku watoto kufanya biashara kwenye masoko Mara

Mwenyekiti wa wajasiliamali mkoa wa Mara ndugu Charles Waitara amewataka wajasiliamali  wote mkoa wa Mara kutojihusisha na kuwaajiri watoto katika maeneo ya biashara Kauli hiyo ameitoa April 19 2021  katika mkutano wa hadhara na wajasiliamali eneo la balili kona,  lakini…

April 20, 2021, 12:18 pm

Miundo mbinu ya barabara yawa changamoto kwa wananchi

Wananchi wa Mtaa wa Malunga Kata ya Malunga  iliyopo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wanakabiliwa na changamoto ya miundombinu ya barabara katika maeneo yao. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na HUHESO FM wananchi wa Mtaa huo wamesema changamoto ya miundombinu ya…

20 April 2021, 11:31 am

Kiboko; Wanaotumia TASAF kulewa kukiona

Diwani wa kata ya Nyasura Magigi Samwel Kiboko amewataka wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya masikini yaani TASAF kutumia fedha hizo kwa malengo yaliyokusudiwa. akizungumza na Mazingira kwenye ofisi ya mtendaji kata ya Nyasura Kiboko amesema kwa upande wa wale…

20 April 2021, 10:40 am

Meneja TRA Kilosa atoa siri ukusanyaji kodi .

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro imefanikiwa kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 3.6 kutoka kwa wafanyabiashara waliolipa kodi kwa wakati kwa mwaka wa fedha 2020/2021 ambako kumechangia kuongeza mapato katika Wilaya na kuiwezesha serikali kutimiza malengo ya…

20 April 2021, 10:28 am

Zaidi ya Ng’ombe laki tatu kuchanjwa wilayani Maswa

Zaidi  ya   Ng’ombe  laki   tatu  wilayani  Maswa  mkoani  Simiyu   zinatarajiwa  kuchanjwa   ili  kudhibiti  Magonjwa  ya   Mifugo  ikiwemo  Ugonjwa  wa  Mapele  ya   ngozi  ili   kuboresha  bidhaa ya  ngozi  na  Ushindani  wa  Soko.. Akitoa  taarifa  kwa  Mkuu  wa  wilaya  ya  Maswa   Mh…

20 April 2021, 5:05 AM

MAAFISA ugani( kilimo) wapatiwa Pikipiki

MAAFISA ugani( kilimo) wa Chama kikuu cha Ushirika wa wakulima Mtwara-Masasi ( MAMCU) wapatiwa Pikipiki kama vitendea kazi ili ziweze kuwarahisishia kutekeleza majumu yao katika kuvitembelea na kuvihudumia vyama vya msingi ili kutoa elimu ya kilimo kwa wakulima na kuongeza…