Radio Tadio

Habari za Jumla

31/07/2021, 15:18

Mtwara: Watu 15 watuhumiwa kwa Viuatilifu feki

Na Musa Mtepa. Jumla ya Tani 84.3 za pembejeo Feki (Viuatilifu) zenye thamani ya Zaidi ya milioni 100 zimekamatwa katika oparesheni maalumu wakati zikipelekwa Kwa wakulima wa zao la korosho mkoani Mtwara. Akizungumza Na waandishi WA Habari ofisini kwake Mkuu…

Julai 26, 2021, 6:46 um

Baiskeli 40 kusaidia kuzuia maambukizi mapya ya Ukimwi

Mabinti wenye umri kati ya miaka 15-24 wa halmashauri ya Ushetu mkoani Shinyanga wamepatiwa Baiskeli zaidi ya 36 kwa ajili ya uelimishaji rika juu ya kuzuia maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi. Baiskeli hizo zimetolewa na shirika la Huheso Foundation…

22 Julai 2021, 10:47 mu

Maji ya Ziwa Victoria kuleta suruhisho la changamoto ya maji mji wa m…

Mkurugenzi  Mtendaji  wa  mamlaka  ya  maji  na  Usafi wa  mazingira  Maswa- MAUWASA   Mhandisi   Nandi  Mathias  amesema  kuwa   kuanza  kutekelezwa  kwa  mradi  wa  maji  kutoka  ziwa  Victoria  utaondoa  changamoto  ya  Upatikanaji  wa  Maji  katika  katika  Mji  wa  Malampaka  uliopo wilayani  Maswa  …

Julai 19, 2021, 7:42 um

DC Kiswaga: Maonesho ya kibiashara Kahama kuwa ya mfano

Mkuu wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Festo kiswaga amewaomba wananchi wilayani humo kujitokeza katika maonesho ya Ujasiliamali na wafanybiashara wakubwa na wadogo katika viwanja vya halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani humo. Akizungumza na wandishi wa Habari ofisini kwake…

16 Julai 2021, 1:37 um

RC Kafulila awahakikishia wakazi wa kijiji cha Malampaka kutatua Kero za…

Mkuu  wa  Mkoa  wa  Simiyu    Mh   David Kafulila amewahakikishia  wananchi  wa   Malampaka  na   mkoa   wa  Simiyu kutatua  Kero  zote  zinazowakabili   ili kuendana  na  kasi  ya  Rais   wa   awamu  ya  Sita  Mh, Samia   Suluhu   Hasani. Mh,   Kafulila  amesema  hayo  wakati  akizungumza …

15 Julai 2021, 12:35 um

Wananchi wilayani Maswa Mkoani Simiyu walalamikia upatikanaji wa huduma…

Mkuu  wa  mkoa  wa  simiyu  Mh  Davidi  Zacharia  Kafulila  amemuagiza  mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mh ,   Aswege  Kaminyoge  Kufuatilia  Changamoto  ya  mama  wajawazito  wanaoenda  kujifungua  katika  Hospitali  ya  wilaya  ya  Maswa  kutozwa  Fedha. Maagizo  hayo  ameyatoa  wakati  wa  Mkutano …