Habari za Jumla
Aprili 21, 2021, 5:08 um
Mchinjaji wa Nguruwe akamatwa na TAKUKURU Manispaa ya Kahama
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) wilayani Kahama imebaini uchinjaji wa mifugo kiholela ikiwemo iliyokufa hali ambayo inahatarisha afya za watumiaji wa nyama ambazo zinauzwa bila kufanyiwa uchunguzi na maafisa mifugo. Mkuu wa TAKUKURU, Abdallah Urari amesema walipokea…
Aprili 21, 2021, 5:02 um
TAKUKURU yasimamisha ujenzi jengo la X-RAY halmashauri ya Msalala
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) wilayani Kahama mkoani Shinyanga imezuia kuendelea ujenzi wa jengo la X-RAY kituo cha Afya Bugarama katika halmashauri ya Msalala kutokana na matofali yanayotumika kuwa chini ya kiwango. Mkuu wa TAKUKURU wilayani Kahama,…
21 Aprili 2021, 1:08 UM
Yusuphu Namnila Ameipongeza Serikali ya Tanzania kwa kutenga bajeti ya pembejeo…
Mwenyekiti wa chama Cha Ccm Mkoa wa mtwara Yusuphu Namnila ,Ameipongeza Serikali ya Tanzania kwa kutenga bajeti ya pembejeo kwa ajili ya Wakulima wa zao la korosho,Nakuwaomba Wakulima kupokea kwa kile kilichoratibiwa na kukifanyia kazi ,Na kujiuliza kwanini uzalishaji wa…
21 Aprili 2021, 12:24 UM
MAMCU wafanya mkutano mkuu wa 21 wa mwaka
WAKULIMA wa Chama kikuu Cha Ushirika wa wakulima Masasi-Mtwara( MAMCU) hii leo April 21 – 2021 wanafanya mkutano mkuu wa 21 wa mwaka wenye lengo la kuchagua viongozi wa bodi wa Chama hicho ikiwemo kusoma mapato na matumizi. Mkutano huo…
21 Aprili 2021, 11:57 MU
Nanyumbu imezindua rasmi mpango wa utekelezaji wa kunusuru kaya masikini
HALMASHAURI ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara imezindua rasmi mpango wa utekelezaji wa kunusuru kaya masikini kupitia mfuko wa maendeleoya jamii (TASAF III) kipindi cha pili, awamu ya tatu.Mpango huo ulizinduliwa jana wilayani Nanyumbu katika kikao kazi cha kujenga uwelewa…
21 Aprili 2021, 10:29 mu
DED Mwingine kupisha uchunguzi huko Buhigwe,Kigoma.
Waziri wa Tamisemi, Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma, Anosta Nyamoga kupisha uchunguzi. Taarifa iliyotolewa leo Jumatano Aprili 21, 2021 na kitengo cha mawasiliano serikalini imeeleza kuwa Ummy amechukua hatua hiyo baada…
21 Aprili 2021, 10:15 mu
Kata ya malolo yapongezwa kwa ujenzi wa kituo Cha Afya .
Wananchi wa kata ya Malolo pamoja na uongozi wake wamepongezwa kwa namna ambavyo wameonyesha umoja na ushirikiano katika kujiletea maendeleo katika kata yao kwa ushirikiano mkubwa waliouonyesha katika kufanikisha ujenzi wa kituo cha afya Malol. Pongezi hizo zimetolewa Aprili 20…
20 Aprili 2021, 4:06 um
Mbunge Tabasamu azungumuzia kutumbuliwa DED Sengerema
Taarifa iliyotolewa leo Aprili 20, 2021, Waziri Ummy Mwalimu amemusimamisha kazi Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya ya Sengerema, Magesa Boniphace kupisha uchunguzi baada ya kupokea malalamiko na tuhuma za ubadhirifu wa fedha za miradi ya maendeleo katika halmashauri hiyo kutoka…
20 Aprili 2021, 15:59 um
Waandishi someni sheria
Na Karim Faida Waandishi wa habari Tanzania wameaswa kuzisoma na kuzielewa Sheria mbalimbali zinazohusiana na tasnia yao hasa sheria ya haki ya kupata taarifa iliyopitishwa na bunge Septemba 7 2016 na kuidhinishwa na aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa…
20 Aprili 2021, 12:26 um
Charles; Marufuku watoto kufanya biashara kwenye masoko Mara
Mwenyekiti wa wajasiliamali mkoa wa Mara ndugu Charles Waitara amewataka wajasiliamali wote mkoa wa Mara kutojihusisha na kuwaajiri watoto katika maeneo ya biashara Kauli hiyo ameitoa April 19 2021 katika mkutano wa hadhara na wajasiliamali eneo la balili kona, lakini…