Habari za Jumla
28 Mei 2021, 11:30 mu
Jumla ya Vijiji 45 vya Wilaya ya Maswa kunufaika na TASAF awamu…
Jumla ya vijiji Arobaini na tano vilivyopo Wilayani Maswa Mkoani Simiyu vinatarajiwa kunufaika na Mfuko wa maendeleo ya Jamii i – TASAF kwa awamu ya tatu kipindi cha Pili. Hayo yameelezwa na Mratibu wa TASAF wilaya ya Maswa Bi, Grace …
Mei 27, 2021, 8:05 um
Elimu ya hedhi salama kwa wasichana yazidi kutolewa wazazi waungana
Katika kuelekea siku ya hedhi salama duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka mwezi Mei 28 baadhi ya wazazi na walezi wilayani Kahama Mkoani Shinyanga wameeleza namna wanavyotoa elimu juu ya makuzi kwa watoto wao wa kike. Wakizungumza na Huheso fm mapema…
26 Mei 2021, 8:41 um
Kaya masikini elf6 kunufaika na Tasaf nchini.
Jumla ya kaya masikini elfu sita nchini zinatalajia kunufaika na mradi wa kunusuru kaya masikini TASAF awamu ya pili huku walengwa millioni moja laki nne na elfu hamsini watanufaika na mradi huo.Hayo yamebainishwa na Bwn Swaleh Mwidad mwakilishi wa mkurungezi…
Mei 25, 2021, 7:25 um
Watakaofichua taarifa za ukatili wa kijinsia kulindwa
Imeelezwa vitendo vya rushwa katika jamii imekuwa miongoni mwa sababu inayochangia vitendo vya ukatili wa kijinsia kuendelea kutokea katika jamii na kupelekea waathirika wa matukio hayo kukosa haki. Mratibu Taifa wa mtandao wa Utetezi wa haki za Binadam- THRDC Onesmo…
24 Mei 2021, 11:59 mu
Dkt Tinuga; Serikali inatambua mchango mkubwa wa wauguzi
Maadhimisho ya siku ya wauguzi Duniani kwa mkoa wa Mara imefanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda ambapo mgeni Rasmi alikuwa mganga mkuu wa mkoa wa Mara DKT FROLIAN TINUGA kwa niaba ya katibu tawala wa mkoa Katika kujibu risala…
24 Mei 2021, 11:58 mu
Ubovu wa barabara Matumbulu wakwamisha zoezi la kuweka nguzo za umeme
Na; Benard Filbert. Kata ya Matumbulu jijini Dodoma inakabiliwa na ubovu wa barabara katika baadhi ya maeneo yake hali inayochelewesha zoezi la uwekaji nguzo za umeme. Hayo yameelezwa na mwenyekiti wa mtaa wa Mkombozi Bw. Haruni Nyakapara wakati akizungumza na…
23 Mei 2021, 8:07 mu
chama cha mapinduzi (ccm) mkoa wa simiyu chapata mwenyekiti mpya
Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Simiyu leo kimefanya uchaguzi wa kumpata mwenyekiti wa chama hicho ili kuziba nafasi ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho Enock Yakobo aliyefariki februari 23 ,2021. Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo msimamizi wa uchaguzi huo…
22 Mei 2021, 8:58 um
jeshi la polisi lawashikilia watano kwa mauaji simiyu
Jeshi la polisi mkoa wa Simiyu linawashikilia watu watano kwa tuhuma za mauaji ya mtu mmoja. Hayo yamesemwa na kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Simiyu ACP Richard Abwao wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari na kuongeza kuwa…
21 Mei 2021, 4:47 um
Mwauwasa yakabidhi mradi mkubwa wa maji mjini Sengerema.
Mamlaka ya maji mjini mwanza (MWAUWASA) wamekabidhi mradi wa maji kwa mamlaka ya maji mjini Sengerema uliojengwa kwa kiasi cha zaidi billioni moja hadi kukamilika na unatarajia kunufaisha watu elfu kumi uliopo katika kata ya Nyampande Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza.…
20 Mei 2021, 19:12 um
Hodi Mtwara, Brigedia Jenerali Gaguti
Na Karim Faida Mkuu wa mkoa wa Mtwara Brigedia Jenerali Marco Gaguti amewaomba wananchi wa Mtwara kumpa ushirikiano zaidi ya ule alioupata aliyekuwa mkuu wa mkoa huu Ndugu Gelasius Byakanwa. Amesema hayo leo katika ukumbi wa Boma uliopo katika ofisi…