Radio Tadio

Habari za Jumla

22 May 2021, 8:58 pm

jeshi la polisi lawashikilia watano kwa mauaji simiyu

Jeshi la polisi mkoa wa Simiyu linawashikilia watu watano kwa tuhuma za  mauaji ya mtu mmoja. Hayo yamesemwa na kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Simiyu ACP Richard Abwao wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari na kuongeza kuwa…

21 May 2021, 4:47 pm

Mwauwasa yakabidhi mradi mkubwa wa maji mjini Sengerema.

Mamlaka ya maji  mjini mwanza  (MWAUWASA) wamekabidhi mradi wa maji kwa mamlaka ya maji mjini Sengerema  uliojengwa kwa kiasi cha zaidi billioni moja hadi kukamilika na unatarajia kunufaisha  watu elfu kumi uliopo katika kata ya Nyampande Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza.…

20 May 2021, 19:12 pm

Hodi Mtwara, Brigedia Jenerali Gaguti

Na Karim Faida Mkuu wa mkoa wa Mtwara Brigedia Jenerali Marco Gaguti amewaomba wananchi wa Mtwara kumpa ushirikiano zaidi ya ule alioupata aliyekuwa mkuu wa mkoa huu Ndugu Gelasius Byakanwa. Amesema hayo leo katika ukumbi wa Boma uliopo katika ofisi…

20 May 2021, 2:31 pm

Wakala wa vipimo wafanya ukaguzi wa mizani Jijini Dodoma

Na;MARIAM MATUNDU. Ikiwa leo ni siku ya vipimo Duniani wakala wa vipimo Mkoani Dodoma  wametembelea na kufanya ukaguzi wa mizani katika maeneo ya hospitali na sehemu za kufanyia mazoezi. Akizungumza katika ukaguzi huo kaimu meneja wa wakala wa  vipimo Mkoa…

May 18, 2021, 6:28 pm

Wafanyabiashara wamlalamikia Mkurugenzi Manispaa ya Kahama

Wafanyabiashara wanaozunguka eneo la kituo cha mabasi katika Kata ya Majengo iliyopo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wamemlalamikia Mkurugenzi wa Manispaa hiyo kuyarudisha mabasi ya abiria katika kituo cha mabasi  iliyokuwa ikikarabatiwa ya CDT. Wakizungumza na waandishi wa habari wafanyabiashara hao…

18 May 2021, 6:03 pm

Wanyamapori waaribifu waendelea kuwatesa wananchi BUNDA

Wananchi wa migungani kata ya Bunda Stoo wilaya ya Bunda mkoani Mara wamelalamikia suala la wanyama pori waaribifu ikiwemo Tembo na Viboko kuwakatisha tamaa ya kujihusisha na kilimo Wakizungumza katika kikao cha diwani wa kata hiyo Flaviani chacha kilicholenga kusikiliza…

May 18, 2021, 5:54 pm

Wananchi wamlalamikia mwenyekiti wa mtaa wao

Wananchi wa Mtaa wa Bulima Kata ya Seeke Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wamemlalamikia mwenyekiti wa mtaa huo kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake kwa wananchi hivyo wamemtaka kujiuzulu mara moja. Wakizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika mtaani hapo wananchi hao…

18 May 2021, 5:42 pm

Wananchi wa kata ya Hunyari Bunda kulipwa kifutajasho

Serikali kupitia wizara ya maliasili na utalii imetenga zaidi ya shilingi milioni 200 kwa ajili ya kulipa kifuta jasho kwa wananchi waliofanyiwa uharibifu wa wanyamapori katika mashamba na makazi wanayoishi katika vijiji vitatu Mariwanda,Hunyari na Kihumbu vilivyopo Bunda Mkoani Mara…

18 May 2021, 5:32 pm

Dkt Yunge; aitaka jamii izingatie lishe bora

Mganga mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Dkt Nuru Yunge ameitaka jamii kuzingatia lishe bora ili kupunguza matatizo ya magonjwa Hayo yamesemwa na  wakati akizungunza na watendaji wa kata 19 za Halmashauri ya Wilaya ya Bunda na kubainisha kuwa…

18 May 2021, 10:30 am

Waziri Mashimba Ndaki akabidhi viti na Meza Shule za Sekondari kwenye…

Waziri  wa  Mifugo  na  Uvuvi na  Mbunge  wa  Jimbo  la   Maswa  Magharibi  mkoani  Simiyu  Mh, Mashimba  Ndaki  amekabidhi  Viti  na  Meza  kwa  ajili  ya  wanafunzi  vyenye  thamani  ya  shilingi  Milioni  Kumi  na  nane  ili  kuondoa  Changamoto  ya  Wanafunzi  kukaa  chini.…