Habari za Jumla
30 Oktoba 2021, 7:59 mu
zaidi ya bilion 10.8 kutatua changamoto ya maji hasa vijijini mkoani simiyu
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Zaidi ya bilioni 10.8 zilizotolewa na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe,Samia Suluhu Hassan zikiwemo zaidi ya bilioni 8 za bajeti ya kawaida na zaidi ya bilioni 2 ambazo ni fedha za uviko…
28 Oktoba 2021, 5:28 mu
Milioni 300 ujenzi jengo la dharula Hospitali ya Wilaya
RUNGWE katika kuendelea kuboresha huduma ya afya hapa nchini halmashauri ya wilaya ya Rungwe mkoani mbeya inatarajia kupokea fedha kutoka serikali kuu kiasi cha shilingi milioni 300 kwaajili ya ujenzi wa jengo la dhalura katika hosptali ya wilaya ya Rungwe…
27 Oktoba 2021, 2:51 um
walimu wilaya ya itilima waomba kutatuliwa changamoto zao.
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga ,Simiyu Walimu wilayani Itilima mkoani Simiyu wameiomba serikali kuona umuhimu wa kutatua changamoto zao ili kuongeza hali ya utedaji kazi. Wameyasema hayo kwenye semina ya kuwajengea uwezo kwenye majukumu yao viongozi na wawakilishi wa shule…
Oktoba 27, 2021, 10:33 mu
WANAFUNZI WAPATA VYETI
Wanafunzi 70 Kidato cha nne Iwawa Sekondari watunukiwa vyeti vya utambuzi wa ushiriki wao kwenye Club ya Wasaidizi wa Kisheria shuleni (Paralegal School Club) Wanafunzi hao kwa miaka miwili wamekuwa wakipata mafunzo kutoka kwa Wasaidizi wa Kisheria Kata ya Iwawa…
27 Oktoba 2021, 5:22 mu
Milioni 500 kusaidia upatakanaji wa Maji Rungwe
RUNGWE. Ofisi ya mamlaka ya maji Tukuyu Wilayani Rungwe mkoani Mbeya imeahidi kutatua changamoto ya maji kwa wananchi kupitia miradi inayoenda kutekelezwa ndani ya Wilaya. Kupitia Meneja wa mamlaka ya maji Tukuyu Peter Amon amesema hayo akizungumza na Radio Chai…
Oktoba 26, 2021, 6:47 um
SHULE YA UONGOZI
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (MNEC) Ndg.Japhari Kubechaatoa shule ya Uongozi kwa Vijana nchini Akizungumza na Kitulo FM, Kubecha amesema kijana ni mtu muhimu kwenye taifa hili husani katika uongozi kwani asilimia kubwa ya watanzania ni vijana…
Oktoba 26, 2021, 6:22 um
IJUE SHERIA
Kwenye Kipindi cha Ijue Sheria kinachorushwa kila siku ya Jumatatu saa 2:00 Usiku mpaka saa 3:00 Usiku Mkurugenzi Mtendaji Shirika la wasaidizi wa Kisheria Wilaya ya Makete (MAPAO) Mch. Denis Sinene ametupiga msasa kuhusu majukumu. (i) Kuwakilisha wananchi katika Halmashauri,…
26 Oktoba 2021, 9:07 mu
Jamii iwe makini wizi mtandaoni
RUNGWE Jeshi la polisi Wilayani Rungwe limewaomba wafanyabishara kutoa ushirikiano kwa jeshi hilo kukabiliana na watu wanao jihusisha na uwizi wa mtandaoni. Jeshi hilo limetoa kauli hiyo kupitia Mkuu wa upelezi Wilaya ya Rungwe WILLIAM NYAMAKOMANGO alipokutana na wafanyabiashara kwenye…
25 Oktoba 2021, 4:13 um
Casino Intense Review
Artículos Well, here we go again with another online casino review! And this time it’s a newcomer called Intense Casino! The folks at Nettikasinot360 remember when they used to sing about a little farm on the island of Saimaa, Intense…
25 Oktoba 2021, 1:18 um
mvua iliyo ambatana na upepo mkali imeezua nyumba zaidi 50 wilayani bariadi
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Zaidi ya 50 zilizopo kata ya Ngulyati iliyopo wilayani Bariadi mkoani Simiyu zimeezuliwa na upepo mkali ulioambatana Mvua. Kutokana na hali hiyo mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya ambaye pia ni mkuu wa…