Habari za Jumla
21 Oktoba 2021, 9:33 mu
Mila na desturi zinavyokandamiza wagonjwa wa akili
RUNGWE Hivi karibuni Dunia imeadhimisha siku ya magonjwa ya afya ya akili jamii wilayani Rungwe Mkoani Mbeya ametakiwa kuachana na imani za kishirikiana juu ya ugonjwa huo. Akizungumza na kituo hiki mratibu wa afya ya akili wilaya Dkt JOHN DUNCAN…
Oktoba 21, 2021, 9:11 mu
watoto 20 kati ya 85 wakutwa na udumavu Ileje
Watoto 20 kati ya 85 wamekutwa na udumavu katika kiijiji cha Igumila wilayani Ileje mkoani Songwe baada ya kupimwa na wataalamu wa afya wakati wa kutoa elimu juu ya umuhimu wa lishe ikiwa ni kuelekea maadhimisho ya siku ya lishe…
19 Oktoba 2021, 5:26 um
Wananchi wa Tamau wapata kivuko kipya kilichogharimu 420000/Tsh
Uongozi wa serikali ya mtaa wa Tamau kata ya Nyatwali Halmashauri ya mji wa Bunda leo umekabidhi kivuko kipya kwa wananchi wa eneo la Tamau ujaluoni ili kurahisisha shughuli za uvukaji katika eneo hilo. Akikabidhi mtumbwi huo uliogharimu kiasi cha…
19 Oktoba 2021, 3:39 um
DIT – Waanzisha kampeni kuhamasisha watoto wa kike mashuleni kusoma sayans…
Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam ( DIT) wamezindua kampeni ya ya kuhamasisha wanafunzi wakike kusoma masomo ya sayansi ili kuendana na kukua kwa teknolojia itakayowapa fursa zaidi katika uchumi wa viwanda. Kampeni hiyo imezinduliwa leo octoba 17 wilaya Ruangwa…
19 Oktoba 2021, 3:38 um
watu watatu wajeruhiwa na chui
Watu watatu wakazi wa Kijiji Mwabulimbu kata ya Mwan’gonoli tarafa ya Sengerema wilayani Maswa mkoani Simiyu wamejeruhiwa na mnyama aina ya chui sehemu mbalimbali za miili yao. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi mkoa wa Simiyu ACP Blasius…
19 Oktoba 2021, 3:25 um
Wivu wa mapenzi wapelekea kumuua mke wake kwa kumkata mapanga.
Mwanamke mmoja aitwae Pili Masonga mwenye umri wa miaka 28,msukuma mkazi wa Kijiji cha Kulimi wilayani Maswa mkoani Simiyu ameuwawa na mme wake kwa kukatwa mapanga sehemu mbali mbali za mwili wake. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi…
Oktoba 19, 2021, 12:03 um
Kamanda wa polisi akanusha askari kupasuliwa fuvu la kichwa Songwe
kamanda wa polisi mkoa wa Songwe Janeth Magomi amekanusha taarifa iliyosambaa kwenye vyombo vya habari juu ya baadhi ya askari wa jeshi la polisi wilayani Mbozi kupasuliwa fuvu la kichwa na wananchi wenye hasira kali wa kijiji cha Mpanda kata…
Oktoba 18, 2021, 1:58 um
Zao la viazi laozea Shambani
Zao la Viazi kwa wakulima wa Kata ya Kitulo Wilayani Makete huenda likaozea shambani kwa sababu ya kukosekana soko la uhakika la zao hilo Kwa mujibu wa Wakulima wa Viazi Kata ya Kitulo, wamesema wengi wao wameshindwa kuvuna viazi shambani…
18 Oktoba 2021, 1:30 um
Mkuu wa mkoa wa Simiyu ashangazwa na wahitimu wa (JWTZ) kushindwa kujitegemea.
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mh,David Kafulila ameshangazwa na kitendo cha wahitimu wa wafunzo ya (JWTZ)kushindwa kujitegemea baada ya kuhitimu mafunzo yao licha ya Serikali kutumia gharama kubwa kwa ajili ya mafuzo hayo David Kafulila ameyasema hayo wakati wa kongamano…
Oktoba 15, 2021, 12:07 um
Songwe kutimiza ndoto ya Mh. Samia Januari 2022
Mkoa wa Songwe umetangaza mkakati mahususi wa kukusanya kiasi cha shilingi milioni 200 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya msingi itakayowezesha kufunguliwa na kupokea wanafunzi kwa shule ya wasichana ya Mkoa inayojengwa katika eneo la Myunga,Wilayani Momba mkoani…