Habari za Jumla
22 May 2021, 8:58 pm
jeshi la polisi lawashikilia watano kwa mauaji simiyu
Jeshi la polisi mkoa wa Simiyu linawashikilia watu watano kwa tuhuma za mauaji ya mtu mmoja. Hayo yamesemwa na kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Simiyu ACP Richard Abwao wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari na kuongeza kuwa…
21 May 2021, 4:47 pm
Mwauwasa yakabidhi mradi mkubwa wa maji mjini Sengerema.
Mamlaka ya maji mjini mwanza (MWAUWASA) wamekabidhi mradi wa maji kwa mamlaka ya maji mjini Sengerema uliojengwa kwa kiasi cha zaidi billioni moja hadi kukamilika na unatarajia kunufaisha watu elfu kumi uliopo katika kata ya Nyampande Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza.…
20 May 2021, 19:12 pm
Hodi Mtwara, Brigedia Jenerali Gaguti
Na Karim Faida Mkuu wa mkoa wa Mtwara Brigedia Jenerali Marco Gaguti amewaomba wananchi wa Mtwara kumpa ushirikiano zaidi ya ule alioupata aliyekuwa mkuu wa mkoa huu Ndugu Gelasius Byakanwa. Amesema hayo leo katika ukumbi wa Boma uliopo katika ofisi…
20 May 2021, 2:31 pm
Wakala wa vipimo wafanya ukaguzi wa mizani Jijini Dodoma
Na;MARIAM MATUNDU. Ikiwa leo ni siku ya vipimo Duniani wakala wa vipimo Mkoani Dodoma wametembelea na kufanya ukaguzi wa mizani katika maeneo ya hospitali na sehemu za kufanyia mazoezi. Akizungumza katika ukaguzi huo kaimu meneja wa wakala wa vipimo Mkoa…
May 18, 2021, 6:28 pm
Wafanyabiashara wamlalamikia Mkurugenzi Manispaa ya Kahama
Wafanyabiashara wanaozunguka eneo la kituo cha mabasi katika Kata ya Majengo iliyopo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wamemlalamikia Mkurugenzi wa Manispaa hiyo kuyarudisha mabasi ya abiria katika kituo cha mabasi iliyokuwa ikikarabatiwa ya CDT. Wakizungumza na waandishi wa habari wafanyabiashara hao…
18 May 2021, 6:03 pm
Wanyamapori waaribifu waendelea kuwatesa wananchi BUNDA
Wananchi wa migungani kata ya Bunda Stoo wilaya ya Bunda mkoani Mara wamelalamikia suala la wanyama pori waaribifu ikiwemo Tembo na Viboko kuwakatisha tamaa ya kujihusisha na kilimo Wakizungumza katika kikao cha diwani wa kata hiyo Flaviani chacha kilicholenga kusikiliza…
May 18, 2021, 5:54 pm
Wananchi wamlalamikia mwenyekiti wa mtaa wao
Wananchi wa Mtaa wa Bulima Kata ya Seeke Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wamemlalamikia mwenyekiti wa mtaa huo kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake kwa wananchi hivyo wamemtaka kujiuzulu mara moja. Wakizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika mtaani hapo wananchi hao…
18 May 2021, 5:42 pm
Wananchi wa kata ya Hunyari Bunda kulipwa kifutajasho
Serikali kupitia wizara ya maliasili na utalii imetenga zaidi ya shilingi milioni 200 kwa ajili ya kulipa kifuta jasho kwa wananchi waliofanyiwa uharibifu wa wanyamapori katika mashamba na makazi wanayoishi katika vijiji vitatu Mariwanda,Hunyari na Kihumbu vilivyopo Bunda Mkoani Mara…
18 May 2021, 5:32 pm
Dkt Yunge; aitaka jamii izingatie lishe bora
Mganga mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Dkt Nuru Yunge ameitaka jamii kuzingatia lishe bora ili kupunguza matatizo ya magonjwa Hayo yamesemwa na wakati akizungunza na watendaji wa kata 19 za Halmashauri ya Wilaya ya Bunda na kubainisha kuwa…
18 May 2021, 10:30 am
Waziri Mashimba Ndaki akabidhi viti na Meza Shule za Sekondari kwenye…
Waziri wa Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa Jimbo la Maswa Magharibi mkoani Simiyu Mh, Mashimba Ndaki amekabidhi Viti na Meza kwa ajili ya wanafunzi vyenye thamani ya shilingi Milioni Kumi na nane ili kuondoa Changamoto ya Wanafunzi kukaa chini.…