Habari za Jumla
6 Mei 2021, 1:56 um
Jamii imetakiwa kuwasaidia watu wenye mahitaji maalum.
Na; Benard Filbert. Jamii inaaswa kutoa msaada kwa watu wenye mahitaji maalumu ikiwepo watoto wanaoishi katika mazingira magumu hali itakayosaidia kukidhi mahitaji yao ya msingi. Wito huo umetolewa na mratibu wa shirika la Charity Vision Tanzania Mariam Mbijima mara baada…
5 Mei 2021, 20:49 um
Matukio ya mauaji yanaichafua Mtwara
Na karim Faida Diwani wa kata ya Mkunwa halmashauri ya wilaya ya Mtwara mkoani Mtwara amesema katika kata yake imekuwa na Matukio ya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na mauaji ya watu watatu tofauti kwa matukio tofauti katika kipindi…
5 Mei 2021, 10:13 mu
Waziri Ummy awataka Viongozi wa Mikoa na Wilaya kuendelea kuchapa kazi
Na; Nteghenjwa Hosseah Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za mitaa Mhe.Ummy Mwalimu amewataka Wakuu wa Mikoa, Makatibu Tawala Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri kuendelea kuchapa kazi kama awali na sio kukaa…
5 Mei 2021, 04:41 mu
Mbae: Barabara ni changamoto
Na karim Faida Wananchi wa mtaa wa Mbae Chundi, Kata ya Ufukoni manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara wameiomba serikali kuwatengenezea barabara inayotoka Pacha ya Mbae hadi Mtaa wa Mbawala chini kwa kiwango cha changalawe. Wakiongea na Jamii fm radio…
Mei 4, 2021, 3:42 um
Wasio na taaluma ya Habari watajwa kuharibu tasnia hiyo Kahama.
Mkuu wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Anamringi Macha amewataka waandishi wa habari kuhakikisha wanawaondoa waandishi wa habari wasiokuwa na taaluma hiyo ambao wamekuwa wakiharibu tasnia hiyo kwa kuandika habari za uongo. Mkuu huyo wa wilaya ametoa kauli hiyo wakati…
4 Mei 2021, 9:44 mu
Uongozi wa secondary ya Hombolo bwawani wakanusha taarifa ya kuadhibu wanafunzi…
Na; Benard Filbert Uongozi wa shule ya secondary Hombolo bwawani jijini Dodoma umekanusha taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wanafunzi wa kidato cha tano kuadhibiwa hadi kufikia hatua za kulazwa hospitali kutokana na uharibifu wa mali za shule. Akizungumza…
3 Mei 2021, 1:37 um
Elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia imesaidia kuondoa ukimya kwa jamii
Na; Mindi Joseph Imeelezwa kuwa elimu ya kuzuia vitendo vya ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto imechangia wengi kuripoti hususani watoto wa kike katika maeneo mbalimbali hapa nchini. Taswira ya Habari imezungumza Askari polisi wa Dawati la jinsia…
3 Mei 2021, 7:05 mu
90,025 kuanza mitihani kidato cha sita
Na; James Justine KATIBU Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dk. Charles Msonde amesema, takribani wanafunzi 90,025 wameanza kufanya mtihani wa Kidato cha Sita kuanzia leo Jumatatu tarehe 3 hadi 25 Mei 2021. Dk. Msonde ametoa taarifa hiyo…
30 Aprili 2021, 1:22 um
RAIS SAMIA SULUHU ASHINDA KWA KISHINDO UENYEKITI CCM
Na; Alfred Bulaya. Mkutano mkuu maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao umefanyika jijini Dodoma hii leo, umemchagua Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuwa Mwenyekiti mpya wa CCM Taifa. Rais Samia Suluhu Hassan ameteuliwa na…
Aprili 30, 2021, 11:13 mu
Wakulima wa mazao ya nafaka manispaa ya Kahama watakiwa kuvuna mazao yaliokomaa
Wakulima wa mazao ya nafaka katika halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuvuna mazao yao yakiwa yamekomaa na kukauka ipasavyo. Kauli hiyo imetolewa na Afisa Kilimo wa Manispaa ya Kahama Samson Sumuni ambaye amesema wakulima wanatakiwa kuhakikisha mazao…