Habari za Jumla
25 Oktoba 2021, 4:13 um
Casino Intense Review
Artículos Well, here we go again with another online casino review! And this time it’s a newcomer called Intense Casino! The folks at Nettikasinot360 remember when they used to sing about a little farm on the island of Saimaa, Intense…
25 Oktoba 2021, 1:18 um
mvua iliyo ambatana na upepo mkali imeezua nyumba zaidi 50 wilayani bariadi
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Zaidi ya 50 zilizopo kata ya Ngulyati iliyopo wilayani Bariadi mkoani Simiyu zimeezuliwa na upepo mkali ulioambatana Mvua. Kutokana na hali hiyo mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya ambaye pia ni mkuu wa…
25 Oktoba 2021, 9:43 mu
Matumizi sahihi ya mswaki tiba ya kinywa
RUNGWE Mratibu wa afya ya kinywa na meno Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya DOKT HOSEA MWAKYUSA ameelezea matumizi sahihi ya miswaki ambapo mswaki unatakiwa kutumika ndani ya miezi mitatu. Akizungumza na kituo hiki amesema kuwa kinywa ni kitu muhumu katika kiungo…
25 Oktoba 2021, 9:21 mu
Machinga kutii agizo la serikali
RUNGWE Wafanya biashara wadogo (machiga) soko la Tukuyu, wamesema wameanza kutekeleza agizo la Halmashauri la kuhama katika maeneo yasiyo rasmi wanayo fanyia biashara zao na badala yake wahamie katika maeneo waliyo pangiwa na halmashauri. Wameyasema hayo wakati wakizungumza na radio…
23 Oktoba 2021, 1:08 um
Wananchi Kisiwa Panza walia na Maji safi na salama.
Na Said Omar Said Wananchi wa shehia ya kisiwa panza wilaya ya Mkoani Pemba wamelalamika ukosefu wa maji safi na salama katika shehia hiyo. Wakizungumza katika mkutano wa kueleza changamoto zao mbele ya mkuu wa Wilaya ya Mkoani katika kisiwa…
Oktoba 23, 2021, 9:23 mu
AHUKUMIWA MIAKA 8 JELA
Bw. Andrew Alfred Mbogela (29) mkazi wa Uyole jijini Mbeya amehukumiwa kwenda jela kifungo cha miaka 8 kwa kosa la wizi Ikulu ndogo Makete Mshtakiwa huyo amekutwa na hatia katika mashtaka mawili ambapo katika shitaka la kwanza ameshtakiwa kwa kosa…
22 Oktoba 2021, 8:14 um
Ugonjwa wa akili wapelekea kujinja watoto wake wawili kisha naye kujichinja.
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu. Mama mmoja aitwaye Ng’washi Makigo mwenye umri miaka 35 Msukuma na mkazi wa kijiji Gula wilayani Maswa mkoani Simiyu amewaua watoto wake wawili kwa kuwachinja kwa kutumia kisu kisha naye kijichinja. Kamanda wa polisi mkoa…
Oktoba 22, 2021, 1:27 um
WALIMU OENI
Walimu wa Kiume shule za Sekondari Wilayani Makete Mkoani Njombe wameshauriwa kuoa ili kupunguza tamaa zinazoweza kuwashawishi kujihusisha kimapenzi na wanafunzi. Hii ni katika kupambana na mimba kwa wanafunzi wa kike shule za Sekondari katika Wilaya ya Makete Akizungumza na…
21 Oktoba 2021, 1:20 um
Tanzania kuzidi kuwawezesha wanawake kimaendeleo.
Tanzania imeazimia kuendelea kuwawezesha wanawake katika nyanja mbalimbali ikiwemo katika Uongozi na uwezeshaji Wanawake Kiuchumi kupitia Majukwaa ya Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee…
21 Oktoba 2021, 12:09 um
Mseleleko wawaponza vijana VVU
RUNGWE Vijana wilayani Rungwe Mkoani Mbeya wameelezea sababu zinazo pelekea baadhi ya vijana kupata maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi kutokana na tafiti zilizotolewa na tume ya kudhibiti Ukimwi nchini (Tacaids). Tafiti hizo za mwaka 2020 zimebainisha kuwa vijana kati…